Recent posts
15 January 2024, 11:39 am
RC Katavi ashauri kubadilishwa mkandarasi barabara ya Kibaoni-Stalike
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko( upande wa kulia)akitoa Maelekezo baada ya kupokea taarifa ya ujenzi wa Barabara.Picha na Kinyogoto Festo Barabara hiyo imekuwa na changamoto Kwa muda mrefu Kwani Wananchi wanapata adha ya kusafiri Kwa muda wa masaa…
15 January 2024, 10:28 am
Wazazi Mkoani Katavi Washauriwa Kuzingatia Matumizi Sahihi ya Dawa kwa Watoto
Picha na Mtandao Dawa hizo Mara nyingi huwa zinatolewa kwa Watoto walio na umri chini ya miaka mitano Na Gladness Richard-Katavi Baadhi ya Wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya Matumizi sahihi ya dawa za…
20 December 2023, 5:15 pm
Askari wa zimamoto Katavi washauriwa kufanya kazi kwa weledi
Askari wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji Katavi washauriwa kufanya kazi kwa weredi na kuendelea kuwa wavumilivu. Na Gladness Richard – Katavi Askari wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji mkoani Katavi wameshauriwa kufanya kazi kwa weredi na kuendelea kuwa wavumilivu…
20 December 2023, 5:05 pm
Ng’ombe 14 wafa baada ya kunywa maji yenye sumu
Ng’ombe 14 wamekufa baada ya kusadikika kunywa maji yenye sumu katika kitongoji cha Mwenge. Na Ben Gadau – Katavi Ng’ombe 14 wamekufa baada ya kusadikika kunywa maji yenye sumu katika kitongoji cha Mwenge kijiji cha Sosaiti kata ya Magamba Manispaa…
20 December 2023, 4:43 pm
Katavi yaongoza kuwa na ongezeko la watu mara mbili zaidi nchini Tanzania
Viongozi,watendaji na wadau mkoani Katavi wameaswa kuyatumia vizuri Matokeo ya sensa ya sita ya watu na makazi iliofanyika mwaka 2022 katika kutimiza adhma ya serikali Na Festo Kinyogoto – Katavi Mkoa wa Katavi unaongoza Kwa kuwa na ongezeko la watu…
20 December 2023, 4:15 pm
Wananchi Katavi waaswa juu ya matumizi holela ya dawa za kuzuia mbu
Wananchi Katavi wameeleza mbinu wanazozitumia katika kuzuia na kupambana na ugonjwa wa malaria. Na Gladness Richard – Mpanda Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza mbinu wanazozitumia katika kuzuia na kupambana na ugonjwa wa malaria katika msimu huu wa mvua.…
20 December 2023, 4:06 pm
Wananchi Katavi waaswa kukata bima ya afya
Kufuatia uwepo wa sheria ya bima ya afya kwa wote wananchi wa mkoa wa Katavi wametakiwa kukata bima ya afya. Na Deus Daud – KATAVI Kufuatia uwepo wa sheria ya bima ya afya kwa wote wananchi wa mkoa wa Katavi…
18 December 2023, 3:46 pm
Wazazi, walezi Katavi washauriwa kuchukua tahadhari kipindi cha mvua
Wazazi na walezi mkoani Katavi, washauriwa kuchukua tahadhari kipindi hiki cha mvua kwa kuwalinda Watoto. Na Gladness Richard – KATAVI Wazazi na walezi mkoani Katavi wameshauriwa kuendelea kuchukua tahadhari kipindi hiki cha mvua kwa kuwalinda watoto wasicheze pembezeno mwa mito.…
18 December 2023, 3:18 pm
Ewura yaahidi huduma bora za maji ,umeme, petroli na gesi asilia
Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji Ewura imesema inahakikisha mtumiaji anapata huduma bora za maji ,umeme, petroli na gesi asilia. Na Lilian Vincent – KATAVI Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji Ewura imesema moja…
16 December 2023, 5:23 pm
Zaidi ya Heka 6 za mahindi zafyekwa na serikali
Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia kulima mazao marefu katikati ya makazi ya watu zoezi la kufyeka mazao Kwa ambao walikaidi agizo hilolimeendelea. Na Mwandishi wetu – Mpanda Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia kulima mazao…