
siasa

9 July 2025, 5:49 pm
ZEC yazindua kamati ya maadili kitaifa kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Mary Julius. Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Jaji Aziza Iddi Suwed ametoa wito kwa wajumbe wa kamati hiyo kushiriki kikamilifu kwa kutoa maoni yao…

July 7, 2025, 8:53 pm
Vikundi vya wafugaji Muleba vyagawiwa ng’ombe
Vikundi 6 ni vya wanawake ambavyo vimekopeshwa shilingi milioni 159, vikundi vya Vijana 5 vimekopeshwa shilingi milioni 132.5 huku kikundi kimoja cha wanawake ambacho kimekopeshwa jumla ya shilingi milioni 50 kwa ajili ya uzalishaji wa bidhaa zinazotokana na maziwa. Na…

19 June 2025, 9:37 AM
Usiri watajwa chanzo ukatili kwa watoto Masasi
“Familia nyingi zinaamua kukaa kimya pindi mwanafamilia anapomfanyia ukatili mtoto aliyeko ndani ya familia hiyo, kwa kuhofia kuwa wakiripoti tukio hilo mwanafamilia huyo atachukuliwa hatua“ Na Neema Nandonde Jamii wilayani Masasi mkoani Mtwara imetakiwa kuacha kuficha matukio ya ukatili dhidi…

June 7, 2025, 7:47 am
ADP Mbozi lawataka watoa huduma za afya wajifunze lugha ya alama
Ni kurahisisha mawasiliano na wasiosikia Na Stephano Simbeye Shirika lisilo la Kiserikali la ADP Mbozi mkoani Songwe limewasihi watoa huduma za afya nchini kuielewa lugha ya alama inayotumiwa na wenye changamoto za kusikia ili waweze kuwasiliana vuziri na watu wanaotumia…

6 June 2025, 2:57 pm
Ajenda ya no reforms no election yatua Bonde la Kilombero
Chadema tumesema yafanyike marekebisho ya sheria ndio tuingie kwenye uchaguzi 2025 Na Elias Maganga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kinaendelea na ziara yake Nchi nzima ya kuhamasisha Agenda ya kutoshiriki uchaguzi mkuu kama hakutakuwa na marekebisho makubwa ya mifumo na…

11 March 2025, 4:28 pm
Madereva bajaji wafanya uchaguzi Mpanda
Picha ya madereva bodaboda. Picha na Edda Enock “Waliochaguliwa watimize ahadi walizotuahidi” Na Edda Enock Maafisa usafirishaji bajaji manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamefanya uchaguzi wa viongozi kwa ngazi mbalimbali. Akitangaza matokea ya uchaguzi huo mwenyekiti wa uchaguzi huo Mrisho…

20 December 2024, 7:30 pm
Wananchi Katavi wasisitizwa kuchagua viongozi bora
“Wapime viongozi kwa vitendo, msiwapime viongozi kwa maneno“ Na Edda Enock -Katavi Wananchi wilayani Nsimbo Mkoani Katavi wametakiwa kuchagua viongozi bora ambao watafanya kazi kwa vitendo na sio kwa maneno ili kutimiza majukumu yao kama viongozi kwa kuzingatia ilani ya…

27 November 2024, 3:48 pm
RC Katavi ahamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura
“Mrindoko amewataka wananchi Kuendelea kujitokeza katika vituo mbalimbali walivojiandikisha ili kuweza kujitokeza ili kutimiza haki yao ya kupiga kura.” Na Betord Chove -Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko Ameshiriki kupiga kura katika kituo cha Shule ya Msingi…

25 November 2024, 3:03 pm
RC Katavi ahimiza haki katika uchaguzi wa serikali za mitaa
“kila mwananchi aliyejiandikisha ana haki ya Kwenda kuchagua kiongozi anayemuona ataweza kumtumikia kwa miaka mitano.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewahimiza wananchi wa mkoa wa Katavi waliojiandikisha katika daftari la mkazi kujitokeza kupiga…

25 November 2024, 1:40 pm
Madereva bajaji Katavi kutotumika kuvunja amani wakati wa uchaguzi
“wajibu wao kuhakikisha hawatumiki kipindi hichi cha uchaguzi wa serikali za mitaa kuvunja amani .“ Na Lilian Vicent – Katavi Madereva bajaji Kituo cha soko kuu Manispaa ya Mpanda Mkaoni Katavi wamesema katika kipindi cha kampeni hawatakubali kutumika kuvunja amani.…