Nuru FM

Recent posts

16 December 2024, 8:51 am

Wafugaji Iringa waaswa kujiwekea mpango kazi wa ufugaji

Na Adelphina Kutika Wafugaji wa Kijiji cha Ng’osi kata ya Uhambingeto wilaya ya Kilolo mkoani Iringa wameshauriwa kuweka mipango kazi katika shughuli zao za ufugaji ili kufanya ufugaji wenye tija. Hayo yamesemwa na Afisa Mifugo kata ya Uhambingeto Alex Sangijo…

11 December 2024, 9:59 pm

Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia yazinduliwa Iringa

Na Hafidh Ally Wananchi Mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia iliyozinduliwa rasmi katika Viwanja vya Mwembetogwa Mkoani Iringa. Akizungumza katika uzinduzi wa Kampeni hiyo Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya…

10 December 2024, 12:31 pm

Wanaume Iringa walalamikia kupigwa na wake, kuwekewa limbwata

Na Mwandishi wetu Wanaume kutoka Kijiji cha Igangidung’u Kata ya Kihanga wilayani Iringa wameeleza namna ambavyo wanafanyiwa ukatili wa kisaikolojia kwa kupewa dawa za kuwapumbaza akili zikifahamika kwa jina la ‘limbwata’ sambamba na kukutana na vipigo kutoka kwa wake zao.…

9 December 2024, 11:02 am

Magari 45 yakutwa na makosa mbalimbali Iringa

Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na timu maalum kutoka Kikosi cha Usalama barabarani Makao Makuu limefanya ukaguzi wa vyombo vya moto ambapo jumla ya magari 45 yamekutwa na makosa mbalimbali. Akizungumza kwenye operesheni hiyo…

7 December 2024, 10:40 am

Mwili wa mchungaji aliyedai akifa atafufuka wazikwa mkoani Iringa

Na Mwandishi wetu Mchungaji wa Kanisa la El-Huruma (E.H.C), John Chida, ambaye mwili wake ulihifadhiwa ndani ya nyumba kwa miezi miwili tangu alipofariki dunia ikisubiriwa kuwa angefufuka, umezikwa. Mwili wa Chida (47), umezikwa katika makaburi ya Mlolo, Manispaa ya Iringa…

5 December 2024, 8:55 am

Mchungaji aliyedai akifa atafufuka mwili wake wakutwa umeoza

Na Godfrey Mengele Hali ya kustaajabisha imetokea katika kijiji cha Isakalilo kilichopo kata ya Kalenga mkoani Iringa umekutwa mwili wa Mchungaji wa Kanisa la Huruma Mch John Wilson Chiba aliyefariki dunia tangu mwanzoni mwa mwezi wa Oktoba 2024 huku kukiwa…

4 December 2024, 12:03 pm

Skimu ya umwagiliaji Tarafa ya Pawaga kuongeza uzalishaji wa mpunga

Na Adelphina Kutika Ujenzi wa skimu ya umwagiliaji ya Mkombozi wenye thamani ya shilingi bilioni 55 uliopo Tarafa ya Pawaga wilaya ya iringa unatarajia kuongeza uzalishaji wa mpunga na kuinua uchumi wa Kata za Itunundu na Mboliboli. Hayo ameyasema Mhandisi…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.