Nuru FM
Nuru FM
28 March 2024, 12:51 pm
Wahifadhi katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha Mkoani Iringa wameeleza kukaniliana na changamoto kwa wanaochunga mifugo yao hifadhini. Na Mwandishi wetu Ng’ombe 547 wamekamatwa wakichungwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha kinyume cha sheria, huku wachungaji wakikimbia na kuitelekeza…
26 March 2024, 4:41 pm
Mradi wa TACTIC utakuwa na lengo la kusaidia Kutekeleza Miradi ya maendeleo katika jamii. Na Sima Bingilek Halmashauri ya Mji Mafinga ni moja kati ya Halmashauri 18 nchini zitakazonufaika na Mradi wa TACTIC kwa Awamu ya Tatu. Timu ya Wataalamu…
26 March 2024, 10:02 am
Miaka mitatu ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imeimarisha demokrasia kwa vyama vya siasa. Na mwandishi wetu Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Iringa kimesema Rais Dr Samia suluhu Hassan ametoa uhuru wa kufanya siasa kwa vyama vyote. Akizungumza…
25 March 2024, 10:19 am
Katika kipindi cha miaka 3 ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Iringa ilipokea shilingi billion 4.4 kwaajili ya kuboresha huduma za afya ndani ya hospitali hiyo. Na Hafidh Ally Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya…
24 March 2024, 11:14 am
Licha ya Mchezo wa Kikapu kupendwa na Watu wa rika tofauti, mchezo huo umeonekana kupendwa zaidi na watu wenye ulemavu baada ya Taasisi ya Ritta Kabati Trust Fund kuwawezesha kufanya mazoezi na kuunda timu imara. Na Hafidh Ally Taasisi ya…
24 March 2024, 10:46 am
Kuhifadhi vyanzo vya maji kunaendana sambamba na zoezi la upandaji wa miti katika maeneo yanayotunguka. Na Mwandishi wetu ZAIDI ya vyanzo 20 vya maji vimehifadhiwa katika shamba la miti la Sao Hill lililopo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa ambavyo vimekuwa…
23 March 2024, 11:38 am
Licha zahanati Kising’a kutoa huduma za kitatibu bado Kuna changamoto ya upungufu wa vifaa tiba. Na Fabiola Bosco Umoja wa wanawake wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Iringa umekabidhi mablanketi 16 na vifaa vya usafi katika zahanati ya kising’a yaliyotolewa…
23 March 2024, 10:56 am
Uwepo wa tembo katika kijiji cha Mtandika umetajwa kuwa kero kwani wamewasababishia hasara ya kuharibu mazao yao. Na Adelphina Kutika. WAKAZI wa Kijiji cha Mtandika kata ya Ruaha Mbuyuni wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wameiomba serikali kuwaondoa Tembo wanaovamia mashamba…
21 March 2024, 10:19 am
Changamoto za machinga zinatakiwa kutatuliwa ili kukuza uchumi wa mkoa wa Iringa Na Joyce Buganda Watendaji wa halmashauri ya manispaa ya Iringa wameagizwa kushirikiana kutatua tatizo la machinga ili kuleta maendeleo ya mkoa. Agizo hilo amelitoa leo mkuu wa Mkoa…
21 March 2024, 9:48 am
Siku chache baada ya soko kuu la Iringa kuruhusiwa kufanya biashara mpaka saa nne usiku, Mkuu wa Wilaya ya Iringa ameagiza utekelezaji wa kukarabati miundombinu ya soko hilo. Na Mwandishi wetu. Mkuu wa wilaya ya Iringa Kheri James ameilekeza Halmashauri…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.