Nuru FM

Wanawake wenye ulemavu wanashirikije uchaguzi mkuu 2025?

27 August 2025, 11:21 am

Cover ya kipindi cha Safari ya Uchaguzi kinachoruka hapa Nuru FM Radio. Na Chacha Robert

Makala hii inaelezea ushiriki wa wanawake wenye ulemavu katika nafasi za uongozi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

Na Hafidh Ally na Dorice Olambo

Nuru FM imekuandalia makala hii maalum kujua ni kwa kiwango gani watu wenye ulemavu hasa wanawake wanapewa fursa ya kushiriki katika Uchaguzi Mkuu ili kupata nafasi za uongozi.