Nuru FM
Nuru FM
16 December 2022, 5:38 pm
Utalii wa kulisha wanyama umetajwa kuwafurashisha zaidi watalii pindi wanapoenda katika ziara Hiyo ambayo safari hii itafanyika huko Jijini Arusha. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Kitengo Cha Masoko kutoka kampuni ya usafirishaji watalii ya Bateleur Safari & Tours iliyopo Mkoani…
16 December 2022, 5:13 pm
Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imeahidi kutoa fedha ili kumalizia ujenzi wa boma la zahanati ya Mtumile baada ya nguvu kazi za wananchi kufikia hatua ya kuezeka bati. Kauli hiyo imetolewa na Waziri…
16 December 2022, 5:01 pm
MABINGWA watetezi, Simba SC wamepangwa Kundi C pamoja na Mlandege na KVZ katika michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza Januari 1 hadi 13, mwakani. Kwa upande wao, mabingwa wa Bara, Yanga SC wao wapo Kundi B pamoja na Singida…
16 December 2022, 4:56 pm
WAFUGAJI zaidi ya 100 kutoka katika kata zote 30 za Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora wameomba kupatiwa elimu ya ufugaji bora na maeneo ya malisho ili kuboresha shughuli zao ikiwemo kuongeza idadi ya mifugo ila sio kupunguza. Hayo yamebainishwa…
16 December 2022, 4:54 pm
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limefanikiwa kupunguza makali ya upungufu wa umeme kutoka wastani wa megawati 350 kwa wiki zilizopita hadi kufikia wastani wa megawati 150 kwa sasa. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco Bw. Maharage Chande mbele ya…
12 December 2022, 11:14 am
Kampuni ya usafirishaji watalii ya Bateleur Safari & Tours Mkoa wa Iringa inatarajia kufanya ziara ya utalii ya kufunga mwaka 2022. Akizungumza na Nuru Fm, Mkurugenzi wa Kampuni Hiyo Rajipa David amesema kuwa kuelekea kufunga mwaka 2022 wameandaa Ziara iliyopewa…
12 December 2022, 6:25 am
Timu ya Igowole FC imefanikiwa kuwa mabingwa wa mashindano ya Kihenzile cup and awards mwaka 2022 baada ya kuifunga Timu ya Nyololo Kwa Mikwaju ya Penalti baada ya kutoka sare ya kufungana goli 2-2 katika dakika 90 za mchezo. Kwa…
8 December 2022, 5:53 am
JESHI la polisi mkoani Iringa linamshikilia David Richard mwenye umri wa miaka 23 kwa kuiba gari aina ya raum rangi ya Grey yenye namba za usajili T 702 DFV mali ya Gasper Abraham mwenye umri wa miaka 34 aliloiba katika…
8 December 2022, 5:48 am
JESHI la polisi mkoani Iringa linamshikilia Mama mmoja anayejulikana kwa jina la Egria Ngalawa kwa tuhuma za kumtoa mimba binti yake mwenye umri wa miaka 17 na kufukia kichanga Kwenye banda la kufugia nguruwe lililopo nyuma ya nyumba yao katika…
1 December 2022, 11:24 am
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikitishwa na watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri za Manispaa na Wilaya ya Iringa kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo na kusababisha halamshauri hizo kushindwa kukusanya maduhuli ya…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.