Mpanda FM

Recent posts

15 January 2024, 11:39 am

RC Katavi ashauri kubadilishwa mkandarasi barabara ya Kibaoni-Stalike

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko( upande wa kulia)akitoa Maelekezo baada ya kupokea taarifa ya ujenzi wa Barabara.Picha na Kinyogoto Festo Barabara hiyo imekuwa na changamoto Kwa muda mrefu Kwani Wananchi wanapata adha ya kusafiri Kwa muda wa masaa…

20 December 2023, 5:15 pm

Askari wa zimamoto Katavi washauriwa kufanya kazi kwa weledi

Askari wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji Katavi washauriwa kufanya kazi kwa weredi na kuendelea kuwa wavumilivu. Na Gladness Richard – Katavi Askari wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji mkoani Katavi wameshauriwa kufanya kazi kwa weredi na kuendelea kuwa wavumilivu…

20 December 2023, 5:05 pm

Ng’ombe 14 wafa baada ya kunywa maji yenye sumu

Ng’ombe 14 wamekufa baada ya kusadikika kunywa maji yenye sumu katika kitongoji cha Mwenge. Na Ben Gadau – Katavi Ng’ombe 14 wamekufa baada ya kusadikika kunywa maji yenye sumu katika kitongoji cha Mwenge kijiji cha Sosaiti kata ya Magamba Manispaa…

20 December 2023, 4:15 pm

Wananchi Katavi waaswa juu ya matumizi holela ya dawa za kuzuia mbu

Wananchi Katavi wameeleza mbinu wanazozitumia katika kuzuia na kupambana na ugonjwa wa malaria. Na Gladness Richard – Mpanda Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza mbinu wanazozitumia katika kuzuia na kupambana na ugonjwa wa malaria katika msimu huu wa mvua.…

20 December 2023, 4:06 pm

Wananchi Katavi waaswa kukata bima  ya afya

Kufuatia uwepo wa sheria ya bima ya afya kwa wote wananchi wa mkoa wa Katavi wametakiwa kukata bima  ya afya. Na Deus Daud – KATAVI Kufuatia uwepo wa sheria ya bima ya afya kwa wote wananchi wa mkoa wa Katavi…

18 December 2023, 3:46 pm

Wazazi, walezi Katavi washauriwa kuchukua tahadhari kipindi cha mvua

Wazazi na walezi mkoani Katavi, washauriwa kuchukua tahadhari kipindi hiki cha mvua  kwa kuwalinda Watoto. Na Gladness Richard – KATAVI Wazazi na walezi mkoani Katavi wameshauriwa kuendelea kuchukua tahadhari kipindi hiki cha mvua  kwa kuwalinda watoto  wasicheze pembezeno mwa mito.…

18 December 2023, 3:18 pm

Ewura yaahidi huduma  bora  za maji ,umeme, petroli na gesi asilia

Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji Ewura imesema  inahakikisha mtumiaji anapata huduma  bora  za maji ,umeme, petroli na gesi asilia. Na Lilian Vincent – KATAVI Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji Ewura imesema  moja…

16 December 2023, 5:23 pm

Zaidi ya Heka 6 za mahindi zafyekwa na serikali

Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia  kulima mazao marefu katikati ya makazi ya watu zoezi la kufyeka mazao Kwa ambao walikaidi agizo hilolimeendelea. Na Mwandishi wetu – Mpanda Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia  kulima mazao…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.