Recent posts
24 January 2024, 3:43 pm
KATAVI, Bidhaa za Vyakula Vilivyoisha Muda Husababisha Kuhara
“Madhara ni kupelekea mtumiaji kupata homa na hata kuharisha kutokana na sumu iliyopo ndani ya Chakula”. Picha Na Mtandao Na Lilian Vicent-katavi Baadhi ya wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameeleza maoni yao Mseto juu ya namna wanazingatia muda sahihi …
24 January 2024, 3:24 pm
Wiki ya Sheria Wananchi Mjitokeze Kupata Elimu
“Hakimu Mfawidhi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Katavi amewaasa Wananchi kujitokeza kushiriki ili kupata Elimu ya masuala mbalimbali yanayohusu sheria ” Picha na Festo Kinyogoto. Na Festo Kinyogoto-Katavi Kuelekea maazimisho ya wiki ya sheria Hakimu Mfawidhi Mkuu wa Mahakama…
24 January 2024, 2:57 pm
MPANDA, Wananchi Walia na Ubovu wa Barabara
“Wananchi Wamesema Barabara nyingi zilizopo Manisapa zina Mashimo yaliyojaa maji na matope, mitalo iliyojaa michanga na takataka inayosababisha maji kuchepuka na kuingia barabarani” Picha Na Festo Kinyogoto Na Gladness Richard-katavi Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba Serikali kuboresha…
20 January 2024, 1:52 pm
Utoro wawakosesha 400 mtihani darasa la nne shule ya msingi Nyerere
Picha na Mtandao Wanafunzi hao hawakuweza kufanya mtihani wao wa darasa la nne kwa sababu za utoro ziliopelekea kushindwa kufika katika chumba cha kufanyia mtihani. Na Asha Bakari-Katavi Zaidi ya wanafunzi mia nne [400] wa Shule ya Msingi Nyerere wameshindwa…
19 January 2024, 12:54 pm
Mama afanya jaribio la kumuua mtoto baada ya kujifungua Katavi
Mama wa Mtoto huyo akiwa katika hospitali hiyo kwa Matibabu zaidi ya Mtoto .Picha na Gladness Richard Amefanya kitendo hicho baada ya kufika hospitali na kuomba kwenda chooni na huko ndipo alipofanya jaribio hilo. Na Gladness Richard-Katavi Binti anayefahamika kwa…
18 January 2024, 12:50 am
Wananchi Katavi wanaelewa nini kuhusu ugonjwa wa macho mekundu?
Picha na Mtandao Ugonjwa huo unawapata watu wa rika zote hivyo jamii inapaswa kupata Matibabu mapema iwezekanavyo mara tu watakapoona viashiria vya Ugonjwa huo. Na Gladness Richard-Katavi Wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameeleza namna wanavyoufahamu Ugonjwa wa Macho…
18 January 2024, 12:00 am
Wananchi Mkoani Katavi wachukua tahadhari dhidi ya Ugonjwa Wa Kipindupindu
Picha na Mtandao Tahadhari wanazotakiwa kuchukua Wananchi ili kujiepusha na Ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na kutumia Vyoo bora. Na Lilian Vicent-Katavi Baadhi ya Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya tahadhari wanazozichukua kuhakikisha wanajikinga…
17 January 2024, 1:54 pm
Tanganyika DC yazindua mradi wa urejeshwaji endelevu wa mazingira
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akipanda Mti akikaimu kwa Mkuu wa wilaya ya Tanganyika .Picha na Deus Daudi lengo la mradi huo ni kuimarisha usimamizi wa pamoja wa mazingira na urejeshwaji wa ardhi iliyoharibiwa ili kujenga uhimilivu wa…
17 January 2024, 12:48 pm
Madiwani Halmashauri ya Mpimbwe wajifunza Biashara ya Hewa ukaa
Utunzaji wa Misitu na upandaji Miti unahusisha biashara ya hewa ukaa .Picha na Mtandao Wanatarajia kuanza kufanya Biashara hiyo kutokana kuwa na Maeneo yanayoruhusu kufanya Biashara ya Hewa ukaa. Na Betord Benjamini-Katavi Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mpimbwe wilayani…
16 January 2024, 10:11 am
DC Tanganyika akanusha wanafunzi kuchangishwa mifuko ya saruji, madawati
Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu akizungumza na wanafunzi .Picha na Deus Daudi Taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii haina ukweli wowote na wanafunzi waendelee kufika shuleni . Na Deus Daudi-Katavi Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu amekanusha…