

10 May 2022, 6:36 am
Wziri Mkuu Kassim Majaliwa amefanya ziara katika Bohari ya Dawa (MSD) na kuagiza watu wote waliohusishwa na tuhuma za ubadhirifu zilizoainishwa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wachukuliwe hatua. Majaliwa amesema hoja zote zilizotolewa katika ripoti ya CAG lazima zifanyiwe…
6 May 2022, 8:08 am
Kocha Mkuu wa Mbeya Kwanza FC Mbwana Makata ametoa pongezi kwa wachezaji wake kwa kazi kubwa waliyoifanya dhidi ya Tanzania Prisons jana Alhamis (Mei 05), Uwanja wa Majimaji mkoani Ruvuma mjini Songea. Mbeya Kwanza FC iliyokuwa mwenyeji wa mchezo huo,…
6 May 2022, 7:31 am
Wakazi wa Kijiji cha lulanzi kilichopo Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wameshiriki kuchimba mtaro wa kupeleka maji katika familia ya watu watatu wenye ulemavu ili kutatua changamoto ya huduma hiyo. Wakizungumza mara baada ya kutembelewa na balozi wa utalii…
6 May 2022, 5:29 am
Waziri Mkuu wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa Majaliwa amechangia shilingi Milioni Tano kwa ajili ya kutatua changamoto zinazowakabili walemavu watatu wa familia Moja katika kijiji cha Lulanzi kilichopo Kata ya Nyalumbu Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa.…
29 April 2022, 9:39 am
Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Kamishana Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Jumanne Muriro amewatoa hofu Mashabiki wa Soka wa Simba SC na Young Africans ambao timu zao zitakutana kesho Jumamosi (April 30), Uwanja wa Benjamin…
29 April 2022, 9:23 am
JAMII nchini, imetakiwa kujenga mazoea ya kuwahusisha watoto wenye umri mdogo katika shughuli za maendeleo ikiwamo utunzaji wa mazingira na ulinzi wa rasilimali zilizopo kwa manufaa ya nchi yetu. Wito huo umetolewa kwa nyakati tofauti na Afisa Mhifadhi wa shirika…
29 April 2022, 9:17 am
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 29 Aprili 2022 akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta uliopo Nairobi nchini Kenya alipoenda kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
20 April 2022, 9:37 am
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI),Mheshimiwa Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Bw.Hassan Njama ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro kulingana na taarifa hii hapa chini;
20 April 2022, 9:32 am
Watu sita (06) wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali iliyo husisha gari Toyota Noah kugongana na lori aina ya scania katika eneo la ALKATANI kata ya Sepeko tarafa ya Kisongo wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha katika barabara…
20 April 2022, 9:30 am
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Benki ya Dunia kwa kuahidi kuisaidia Tanzania kukabiliana na athari za kiuchumi zinazotokana na madhara ya UVIKO-19 na vita vinavyoendelea baina ya Urusi na Ukraine. Dkt. Nchemba amesema hayo…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.