Nuru FM
Nuru FM
17 March 2026, 9:55 am
Madaktari Bingwa kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa Kwa kishirikina na shirika la KCCO wanatoa huduma hizo za kibingwa kwa wananchi. Na Hafidh Ally Jumla ya wagonjwa 2,000 wamepata huduma ya matibabu ya macho mkoani Iringa katika kipindi…
17 March 2026, 9:19 am
Changamoto ya Masuala ya afya ya uzazi na ukatili imepelekea shirika la TAHEA na Serikali kutoa elimu kwa wanafunzi. Na Gerald Malekela Wanafunzi wa Shule ya Ufundi Ifunda na Tanangozi Sekondari Wilayani Iringa wamepatiwa elimu ya kupinga ukatili wa kijinsia…
16 March 2026, 10:20 am
Moto huo ulitekekeza bidhaa za wajasiriamali ambazo bado thamani yake haijawekwa wazi. Na Hafidh Ally Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijafahamika umeteketeza maduka 20 ya wafanyabiashara wa bidhaa za kitalii katika eneo la Garden lililopo Manispaa ya Iringa na…
13 March 2026, 12:30 pm
Watumishi wanapaswa kuzingatia ushirikiano katika maeneo yao ya kazi ili kuongeza ufanisi wa utoaji huduma kwa wananchi wa Mkoa wa Iringa. Na Hafidh Ally Watumishi wa umma wa kada mbalimbali ambao wamepata ajira mkoani Iringa wametakiwa kuzingatia misingi ya sheria…
13 March 2026, 9:00 am
Mtuhumiwa amekamatwa kwa haraka baada ya maagizo yalitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Heri James, aliyesisitiza hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi ya wahusika wa tukio hilo. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limemkamata mtuhumiwa wa…
13 March 2026, 8:34 am
Mvua hizo zimesababisha uharibifu wa nyumba, upotevu wa mali pamoja na kuharibiwa kwa mazao yaliyokuwa mashambani. Na Ayoub Sanga Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali mkoani Iringa zimesababisha maafa makubwa ikiwemo uharibifu wa nyumba, upotevu wa mali na kuharibiwa…
12 March 2026, 12:14 pm
“Kitendo cha kuwekwa kwa makufuli katika milango ya biashara zetu hatukubaliani nacho” Na Fredrick siwale Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mafinga katika Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamelalamikia hatua ya baadhi ya maafisa wa halmashauri hiyo kufunga milango…
12 March 2026, 8:42 am
Mradi huu unatekelezwa ukiwa na lengo la kuwalipia maji ya Mkopo kupitia IRUWASA na kisha wananchi kulipa kidogo kidogo. Na Hafidh Ally Wananchi wa Mpaka kijiji cha Ibangamoyo Kilichopo Kata ya Ulanda Wilaya ya Iringa Vijini wamenufaika na mradi wa…
11 March 2026, 9:27 am
Utafiti huo wa sekta ya misitu unatarajia kukuza mnyororo wa thamani ya mazao hayo kwa wakulima wadogo. Na Joyce Buganda Serikali mkoani Iringa kwa kushirikiana na Shirika la Forland Tanzania imezindua matokeo ya utafiti kuhusu maendeleo ya sekta ya misitu,…
11 March 2026, 9:09 am
Kutokana na changamoto ya ukosefu wa samani hizo, walimu walilazimika kutumia viti vya wanafunzi wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Na Ayoub Sanga Mkurugenzi wa Ndete Store , Lucas Ndete, amekabidhi meza na viti kwa walimu wa Shule…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.