Mpanda FM

Recent posts

20 October 2022, 11:43 am

MRINDOKO: ‘Zoezi la Kuhamia Hospital Mpya Lisiathiri Utoaji Huduma’

MPANDA Mkuu wa mkoa wa Katavi  Mwanamvua Mrindoko amemtaka mganga mfawidhi kuhakikisha zoezi la kuhamia hospital mpya ya mkoa kutoathiri utoaji huduma katika hospitali teule ya rufaa. Mrindoko amesema  wahakikishe wanatengeneza miundombinu ambayo yatapelekea wagonjwa kuendelea kutibiwa hospital teule ya…

20 October 2022, 11:40 am

Maoni ya Machinga juu ya Fedha za Ujenzi wa Ofisi kila Mkoa

MPANDA Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama machinga Mkoani Katavi wamekuwa na maoni tofauti tofauti baada ya Serikali kutenga kiasi cha shilingi milion 10 za ujenzi wa ofisi za machinga kila Mkoa. Wakizungumza na Mpanda radio fm wafanyabiashara hao wamesema ujenzi…

20 October 2022, 5:24 am

Tanesco Wapewa Wiki Tatu Kufikisha Umeme Hospital Mpya ya Mkoa

MPANDA Mkuu wa mkoa wa Katavi  Mwanamvua Mrindoko amewataka Shirika la umeme mkoa wa Katavi ndani ya wiki tatu kuhakikisha umeme unafika katika hospitali mpya ya mkoa wa Katavi Akitoa maagizo wakati akijibu taarifa ya mganga mfawidhi wa hospitali teule…

20 October 2022, 5:11 am

Wafanyabiashara Kilimahewa Waomba Kuboreshewa Miundombinu

MPANDA Wafanyabiashara wa soko la kilimahewa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameuomba uongozi wa halamshauri hiyo kuboresha miundombinu katika soko jipya la kawalioa. Wakizungumza na Mpanda fm wafanyabiashara hao wamesema  kuwa licha ya kuwepo kwa taarifa ya kuhamia katika soko…

14 October 2022, 5:51 am

Wajasiriamali Walalamikia Wateja Wasiowaaminifu

  MPANDA Wajasiriamali Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamelalamikia Tabia isiyofaa inayofanywa na baadhi ya wateja ya kuchukua bidhaa kwa mkopo na kuchelewa kuwalipa jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo yao kiuchumi. Wakitoa malalamiko hayo wakati wakizungumza na kituo hiki wajasiliamali…

14 October 2022, 5:25 am

Wazazi Wapongeza Matibabu ya Mguu Fundo

Wazazi ambao wana watoto wenye ugonjwa wa Mguu kifundo Manispaa ya Mpanda  Mkoani  Katavi wamepongeza  uwepo  wa matibabu ya mguu kifundo   katika hospitali ya rufaa Mkoani hapa. Wakizungumza na Mpanda radio fm wazazi wamesema  wengi waligundua ugonjwa  walipozaliwa na kufanya…

11 October 2022, 11:43 am

Vijana Waaswa Kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Nyerere

KATAVI. Vijana Mkoani katavi wametakiwa kuwa na utamaduni wa kumuenzi baba wa Taifa Mwalimu Julias Kambalage Nyerere kwa kuwa wazarendo na kudumisha amani ya taifa kuelekea kumbukizi ya miaka 23 ya kifo chake. Kauli hiyo imetolewa na Rafael Peleleza kijana…

11 October 2022, 11:07 am

Vijana Mkoani Katavi Wahitaji Elimu Zaidi juu ya Afya ya Akili

KATAVI Katika Kuadhimisha Kongamano la Kwanza la Kitaifa la Afya ya Akili, baadhi ya vijana Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameonyesha kutokua na uelewa juu ya tatizo la  Afya ya Akili . Wameyasema ayo wakati wakizungumza na Kituo hiki huku…

11 October 2022, 10:35 am

Wakulima Washukuru kwa Mbolea ya Ruzuku

MPANDA Baadhi ya wakulima wa mazao kata ya Minsukumilo halmashauri ya Mpanda wameishukuru serikali kwa kuwapa ruzuku ya mbolea. Wakizungumza na Mpanda radio FM wakulima hao wamesema ruzuku hiyo itasaidia kuongeza mavuno tofauti na hapo awali huku wakiwahamasisha wakulima wengine…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.