Recent posts
8 June 2022, 4:19 pm
WANANCHI WAASWA KUJIKINGA NA BARIDI KUTOKANA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI
Wananchi mkoani katavi wametakiwa kuchukua tahadhali ya kujikinga na baridi kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi katika kipindi cha mwezi june hadi agosti. Hayo yamebainishwa na Emily Elinest kutoka mamlaka ya hali ya hewa Tanzania mkoa wa Katavi ambapo…
8 June 2022, 4:17 pm
WANANCHI WALALAMIKIA VIBAO VYA MBAO
MPANDA Baadhi ya wakazi wa mtaa wa mtemibeda kata ya misunkumilo manispaa ya mpanda mkoani katavi wameutaka uongozi wa manispaa kuondoa vibao vya mbao vinavyoonesha majina ya mitaa na barabara na badara yake kuwekewa vya chuma kama ilivyo kwa maeneo…
8 June 2022, 4:14 pm
HAKI ZA WATOTO ZIZINGATIWE
Jamii imetakiwa kutambua kuwa Ajira kwa watoto zina athiri malengo na afya zao kiujumla . Wakizungumza na mpanda fm wakazi wa halmashauri ya Manspaa Mpanda wamesema kuwa ziko familia ambazo zinawafanyisha kazi watoto hali inayodhorotesha afya za watoto hao. Sambamba…
8 June 2022, 4:09 pm
WAMILIKI WA MAGHALA WAASWA KUTUNZA NYARAKA KUSAIDIA KUPATA TAKWIMU ZA UZALISHAJI…
Afisa kilimo manispaa ya Mpanda Benatus Ngoda amewataka Wamiliki wa maghala ya kutunzia vyakula mkoani Katavi kutunza nyaraka ili kusaidia kupata takwimu sahihi za chakula kinachozalishwa kwa mwaka nchini na kutunza chakula kwa usalama. Akizungumza na Mpanda radio fm Ameeleza…
8 June 2022, 4:03 pm
USIRI KWA WANAUME UNAVYOCHANGIA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI
Wananchi mkoani katavi wametoa maoni yao juu ya kwanini usiri kwa wanaume unapelekea kusumbuliwa na changamoto ya afya ya akili. Wamyasema hayo wakati wakizungumza na Mpanda Radio Fm na kusema kuwa hiyo ni kwasababu wanaume wengi si wazungumzaji wa vitu…
8 June 2022, 4:01 pm
WANANCHI WALIA NA BEI ZA NAULI
Baadhi ya wananchi mkoani katavi wameuomba uongozi unao simamia vyombo vya usaifi mkoani hapa kupunguza bei ya nauli na kiirejesha kama ilivo kuwa hapo awali. Wakizungumza na kituo hiki baaadhi ya wananchi wamesema kuwa kupanda kwa bei ya nauli kwa…
8 June 2022, 3:55 pm
WAKULIMA WA MPUNGA WAASWA KUTUMIA NJIA ZA KISASA KUHIFADHI MAZAO
Wakulima wa Mpunga mkoani Katavi wameaswa kutumia njia za kisasa za kuhifadhi zao hilo mara baada ya kuvuna ili waweze kuendana na utunzaji bora kwa manufaa ya zao hilo likiingia sokoni. Akizungumza na Mpanda radio fm afisa kilimo kata ya…
8 June 2022, 3:50 pm
MIGOGORO NA ATHARI KATIKA NDOA
Baadhi ya wananchi Wilayani Mpanda wamesema wivu wa mali, hofu ya kupoteza nafasi na kutozimudu hasira zimekuwa ni sababu za migogoro mingi ndani ya ndoa. Wakizungumza na Mpanda radio FM wananchi hao wamesema ndoa nyingi zimekuwa zikikumbwa na migogoro ya…
8 June 2022, 3:47 pm
WANAWAKE JISHUGHULISHENI KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Wanawake katika halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kujishughulisha ili waweze kujikwamua na umaskini. Wakizungumza na mpanda radio fm wanawake ambao wanajishughulisha na upetaji wa pumba na kujipatia chenga za mchele na kisha kuziuza wameeleza namna kazi hiyo…
8 June 2022, 3:45 pm
TUWEZESHENI, TUKAWAWEZESHE
Wanachama wa Chama cha wafugaji wa ngombe wa maziwa cha Kashauriri Livestock Keepers kilichopo Wilayani Mpanda wameomba kuwezeshwa na taasisi za fedha kwa lengo la kujikwamua kiuchumi na kutoa fursa ya ajira kwa jamii. Wakizungumuza wakati wa kilele cha maadhimisho…