Nuru FM
Nuru FM
28 February 2024, 8:56 am
Na Joyce Buganda Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Iringa wametakiwa kushirikiana na watendaji kusimamia vizuri fedha za maendeleo zinazoletwa katika maeneo yao na serikali. Akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Iringa Bashir Mhoja…
27 February 2024, 9:36 pm
Na Mwandishi wetu Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema mfumko wa bei nchini umeendelea kudhibitiwa ambapo kwa kipindi cha Julai hadi Desemba mwaka 2023 ulifikia wastani wa asilimia 3.2, kiwango ambacho kipo ndani ya lengo la kati ya asilimia…
27 February 2024, 8:22 am
Na Hafidh Ally Serikali Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa Inatarajia kuona uzalishaji wa mbolea ya asili unaotokana na mabaki ya mazao misitu unaanza katika kiwanda Cha Dark Earth Carbon. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt.…
23 February 2024, 10:27 am
Na Mwandishi wetu WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene ameupa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF) hadi Machi 5, mwaka huu uwe umelipa malimbikizo yote yanayodaiwa na walengwa wa mpango…
23 February 2024, 9:50 am
Na Godfrey Mengele Shilingi million 246 zimetumika katika ujenzi wa bweni la wasichana katika shule ya sekondari Mseke iliyopo kata ya Masaka halmashauri ya wilaya ya Iringa ili kupunguza adha ya wanafunzi wa kike kutembea umbali mrefu. Akizungumza katika hafla…
22 February 2024, 7:46 pm
Na Mwandishi wetu KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhandisi Cyprian Luhemeja ametoa siku 100 kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Wafanyakazi wa Umma (PSSSF) Abdul-Razaq Badru kuhakikisha awamu ya…
22 February 2024, 7:41 pm
Na Mwandishi Wetu. WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kwa mwaka huu Serikali itaingiza nchini zaidi ya tani 300,000 za sukari ili kukabilana na upungufu uliopo. Amesema hadi kufikia Machi 15, 2024, tani 60,000 za sukari zitakuwa zimeingizwa nchini na…
21 February 2024, 9:09 pm
Na Mwandishi wetu WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara yake kuzuia mishahara ya mwezi huu ya viongozi wa taasisi na idara za serikali, ambao mpaka…
16 February 2024, 7:10 pm
Na Mwandishi wetu. Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa, Elvin Mgeta amemuachia huru Maria Ngoda ambaye awali alihukumiwa kifungo cha miaka 22 jela kwa kosa la kukutwa na vipande 22 vya nyama ya swala. Kwa kupitia…
15 February 2024, 7:23 pm
Na Fabiola Bosco Taasisi ya Rhythm Foundation nchini Tanzania imetoa msaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Ipamba mkoani Iringa katika siku ya wapendanao duniani ambayo huadhimishwa kwa matukio tofauti ulimwenguni. Akizungumza baada ya kutoa msaada huo Shariffa Salum Mdau kutoka…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.