Nuru FM
Nuru FM
4 December 2025, 2:49 pm
“Tushirikiane katika kuwatumikia wananchi ili kuleta maendeleo” Na Joyce Buganda Diwani wa kata ya Nzihi Steven Mhapa amefanikiwa kutetea Nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Iringa kwa kura 37 kati ya kura 37 zilizopigwa huku kiti cha…
3 December 2025, 7:07 pm
“Ukusanyaji wa Mapato umesaidia kupima utendaji kazi wa watumishi wa Bodi hiyo” Na Adelphina Kutika Bodi ya Tisa ya Bonde la Maji Rufiji imefanikiwa kuongeza mapato ya ndani kutoka shilingi bilioni 2.4 mwaka 2022/2023 hadi kufikia zaidi ya shilingi bilioni…
3 December 2025, 1:43 pm
“Ukusanyaji wa mapato utasaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo” Na Fredrick Siwale Madiwani wa Baraza jipya la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, wamekula kiapo cha utii na uwajibikaji kwa kipindi cha mwaka 2025 hadi 2030. Kiapo…
2 December 2025, 11:35 am
“Changamoto ya Barabara inatakiwa kutatuliwa ili kukuza uchumi wa wananchi wa Kilolo”. Na Hafidh Ally Mbunge wa jimbo la Kilolo, Dr. Ritta Kabati amefanya ziara ya kikazi katika ofisi za wakala ya barabara za vijijini na Mijini (TARURA) wilaya ya…
2 December 2025, 10:38 am
Na Joyce Buganda Tanzania inatarajiwa kunufaika na fedha hadi dola million 20 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia mfuko wa kukabiliana na hasara na uharibifu. Nuru FM imekuandalia makala hii maalum…
26 November 2025, 10:46 am
Matukio ya ukatili yamekuwa yakidumaza ustawi wa watoto na wanawake. Na Joyce Buganda Wadau na Wajumbe wa mpango wa Taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto MTAKUWWA sehemu ya 2 wametakiwa kutumia uzoefu wao katika kuelimisha jamii kupinga…
26 November 2025, 7:15 am
“Bima hizo zitawasaidia kupata fidia endapo utakutana ana majanga yatakayoharibu biashara” Na Godfrey Mengele Wafanyabiashara wanaojishughulisha na shughuli za sekta isiyo rasmi ikiwamo bodaboda, mamalishe, wauza mitumba na makundi mengine wametakiwa kujiunga na huduma za bima ili kujilinda na majanga…
24 November 2025, 10:04 pm
Wananchi wanakumbushwa kudumisha uhifadhi wa mazingira huku wakichukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Na Joyce Buganda Nuru FM imekuandalia makala fupi kuhusu mkakati wa serikali mkoani Iringa wenye lengo la kuwaunganisha wananchi katika mifumo na miradi…
18 November 2025, 2:02 pm
“Wajasiriamali wanapaswa kuunganishwa na taasisi za kifedha kwa lengo la kuwainua kichumi” Na Adelphina Kutika Wataalamu waliofadhiliwa na shirika la Campaign for Female Education (CAMFED) nchini Tanzania wameiomba Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) kuwasaidia kuwaunganisha na taasisi za kifedha,…
18 November 2025, 11:41 am
Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, maarufu kamaConference of the Parties — COP 30, unaendelea huko Belem nchini Brazil, ambapoTanzania ikiwa imewasilisha agenda kumi na mbili. Na Joyce Buganda Nuru Fm imekuandalia makala fupi kuhusu athari zinazowakumba…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.