Nuru FM
Nuru FM
2 December 2023, 8:32 pm
Na Hafidh Ally BODI YA UTALII KANDA YA KUSINI KUFANYA ROYAL TOUR CHRISTMAS MBUGANI. Bodi ya Utalii Tanzania, Ofisi ya kanda ya Kusini kwa kushirikiana na wadau wa Utalii imeanza kampeni yake maalumu ya kuhamasisha utalii wa ndani iliyopewa jina…
1 December 2023, 9:09 pm
Na Adelphina Kutika Wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani Iringa pamoja na wadau wa maendeleo wanaoshughulikia masuala ya Ukimwi chini ya programu ya PEPFAR kuelekeza fedha kwenye shughuli za utekelezaji wa afua za mapambano dhidi ya Virusi Vya Ukimwi. Agizo hilo…
29 November 2023, 9:46 am
Na Frank Leonard Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Kastori Msigala ameliomba Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo kurudisha faini ya Sh 200,000 kwa bajaji zinazopita njia zilizozuiliwa. Kwa sasa bajaji zinazokamatwa kwa makosa hayo, wamiliki wake wanatozwa faini…
29 November 2023, 9:15 am
Vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi iringa waiomba serikali kuwawekea mazingira rafiki ya kupata elimu na huduma ya afya ya uzazi ili kuwawezesha kujikinga na magonjwa ya zinaa. Undani wa taarifa hii sikiliza makala ifuatayo
28 November 2023, 7:10 pm
Na Mwandishi wetu Mitazamo tofauti imekuwa ikijitokeza kwenye jamii zetu juu ya suala zima la mwanamke kununua kinga (kondomu) moja kati ya mitazamo hiyo ni kuona au kumchukulia mwanamke anayeenda kununua kinga kama moja kati ya wanawake ambao hawajatulia kwenye…
24 November 2023, 3:11 pm
Na Adelphina Kutika Waandishi wa habari mkoani Iringa wametakiwa kuzingatia sheria za utoaji wa habari ili kuimarisha mahusiano mazuri baina ya vyombo vya habari na Jeshi la Polisi katika utekelezaji wa majukumu yao. Wito huo umetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa…
22 November 2023, 10:40 am
Na Mwandishi wetu. Mbunge Oliver Semuguruka afuta machozi ya watoto wenye mahitaji maalum shule ya msingi Mseto Mgeza, Bukoba Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Kagera, Mh Oliver Semuguruka ametoa msaada wa matanki mawili ya maji yenye ujazo wa lita…
22 November 2023, 9:22 am
Na Hafidh Ally Wananchi Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa wametakiwa kuacha tabia ya Kuharibu vibao vyenye majina ya Barabara na Mitaa ili visaidie kutoa maelekezo kwa wageni wanaotembelea Wilaya hiyo. Kauli hiyo Imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt.Linda…
22 November 2023, 8:06 am
Na Hafidh Ally Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuwaajiri watendaji waliokuwa wakijitolea Katika nafasi zilizotangazwa hivi karibuni. Mh. Kikwete ameyasema hayo…
20 November 2023, 9:46 am
Na Godfrey Mengele Shule ya msingi njiapanda iliyopo kata ya Mwangata Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mkoani Iringa imenufaika na mradi wa kizazi Hodari unaotekelezwa na USAID kanda ya kusini wenye lengo la kuwasaidia Watoto yatima wanaoishi na maambukizi ya…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.