Nuru FM
Nuru FM
17 September 2022, 7:21 am
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande amesema Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inaendelea kujadiliana na wafanyabiashara wenye malimbikizo ya kodi, ili kuwapa unafuu wa malipo kwa awamu bila kuathiri mwenendo na uendeshaji wa biashara zao. Chande ameyasema…
17 September 2022, 7:18 am
Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amesema hapendi kuona mabango yanayotangaza kuongeza nguvu za kiume au kusafisha nyota sambamba na matangazo mengine yanayofanana na hayo katika maeneo ya mkoa huo badala yake anataka kuona mabango yanayohusu elimu ili kuongeza…
17 September 2022, 7:16 am
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Charles Makongoro Nyerere ameiagiza Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) kuchunguza mashamba yaliyouzwa na kugawanywa kwa wananchi na kuchangishwa sh60,000 kila kaya kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Makongoro akizungumza na wakazi wa…
11 September 2022, 3:42 pm
Fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO 19 zaidi ya bilioni 1.7 imewezesha kukamilishwa kwa Mradi wa jengo la madarasa, maabara na ofisi katika Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) Akitoa taarifa ya utekelezaji…
11 September 2022, 3:38 pm
Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamshikilia dereva wa lori aliyejulikana kwa jina la Allen Wilbard Kasamu (49) mkazi wa Suye Jijini Arusha akiwa anasafirisha madawa ya kulevya aina ya mirungi yenye uzito kilo 390.75. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo leo…
11 September 2022, 3:34 pm
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa Kagera, Albert John Chalamila kuunda Tume maalum itakayopokea malalamiko ya ardhi yaliyokithiri katika Halmashauri ya wilaya ya Karagwe, Mkoani Kagera.…
11 September 2022, 3:33 pm
Rais, Samia Suluhu Hassan amewataka wazazi na walezi nchini, kuwaruhusu watoto wao kushiriki kwenye Mabaraza ya watoto yaliyopo katika ngazi za Kata hadi Taifa, ili kujenga vipaji vyao vinavyopatikana kwenye mabaraza hayo. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na…
7 September 2022, 7:12 am
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini ambapo bei hizo zimeanza kutumika kuanzia leo Septemba 7, 2022. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka…
7 September 2022, 6:23 am
Wadau wa Utalii hapa Nchini wametakiwa kushiriki katika maonesho ya kimataifa ya Utalii yanayojulikana kwa jina la Swahili international Tourism Expo (S!TE) huko Jijini Dar es salaam. Akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake Mkoani Iringa, Afisa kutoka Bodi ya…
6 September 2022, 10:16 am
Mratibu wa wa sensa katika Wilaya ya Igunga Ally Hemed amesema kwamba Karani wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora, alishindwa kuifikia kaya moja iliyopo katika kijiji cha Migelele, Kata ya Lugubu wilayani humo baada ya kuchezewa kiini macho na kuona miti kila…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.