Nuru FM
Nuru FM
3 June 2024, 9:45 am
Mkoa wa Iringa ni miongoni mwa mikoa iliyoingiziwa fedha za miradi ya maendeleo huku wasimamizi wakitakiwa kusimamia miradi hiyo kwa weledi. Wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mkoani Iringa wameaswa kusimamia ipasavyo miradi ya maendeleo ili iwe na tija…
27 May 2024, 10:33 am
Wazazi wameshauriwa kutenga muda wa kukaa na watoto wao na kujenga mahusiano mazuri ya kirafiki na ya ukaribu ili kuwaweka karibu watoto na kuwafanya wawajue wazazi wao vizuri. Na Adelphina Kutika Mkuu wa Wilaya ya Iringa Kheri James amewahimiza wananchi…
24 May 2024, 1:49 pm
Malezi na makuzi Bora kwa mtoto imetajwa kuwa sababu inayopelekea kuongeza kujiamini kwa watoto Mkoani Iringa Na Joyce Buganda Shirika la SOS children’s villagers wamefanya kikao cha kujadili na kushawishi ongezeko la bajeti katika shuhuli za ulinzi wa mtoto huku…
23 May 2024, 12:27 pm
Licha ya wafanyabiashara kufanya kazi zao kwa mazignira rafiki Bado kumekuwa na changamoto ya kukadiriwa Kodi kubwa. Na Joyce Buganda Wafanyabiashara mkoani Iringa wameilalamikia mamlaka ya mapato Tanzania TRA kuwatoza kodi kubwa hasa wanaposafirisha bidhaa zao kutoka mikoa ya jirani.…
22 May 2024, 11:03 am
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewataka wafanyabiashara kusaini mkataba hadi kufikia jumatatu ya mei 27,2024 huku wakitakiwa kuanza kulipa kiasi cha shilingi Elfu 80 kwa mwezi kwa kila kibanda makubaliano ambayo utekelezaji wake utaanza juni mosi mwaka huu.…
21 May 2024, 11:12 am
Imeonekana kuwa mwelekeo wa kuchukua virutubisho umeongezeka kwa kiasi kikubwa miongoni mwa jamii ili kutokomeza udumavu mkoani Iringa. Na Joyce Buganda Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewataka Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Maafisa Elimu na Maafisa Biashara mkoani Iringa…
20 May 2024, 8:52 pm
Katika kuhakikisha vijana wanaingia kwenye kilimo, zaidi ya shilingi milioni 100 zimetengwa ili kuongeza thamani ya sekta hiyo kwa mkoa wa Iringa. Na Aadelphina Kutika Vijana wapatao hamsini (50) mkoani Iringa wamekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya shilingi millioni 100 ikiwa…
17 May 2024, 12:17 pm
Na Mwandishi Wetu Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro, imemuhukumu Mohamed Omary Salahange (38) kwenda jela miaka 30 baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka mtoto wake wa kike wa kufikia kwenye kesi namba 8112/2024 iliyokuwa ikimkabili. Akisoma hukumu hiyo Hakimu…
17 May 2024, 8:54 am
Wizi wa mifugo umekuwa desturi iliyoenea na wakati mwingine inayosababisha wafugaji kuwa maskini jambo lililopelekea jamii hiyo kuazimia namna ya kukabiliana na changamoto. Na Joyce Buganda Wizi wa mifugo watajwa kuwa kikwazo kikubwa kwa wadau wa ufugaji mkoani iringa huku…
16 May 2024, 11:30 am
Kikosi cha Usalama Barabarani, Mkoa wa Iringa kimeanza kutoa elimu ya umuhimu wa kuweka viakisi mwanga kwenye magari ili kupunguza ajali za barabarani hasa kwenye maeneo hatarishi nyakati za usiku. Na Hafidh Ally Madereva wa vyombo vya moto wameshauriwa kuweka…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.