Radio Tadio

Ulemavu

6 December 2023, 8:27 pm

Jaccafo yafanya maadhimisho ya watu wenye ulemavu Maswa

Jamii wilayani Maswa imeaswa kuwafichua watoto wenye ulemavu waliofungiwa majumbani ili waweze kuzifikia ndoto zao kielimu, kiuchumi  na kijamii. Na Alex Sayi Shiriki lisilo la kiserikali la Juniors and Child Care Foundation (JACCAFO) limefanya maadhimisho ya siku ya walemavu Duniani…

23 October 2023, 15:00 pm

Makala: Upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wenye ulemavu

Upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wenye ulemavu ni makala inayozungumzia masuala mbalimbali ambayo watu wenye ulemavu hukumbana nayo na pia imeeleza namna ambavyo wanapata huduma. Makala hii imeelezea madhira wanayopitia katika maeneo ya kutolea huduma. Na Msafiri Kipila…