Nuru FM
Nuru FM
6 May 2022, 5:29 am
Waziri Mkuu wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa Majaliwa amechangia shilingi Milioni Tano kwa ajili ya kutatua changamoto zinazowakabili walemavu watatu wa familia Moja katika kijiji cha Lulanzi kilichopo Kata ya Nyalumbu Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa.…
29 April 2022, 9:39 am
Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Kamishana Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Jumanne Muriro amewatoa hofu Mashabiki wa Soka wa Simba SC na Young Africans ambao timu zao zitakutana kesho Jumamosi (April 30), Uwanja wa Benjamin…
29 April 2022, 9:23 am
JAMII nchini, imetakiwa kujenga mazoea ya kuwahusisha watoto wenye umri mdogo katika shughuli za maendeleo ikiwamo utunzaji wa mazingira na ulinzi wa rasilimali zilizopo kwa manufaa ya nchi yetu. Wito huo umetolewa kwa nyakati tofauti na Afisa Mhifadhi wa shirika…
29 April 2022, 9:17 am
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 29 Aprili 2022 akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta uliopo Nairobi nchini Kenya alipoenda kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
20 April 2022, 9:37 am
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI),Mheshimiwa Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Bw.Hassan Njama ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro kulingana na taarifa hii hapa chini;
20 April 2022, 9:32 am
Watu sita (06) wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali iliyo husisha gari Toyota Noah kugongana na lori aina ya scania katika eneo la ALKATANI kata ya Sepeko tarafa ya Kisongo wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha katika barabara…
20 April 2022, 9:30 am
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Benki ya Dunia kwa kuahidi kuisaidia Tanzania kukabiliana na athari za kiuchumi zinazotokana na madhara ya UVIKO-19 na vita vinavyoendelea baina ya Urusi na Ukraine. Dkt. Nchemba amesema hayo…
20 April 2022, 7:37 am
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linaendelea na uchunguzi wa tukio la kifo cha Paroko wa Parokia ya Mbezi Mshikamano, Padri Francis Kangwa aliyekutwa ndani ya tenki la maji akielea. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya…
20 April 2022, 7:29 am
Wanahabari wa Tanzania wanatarajia kupata tuzo kwa makundi tofauti katika tasnia hiyo ikiwa ni katika kuenzi na kutambua umuhimu wao katika kuleta maendeleo ya nchi kitaifa na kimataifa. Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Rodney Thadeus…
20 April 2022, 7:19 am
HALMASHAURI ya Wilaya ya Manyoni imefikisha asilimia 90 ya zoezi la anwani za makazi na postikodi licha ya kuwepo changamoto ndogondogo zilizojitokeza. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Rahabu Mwagisa wakati akitoa taarifa ya zoezi hilo kwa Mkuu wa…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.