Nuru FM
Nuru FM
15 August 2025, 9:40 am
Ujenzi wa barabara ya Pawaga-Izazi utasaidia wananchi kukuza uchumi wao kwa kusafirisha mazao Yao hasa mpunga. Na Hafidh Ally Wananchi wa Tarafa ya Pawaga Wilaya ya Iringa wameipongeza serikali kwa kutenga zaidi ya Shilingi bilioni 2.3 katika mwaka wa fedha…
14 August 2025, 10:40 am
Elimu ya lishe iliyotolewa na Shirika la World Vision imelenga kupambana na changamoto ya lishe ambayo imeendelea kutafutiwa uvumbuzi Na Adelphina Kutika Wananchi wa kijiji cha Kidilo Kata ya Kihanga Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, wameendelea kuchukua hatua dhidi ya…
14 August 2025, 10:20 am
Mpango wa kutokomeza ukatili wa kijinsia unalenga kuongeza usawa wa kijinsia katika jamii. Na Joyce Buganda Serikali imekuja na Mpango wa Taifa wa kutokomeza ukatili wakijinsia kwa wanawake na watoto MTAKUWWA awamu ya pili mpango unatekelezwa nchi nzima kwa kumtaka…
11 August 2025, 12:29 pm
Katika kukabiliana na magonjwa ya Mlipuko kwa wanafunzi wa shule ya Msingi Kidilo, Shirika la World Vision Tanzania limejenga vyoo vya kisasa. Na Adelphina Kutika Zaidi ya wanafunzi mia mbili wa Shule ya Msingi Kidilo, iliyopo kata ya Kihanga Wilaya…
7 August 2025, 4:11 pm
Uboreshwaji wa miundombinu ya shule imetajwa kuwa sababu ya kukuza kiwango Cha ufaulu Mashuleni. Na Adelphina Kutika Mkoa wa Iringa umepokea jumla ya Shilingi bilioni 7.5 kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya kutatua changamoto za uchakavu wa miundombinu ya elimu…
7 August 2025, 10:48 am
Tukio hilo la kusikitisha limebainika baada ya vijana wanaokusanya plastiki kugundua mwili huo, uliokuwa umefichwa chini ya takataka. Na Hafidh Ally Wananchi wa Mtaa wa Ngome Kata ya Kihesa Manispaa ya Iringa wamelaani tukio la mwili wa Mtoto mchanga kutupwa…
5 August 2025, 11:58 am
Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kuwa mchakato huo wa kupata wagombea wa Ubunge utaamuliwa katika vikao vya ndani ya Chama. Na Hafidh Ally Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia mchakato wake wa ndani wa kura za maoni kwa ajili ya kumpata…
5 August 2025, 9:40 am
Usimamizi wa Miradi ya Maji sehemu ya juhudi za Serikali za kuhakikisha wananchi wa vijijini wanapata huduma ya majisafi, salama na ya uhakika. Na Ayoub Sanga Watumishi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wametakiwa kuendelea kutekeleza…
5 August 2025, 9:26 am
Wafugaji wametakiwa kujielimisha zaidi ili kupunguza hasara na kuhakikisha ubora wa kuku wanaowafuga. Na Hafidh Ally Wananchi Mkoani Iringa, wanaojihusisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji na wa kisasa, wameeleza kilio chao kuhusu kupanda kwa gharama za chakula cha kuku…
4 August 2025, 6:44 pm
Kujiasajili na kupata kitambulisho cha kufanyia biashara husaidia kutambulika na kufanya biashara kwa uhuru. Na Joyce Buganda Wafanyabiashara ndogondogo Mkoa wa Iringa wamepata elimu kuhusiana na utambuzi na usajili wa biashara ili wawe na uelewa kuhusu shughuli wanazozifanya. Akizungumza na…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.