Nuru FM

Recent posts

18 May 2025, 7:46 pm

Vijana 120 kunufaika na mradi wa usindikaji bidhaa za chakula Iringa

Na Adelphina Kutika ZAIDI ya vijana 120 kutoka kata 18 za Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wanatarajia kunufaika na mradi wa uendelezaji wa ujuzi wa kujiajiri kupitia usindikaji wa bidhaa za chakula. Hayo yameelezwa katika hafla ya ufunguzi wa mradi…

6 May 2025, 9:09 pm

Polisi Iringa wamdaka Joseph kwa kumuua mwanaye na kumtupa chooni

Na Adelphina Kutika Jeshi la polisi mkoni Iringa linamshikilia Joseph Yustino Mhilila mkazi wa mtaa wa Lukosi Kata ya Mtwivila kwa tuhuma za kumuua mtoto wake timotheo Mhulikwa (6) aliyepotea tangu tarehe 1 mwezi wa nne 2025. Akizungumza na Nuru…

22 April 2025, 12:27 pm

Jukwaa la WIW lalaani tukio la udhalilishaji kwa mwanachuo

Na Adelphina Kutika Jukwaa la Wanawake Mawakili na Wanasheria “Wowen Inspire Women” (WIW) linalaani vikali tukio la udhalilishaji lililofanywa na kundi la wanafunzi wa kike dhidi ya mwanafunzi mwenzao wa kike kama lilivyoonekana kupitia picha mjongeo iliyosambaa kwenye mitandao ya…

22 April 2025, 12:01 pm

Waliofariki kwa ajali ya ambulance na toyo waagwa Mafinga

Na Fredrick Siwale Mkuu Wa Wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa amewataka Wananchi kuwa waangalifu na kuzingatia usalama wao wanapoelekea kwenye shughuli za kujitafutia kipato, ikiwemo kuepuka kusafiri kwenye vyombo visivyokidhi vigezo vya usafiri salama. Dkt. Salekwa ameyasema hayo wakati…

18 April 2025, 5:10 pm

TCCIA Kilolo yaja na maonyesho Ya kilimo Na biashara mwezi Mei

Na Joyce Buganda Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo TCCIA imeandaa maonesho ya Biashara, viwanda na kilimo yatakayofanyika Wilayani Kilolo Mkoani Iringa kuanzia Mei 21 hadi Mei 25, 2025 yakilenga kuwapatia nafasi wahusika wa sekta hizo kuonesha shughuli wanazozifanya ili…

17 April 2025, 11:18 am

Vijana Iringa wahimizwa kusoma vitabu ili kuongeza maarifa

Na Zaitun Mustapha na Catherine Soko Vijana  mkoani  Iringa wameshauriwa kuwa na mwamko wa kusoma vitabu mbalimbali ili  kuweza kukua kiakili, kongeza ufahamu na maarifa. Hayo yamezungumzwa na baadhi ya vijana Manispaa ya Iringa ambapo wameelezea ni kwa namna gani …

16 April 2025, 11:04 am

Bei ya mchele chanzo cha ubwabwa kuuzwa gharama kubwa Iringa

Na Geaz Mkata na Rogasia Kipangula Wafanyabiashara wa Mchele Manispaa ya Iringa wamesema kuwa Bei ya Mchele imepanda kuanzia shilingi 2000 mpaka shilingi 3200 kwa kilo moja. Wakizungumza na Nuru FM baadhi ya wafanyabiashara wa bidhaa hiyo wamesema kuwa bei…

16 April 2025, 9:51 am

Wanachuo wahimizwa kujifunza lugha ya Kichina

Na Joyce Buganda Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wametakiwa kujifunza lugha ya kichina kwani  kupitia lugha hiyo  wanaweza kupata fursa mbalimbali ikiwemo ufadhiri katika masomo   yao. Akizungumza katika mashindano ya taranta za kichina  ya wanafunzi wa vyuo vikuu  duniani  yaliofanyika …

15 April 2025, 11:50 am

SOS Tanzania kuwanufaisha kiuchumi vijana elfu 30 Iringa

Na Adelphina Kutika Katika juhudi za kuimarisha ustawi wa vijana na kuwawezesha kiuchumi na kiafya, Shirika la SOS Children’s Villages limezindua rasmi Mradi wa Uwezeshaji wa Vijana katika Hafua za Afya ya Uzazi na Uchumi Endelevu mkoani Iringa chini ya…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.