Radio Tadio

siasa

8 August 2026, 6:46 pm

Tantrade yawahimiza usajili wa bidhaa nchini

Wakulima, wazalishaji na wafanyabiashara nchini wametakiwa kujisajili na kupata nembo ya TANTRADE ili kuongeza utambulisho wa bidhaa zao na kuzifanya zitambulike zaidi katika masoko ya kimataifa. Na Gasper Sambweti Afisa mwandamizi wa biashara wa TANTRADE, Bw. Thomas Peter Mallya amesema…

30 July 2026, 3:07 pm

APSP yakazia weledi na uwajibikaji

Wataalamu wa ununuzi na ugavi nchini wamehimizwa kuimarisha usimamizi wa vihatarishi katika mchakato wa ununuzi wa umma kwa kubaini mapema sababu zinazoweza kusababisha hasara au ukiukwaji wa sheria. Na Mariam Mallya Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Wataalamu…

28 February 2026, 4:42 pm

Kijana mwenye ulemavu apatiwa baiskeli Geita

“Naimani baiskeli hii itamsaidia kuweza kutimiza majukumu yake ya kila siku, nina imani pia ataitunza vizuri” – MNEC Evarist Gervas Na: Ester Mabula Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka mkoa wa Geita, Evarist Gervas, ametimiza…

25 February 2026, 7:01 pm

Yaliyojificha malezi ya watoto katika jamii

“Watoto wamefikia sehemu wanajichukulia maamuzi yao jambo linalosababisha kuzalisha majambazi, vibaka, watoto wa mtaani jambo ambalo sio zuri na sisi kama ustawi wa jamii tunaendelea kutoa elimu katika jamii na kuwasisitiza kushirikiana katika malezi” Virginia Fredinand. Na; Emily Adam Baadhi…

5 January 2026, 3:42 pm

Sagayika agusa wahitaji kata ya Kalangalala

“Ibada njema ni yenye kukumbuka watu wenye uhitaji na kuweza kuwasaidia ili waweze kujisikia vizuri kama watu wengine” – Diwani Sagayika Na: Ester Mabula Diwani wa kata ya Kalangalala Mhe. Ruben Emmanuel Sagayika ameuanza vyema mwaka 2026 kwa kuwakumbuka wagonjwa,…

26 December 2025, 2:07 am

Mbunge Chato Kusini awakumbuka wagonjwa sikukuu ya krismasi

“Ofisi ya mbunge jimbo la Chato Kusini itaendelea kushirikiana na wananchi katika mambo mbalimbali kwaajili ya maendeleo ya jimbo letu” – Joseph James, Katibu wa Mbunge Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Chato kusini Paschal Lutandula amewakumbuka wagonjwa wanaopatiwa…

24 October 2025, 19:52

Wafanyabiashara Kilosa walia na ukosefu wa choo

Soko hilo la Kilabu cha Mtendeni linahudumia watu wengi kila siku, na bila choo, mazingira yameanza kuwa hatarishi kwa kusababisha uchafuzi unaoweza kusababisha magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu. Na Beatrice Majaliwa Wafanyabiashara wa soko la kilabu cha Mtendeni lililopo katika…

22 October 2025, 11:15 pm

Atakaye kamatwa na trampa faini milioni moja

Mafundi Gereji zaidi ya 200 Krokoni Waeleza Kero Zao kwa Mkuu wa Wilaya Arusha, DC Mkude Aahidi Utekelezaji na Onyo kwa Wanaotumia Trampa Na Jenipha Lazaro Umoja wa Mafundi gereji Krokoni mtaa wa Kitangare, kata ya Kimandolu mkoani Arusha wamemuomba…