Nuru FM
Nuru FM
6 September 2022, 10:13 am
Hatimaye Uongozi wa Azam FC umekamilisha mchakato wa kumpata Kocha Mkuu, baada ya kuvunja mkataba wa Kocha kutoka nchini Marekani Abdihamid Moallin mwishoni mwa mwezi Agosti. Azam FC imethibitisha kukamilisha mchakato wa Kocha huyo kupitia kurasa zake za Mitandao ya…
6 September 2022, 10:06 am
Rais Mteulewa Kenya, William Ruto anatarajiwa kuapishwa siku ya Jumanne, Septemba 13, 2022 baada ya Mahakama ya Juu Zaidi kutupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa urais katika uchaguzi uliofanyika Agosti 9. Sherehe hiyo, inafanyika siku ya saba tangu tarehe…
6 September 2022, 10:01 am
Polisi Mkoa wa Arusha imefanya ukaguzi wa magari ya shule zaidi ya 150 na kutoa elimu kwa wamiliki wa shule na madereva wa magari hayo, toka maeneo mbalimbali jijini humo. Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha, Mrakibu…
5 September 2022, 5:06 am
Mkuu wa jeshi la polisi nchini (IGP), Camillius Wambura amewaonya wanachi wa wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, kuwacha tabia ya kujilichukulia sheria mkononi kwa kuwaadhibu wahalifu ikiwemo ama kuwaua, na badala yake wawapeleke kwenya vyombo vya sheria. IGP Wambura, ametoa…
5 September 2022, 5:04 am
Jeshi la Polisi Wilayani Kilosa, limewakamata Mtendaji wa kijiji cha Mambegwa na mtu mmoja aliyejitambulisha kwa cheo bandia cha Katibu wa mwenyekiti wa Kijiji hicho, wakidaiwa kuhusika na uchochezi wa migogoro ya wakulima na wafugaji iliyopelekea watu watano kujeruhiwa baada…
25 August 2022, 7:33 am
Kampuni ya uchumbiji madini ya makaa ya mawe maximum Energy and Minerals Limited (MAXCOAL) iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe imeadhimia kuanzisha uzalishaji gas na mafuta kwa kutumia makaa ya mawe pindi watakapokamilisha taratibu za kiserikali. Akizungumza hayo mwenyekiti wa…
25 August 2022, 7:31 am
WADAU wa michezo nchini wamechanga jumla ya sh. bilioni 1.26 ili kuzisaidia timu za Serengeti Girls na Tembo Warriors ambazo zinatarajia kushiriki michuano ya kimataifa huko India na Uturuki. Akizungumza mara baada ya kupokea ahadi na michango ya wadau…
15 August 2022, 6:48 am
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atarajia kuwasili jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Jumanne ya Agosti 16,2022, katika Mkutano wa kawaida wa 42 wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Rais…
13 August 2022, 7:44 am
Jeshi la polisi mkoani Lindi linawashikilia watu kumi kwa tuhuma za wizi na usafirishaji mihadarati. Hayo yameelezwa na kamanda wa polisi wa mkoa (RPC) wa Lindi, Kamishna msaidizi wa polisi (ACP) Marco Chirya alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi…
13 August 2022, 7:41 am
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema upanuzi wa uwanja wa ndege wa Nduli mkoani Iringa utakapokamilika utaongeza fursa za kibiashara na kuifungua zaidi kanda ya Kusini kwenye sekta ya Utalii. Rais Samia Suluhu…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.