Nuru FM

Recent posts

30 January 2024, 7:48 pm

Wilaya ya Iringa kuongeza Bajeti ya Majosho ya Mifugo.

Halmashauri ya wilaya ya Iringa imejipanga kuhakikisha inajenga majosho katika maeneo mbalimbali ili kuwarahishishia wafugaji kutotembea umbali mrefu kwa ajili ya kuipeleka mifugo maeneo ya majosho yalipo. Hayo yamezungumzwa katika Baraza la Madiwani la Madiwani la Halmashauri hiyo lilipoketi kwa…

26 January 2024, 10:53 am

Wananchi Mikumi wamshuru SSH kwa mradi wa Regrow

Na Mwandishi wetu. Wakazi waishio pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa Mikumi wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha wanafanikiwa kubadilisha maisha yao kiuchumi kupitia Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza…

15 January 2024, 3:23 pm

Wanafunzi 11, mwalimu wapigwa na radi Iringa

Na Godfrey Mengele Jumla ya wanafunzi 11 na mwalimu mmoja wa shule ya Msingi Uyole iliyopo Halmashauri ya manispaa ya iringa wamepigwa na radi asubuh ya leo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa Mkoa…

15 January 2024, 12:26 pm

Wafungwa gereza la Kihesa Mgagao wapewa msaada

Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa Dkt Ritta Kabati ametoa msaaada kwa wafungwa wa gereza la Kihesa Mgagao wilaya ya Kilolo mkoani Iringa. Akizungumzia kuhusu msaada alioutoa Dkt Kabati amesema kuwa Ametoa sabuni, dawa za meno,…

8 January 2024, 2:22 pm

RC Dendego aagiza wanafunzi wapokelewe bila kikwazo

Na Joyce BugandaMkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amewaagiza Walimu na Wakuu wa Shule wote Mkoani humo kuwapokea bila vikwazo wanafunzi wote wanaojiunga na kidato cha kwanza na wale wanaoanza elimu ya msingi. Ameyasema hayo leo wakati wa…

5 January 2024, 7:26 am

Wakulima Iringa, Morogoro kunufaika na Mpango wa CCROs kutoka TAGRODE

Na Adelphina Kutika Wakulima wadogowadogo na wafugaji kutoka vijiji vinne vya mikoa ya Iringa na Morogoro wanaenda kunufaika na mipango wa matumizi bora ya ardhi na hatimiliki za kilmila (CCROs) baada la Shirika la Tanzania Grassroots Oriented Development (TAGRODE) la…

2 December 2023, 8:32 pm

Bodi ya Utalii Kanda ya Kusini kufanya royal tour Christmas

Na Hafidh Ally BODI YA UTALII KANDA YA KUSINI KUFANYA ROYAL TOUR CHRISTMAS MBUGANI. Bodi ya Utalii Tanzania, Ofisi ya kanda ya Kusini kwa kushirikiana na wadau wa Utalii imeanza kampeni yake maalumu ya kuhamasisha utalii wa ndani iliyopewa jina…

1 December 2023, 9:09 pm

Wakurugenzi waaswa kutekeleza afua za mapambano dhidi ya Ukimwi

Na Adelphina Kutika Wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani Iringa pamoja na wadau wa maendeleo wanaoshughulikia masuala ya Ukimwi chini ya programu ya PEPFAR kuelekeza fedha kwenye shughuli za utekelezaji wa afua za mapambano dhidi ya Virusi Vya Ukimwi. Agizo hilo…

29 November 2023, 9:46 am

Bajaj zinazopita njia tofauti kutozwa faini ya laki 2 Iringa

Na Frank Leonard Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Kastori Msigala ameliomba Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo kurudisha faini ya Sh 200,000 kwa bajaji zinazopita njia zilizozuiliwa. Kwa sasa bajaji zinazokamatwa kwa makosa hayo, wamiliki wake wanatozwa faini…

29 November 2023, 9:15 am

Elimu ya afya ya uzazi kwa vijana Iringa-Makala

Vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi iringa waiomba serikali kuwawekea mazingira rafiki ya kupata elimu na huduma ya afya ya uzazi ili kuwawezesha kujikinga na magonjwa ya zinaa. Undani wa taarifa hii sikiliza makala ifuatayo

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.