Nuru FM
Nuru FM
17 September 2024, 10:40 am
Sheria za usalama barabarani zinakataza madereva wa magari ya abiria kupakia abiria pamoja na mizigo katika usafiri huo ili kuepukana na madhara endapo itatokea ajali. Na Hafidh Ally Wamiliki wa vyombo vya moto nchini wametakiwa kuhakikisha Madereva wa vyombo hivyo…
17 September 2024, 10:32 am
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unahusisha kuchagua viongozi kwenye nafasi za Mwenyekiti wa Kijiji, Mwenyekiti wa Kitongoji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji (Mchanganyiko) na Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji (Kundi la Wanawake). Na Hafidh Ally Kuelekea uchaguzi wa serikali za…
16 September 2024, 1:42 pm
Na Godfrey Mengele Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Iringa Mjini kupitia Mwenyekiti wa jimbo hilo, Frank Nyalusi kimetuma salamu kwa Jeshi la Polisi kufuatia azimio la kuandamana lililotolewa na kamati kuu ya chama hicho. Nyalusi ameyasema hayo…
16 September 2024, 1:22 pm
Viongozi wa dini wametajwa kuwa msaada katika kuhakikisha wananchi wanashiriki katika Shughuli za kijamii. Na Joyce Buganda Viongozi wa dini Wilaya ya Iringa wametakiwa kuwajibika na kuwahimiza waumini wao wanashiriki katika shuhuli za maendeleo hasa za uzalishaji mali. Wito huo…
4 September 2024, 12:13 pm
Na Joyce Buganda Wazazi na walezi wa kijiji cha Kisilwa Kata ya Mahuninga Wilaya ya iringa wamepongezwa kwa kuwa na muamko wa kuwaendeleza watoto wao shule pindi wanapomaliza darasa la saba. Hayo yamezungumzwa kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha…
4 September 2024, 10:59 am
Na Adelphina Kutika Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka Walimu wa Hesabu kuwaandaa wanafunzi na vijana kujikita katika masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) ili kupata fursa ya kushiriki maendeleo ya Dunia katika zama hizi za kidijiti. Hayo…
3 September 2024, 9:50 am
Na Joyce Buganda Mkuu wa Wilaya Iringa Kheri James amewapongeza Chama cha walimu Tanzania mkoa wa Iringa kwa mafanikio ya kununua gari kwa ajili ya shughuli mbalimbali. Pongezi hizo zimetolewa wakati wa kutambulishwa kwa gari lililonunuliwa kwa michango ya wanachama…
3 September 2024, 9:33 am
Ukosefu wa hosteli katika kada za elimu hapa nchini Tanzania imekuwa ni changamoto inayowakabili wanafunzi wengi jambo linalopelekea kushindwa kutimiza malengo yao. Na Adelphina Kutika Wanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) wameishukuru serikali kuwaletea mradi wa (HEET)…
30 August 2024, 10:27 am
Na Adelphina Kutika na Ayoub Sanga Wenyeviti wa Serikali ya Vijiji katika Halmashauri za Iringa wametakiwa kusimamia miradi ya Wadau wa Maendeleo inayolenga vijana ili kuhakikisha utekelezaji wake unafanyika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa. Wito huo umetolewa na Afisa…
29 August 2024, 3:15 pm
Na Joyce Buganda Shirika la SOS Childrens Villagers kupitia mradi wa binti bora limetoa vifaa vya saluni na cherehani 14 vyenye thamani ya shilingi milioni 5 na laki mbili ili kuwaendeleza wasichana hao kimaisha. Akizungumza wakati wa zoezi la utoaji…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.