Nuru FM
Nuru FM
18 November 2025, 11:41 am
Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, maarufu kamaConference of the Parties — COP 30, unaendelea huko Belem nchini Brazil, ambapoTanzania ikiwa imewasilisha agenda kumi na mbili. Na Joyce Buganda Nuru Fm imekuandalia makala fupi kuhusu athari zinazowakumba…
11 November 2025, 11:38 am
Mradi wa Iringa Commercial Complex unatarajiwa kukuza uchumi wa Iringa. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Herry James, amepongeza maendeleo makubwa ya ujenzi wa mradi wa Iringa Commercial Complex, unaotekelezwa mjini Iringa kwa gharama ya shilingi bilioni…
9 November 2025, 2:18 pm
Tanzania ni mwanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa na mabadiliko ya tabia nchi, itifaki ya Kyoto na makubaliano ya Paris UNFCCCTanzania ikiwa kama mshiriki wa mkutano wa COP 30. Na Joyce Buganda Wataalamu wa masuala ya mazingira wametakiwa kuwafikia…
28 October 2025, 12:34 pm
“Lengo la mafunzo hayo ni kuwaona wanahabari katika ngazi ya kitaifa wakiweza kuhabarisha jamii juu ya mkutano huo kwa kuandika habari za kabla, wakati na baada ya mkutano” Na Joyce Buganda Wanahabari wametakiwa kuandika habari zenye kufikia jamii hasa katika…
27 October 2025, 3:31 pm
“Zingatieni maadili na viapo vyenu mnapoenda kusimamia uchaguzi katika vituo vyenu” Na Fredrick Siwale Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Jimbo la Mafinga Mjini Imewataka Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura kusimamia maadili na masharti ya…
27 October 2025, 8:43 am
Mikopo hiyo imetolewa kupitia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo katika kipindi cha miezi tisa. Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo mkoani iringa imetoa mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 1.7 kwa vikundi 104 vya…
24 October 2025, 8:34 am
“Magari haya yatakuwa chachu ya kupunguza matukio ya uhalifu mkoani Iringa” Na Hafidh Ally MKUU wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amekabidhi magari mapya manane (8) kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa ili kuboresha mazingira ya utendaji kazi na…
23 October 2025, 11:29 am
“Udereva ni taaluma kama taaluma nyingine na ni vyema wakazingatia weledi wanaootekeleza majukumu yao” Na Adelphina Kutika Madereva wa Magari ya Masafa marefu ndani na nje ya Tanzania wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia msingi kama ya Jeshi la Polisi…
23 October 2025, 10:46 am
“Nichagueni ili niwaletee huduma bora ya maji katika eneo lenu” Villa Na Fredrick Siwale Mgombea wa Ubunge Jimbo la Mafinga Mjini kupitia chama cha Mapinduzi CCM Dickson Nathan Lutevele Villa ameahidi kutatua kero ya Maji kwa wananchi wa eneo la…
23 October 2025, 10:25 am
Na Noela Nyalusi Jeshi la Polisi Kikosi Cha usalama Barabarani Mkoa wa Iringa limewataka abiria wanaosafiri kwenda mikoani kukata tiketi katika kampuni husika ili kuepuka kulipa kiasi kikubwa tofauti na bei elekezi. Hayo yamezungumwa na Afisa Usalama barabarani wilaya ya…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.