Nuru FM

Recent posts

7 August 2025, 4:11 pm

Bil. 7.5 kutatua miundombinu ya shule Iringa

Uboreshwaji wa miundombinu ya shule imetajwa kuwa sababu ya kukuza kiwango Cha ufaulu Mashuleni. Na Adelphina Kutika Mkoa wa Iringa umepokea jumla ya Shilingi bilioni 7.5 kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya kutatua changamoto za uchakavu wa miundombinu ya elimu…

7 August 2025, 10:48 am

Wananchi Iringa walaani Mtoto kutupwa dampo

Tukio hilo la kusikitisha limebainika baada ya vijana wanaokusanya plastiki kugundua mwili huo, uliokuwa umefichwa chini ya takataka. Na Hafidh Ally Wananchi wa Mtaa wa Ngome Kata ya Kihesa Manispaa ya Iringa wamelaani tukio la mwili wa Mtoto mchanga kutupwa…

5 August 2025, 11:58 am

Ngajilo ashinda kura za maoni Iringa Mjini

Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kuwa mchakato huo wa kupata wagombea wa Ubunge utaamuliwa katika vikao vya ndani ya Chama. Na Hafidh Ally Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia mchakato wake wa ndani wa kura za maoni kwa ajili ya kumpata…

5 August 2025, 9:40 am

RUWASA Iringa yatakiwa kusimamia Miradi ya Maji

Usimamizi wa Miradi ya Maji sehemu ya juhudi za Serikali za kuhakikisha wananchi wa vijijini wanapata huduma ya majisafi, salama na ya uhakika. Na Ayoub Sanga Watumishi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wametakiwa kuendelea kutekeleza…

5 August 2025, 9:26 am

Wafugaji wa kuku walalamikia gharama za chakula

Wafugaji wametakiwa kujielimisha zaidi ili kupunguza hasara na kuhakikisha ubora wa kuku wanaowafuga. Na Hafidh Ally Wananchi Mkoani Iringa, wanaojihusisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji na wa kisasa, wameeleza kilio chao kuhusu kupanda kwa gharama za chakula cha kuku…

4 August 2025, 6:44 pm

Wafanyabiashara wapewa elimu ya utambuzi biashara

Kujiasajili na kupata kitambulisho cha kufanyia biashara husaidia kutambulika na kufanya biashara kwa uhuru. Na Joyce Buganda Wafanyabiashara ndogondogo Mkoa wa Iringa wamepata elimu kuhusiana na utambuzi na usajili wa biashara  ili wawe na uelewa kuhusu shughuli wanazozifanya. Akizungumza na…

2 August 2025, 7:25 am

Vijana Iringa wahimizwa kuwekeza katika kilimo

Sekta ya kilimo imetajwa kuwa sekta muhimu jambo linalopelekea vijana kutakiwa kuwekeza huko. Na Godfrey Mengele Vijana Mkoani Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wamehimizwa kuwekeza nguvu katika kilimo ili kujikwamua kiumchumi na kufikia malengo yao. Wito huo umetolewa na Mkuu…

31 July 2025, 12:39 pm

Wanaofanya urasimu mikopo ya 10% waonywa

Fursa ya utoaji Mikopo kwa vijana imetakiwa kutekelezwa bila ubaguzi Ili kuwanufaisha wahusika. Na Godfrey Mengele Watumishi wa halmashauri za Mkoa wa Iringa wametakiwa kuacha urasimu pindi wanapowahudumia vijana hasa wanapochangamkia fursa ya mikopo ya asilimia 10 ili kutotengeneza mazingira…

31 July 2025, 11:46 am

Watia nia Mafinga waonywa kuhusu rushwa

Rushwa imetajwa kuwa miongoni mwa adui wa haki katika uchaguzi jambo linalopelekea kupingwa. Na Fredrick Siwale Wagombea na Wajumbe Jimbo la Mafinga Mkoani Iringa wameonywa kutojihusisha na vitendo vya rushwa kuelekea kura za maoni na Uchaguzi mkuu. Onyo hilo limetolewa…

30 July 2025, 12:08 pm

Watia nia Ubunge wapongeza Majina kurejeshwa

Wakati baadhi ya watia nia ya kugombea nafasi za uongozi wakilalamika majina yao kutorudishwa, hali hiyo imekuwa tofauti kwa watia nia Iringa Mjini. Na Hafidh Ally Siku moja baada ya Chama cha Mapinduzi CCM kitangaza majina ya watia nia ya…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.