Nuru FM
Nuru FM
12 December 2022, 6:25 am
Timu ya Igowole FC imefanikiwa kuwa mabingwa wa mashindano ya Kihenzile cup and awards mwaka 2022 baada ya kuifunga Timu ya Nyololo Kwa Mikwaju ya Penalti baada ya kutoka sare ya kufungana goli 2-2 katika dakika 90 za mchezo. Kwa…
8 December 2022, 5:53 am
JESHI la polisi mkoani Iringa linamshikilia David Richard mwenye umri wa miaka 23 kwa kuiba gari aina ya raum rangi ya Grey yenye namba za usajili T 702 DFV mali ya Gasper Abraham mwenye umri wa miaka 34 aliloiba katika…
8 December 2022, 5:48 am
JESHI la polisi mkoani Iringa linamshikilia Mama mmoja anayejulikana kwa jina la Egria Ngalawa kwa tuhuma za kumtoa mimba binti yake mwenye umri wa miaka 17 na kufukia kichanga Kwenye banda la kufugia nguruwe lililopo nyuma ya nyumba yao katika…
1 December 2022, 11:24 am
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikitishwa na watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri za Manispaa na Wilaya ya Iringa kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo na kusababisha halamshauri hizo kushindwa kukusanya maduhuli ya…
1 December 2022, 11:16 am
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) MNEC Salim Asas amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutunukiwa shahada ya juu ya udaktari wa heshima kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kutokana na kufanya mabadiliko…
1 December 2022, 9:55 am
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) leo limetangaza matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2022 ambapo limetangaza kufuta matokeo yote ya Watahiniwa 2,194 sawa na asilimia 0.16 ya Watahiniwa waliofanya mitihani. NECTA imefikia uamuzi huo siku chache baada ya…
1 December 2022, 7:11 am
MKUU wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo amesema kuwa hajaridhishwa na ujenzi wa madarasa ya shule za sekondari katika Tarafa ya Mlolo na Kiponzero na kutoa Siku saba kuhakikisha vyumba vya madarasa hayo viwe vimekamilika. Akizungumza wakati wa ziara…
27 November 2022, 7:45 am
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa, Dkt. Ritta Kabati ametoa wito kwa nchi za Jumuiya Ya Afrika Mashariki kuitumia michezo ya mabunge ya Jumuiya hiyo kuleta amani kwa nchi za Jumuiya Afrika Mashariki zenye migogoro ya kisiasa. Kabati ameyasema…
27 November 2022, 7:04 am
HALMASHAURI ya Manispaa ya Iringa imeyaipongeza makampuni ya Asas kwa kupata tuzo ya ulipaji Kodi bora kutoka kwa mamlaka ya mapato(TRA) jambo linalosaidia kukuza uchumi wa Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Ibrahim…
24 November 2022, 3:29 pm
Wakulima mkoani Iringa wamefanya matembezi ya kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuwapunguzia bei ya mbolea. Wakizungumza Mbele ya Mkuu wa mkoa wa Iringa wakulima hao wamesema kuwa walikuwa wakinunua mbolea kwa shilingi…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.