Nuru FM
Nuru FM
5 October 2022, 5:16 am
Wananchi wa Kijiji cha Mgera kata ya Kiwele wilaya ya Iringa wamemlalamikia mwenyekiti wa Kijiji hicho kwa kuwapora ardhi ya wananchi kwa kutumia mabavu na madaraka aliyonayo ya kiungozi. Akizungumza kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan…
5 October 2022, 5:02 am
SHIRIKA la Viwango Tanzania limefanya mafunzo ya Utekelezaji wa kanuni za Ushirikiano katika Utekelezaji wa Mamlaka na Majukumu baina ya TBS na Tamisemi yaliyotolewa kwa Maafisa Afya na Maafisa Biashara wa mkoa wa Dar es salaam. Akizungumza wakati akifungua Mafunzo…
4 October 2022, 9:17 am
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Halima Dendego amelifufua shamba la Chai lenye hekta zaidi ya elfu 3,000 katika Kijiji cha Kidabaga Kilichopo kata ya Dabada Wilaya ya Kilolo ambalo halikufanya uzalishaji kwa zaidi ya Miaka 30. Akiungumza katika mashamba…
26 September 2022, 1:47 pm
Kiasi cha misokoto 1220 cha madawa ya kulevya aina ya bangi kimekamatwa hapo jana na jeshi la polisi katika kijiji cha mswakini kilichopo wilayani Babati mkoani Manyara. Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa polisi mkoani humo, kamishna msaidizi wa…
26 September 2022, 1:41 pm
MAHAKAMA ya wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha mtu mmoja Ayubu Kiyanza mwenye umri wa miaka 22 mkazi wa eneo la Don Bosco Manispaa ya Iringa kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 6 aliyekuwa akisoma darasa…
19 September 2022, 4:34 pm
JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa, linamshikilia Michael Mbata (34), mfanyabiashara mkazi wa Dar es Salaam kwa tuhuma ya kujipatia Sh Milioni 150 kwa njia ya udanganyifu. Akizungumza na wanahabari leo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi,…
19 September 2022, 4:25 pm
Serikali sasa inatarajia kuokoa shilingi Bilioni 22.4 kwa mwaka ambazo zilikuwa zikigharamia ununuaji wa mafuta kuendeshea mtambo wa Jenereta na matengenezo yake, ili kupata umeme uliokuwa ukitumika Mkoa wa Kigoma. Uokoaji wa kiasi hicho cha pesa unafuatia Mkoa huo kuunganishwa…
19 September 2022, 4:23 pm
Mkuu wa Mkoa wa Da es Salaam, Amos Makalla amefunga Mafunzo ya Vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa JKT, yaliyojulikana kama operesheni Jenerali Venance Mabeyo , huku akiwasihi vijana hao kuwa raia wema na kutojihusisha na vitendo vya uhalifu. RC…
19 September 2022, 4:20 pm
Serikali, imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 3 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Rukwa. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel hii leo Septemba 19, 2022 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu…
17 September 2022, 7:24 am
SERIKALI imewataka maafisa forodha na wasimamizi wa sheria mipakani kuendelea na usimamizi na udhibiti wa kemikali zinazodhibitiwa kwa kuzingatia ukomo wa matumizi wa kemikali hizo. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt.Switbert Mkama wakati akifungua…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.