Nuru FM
Nuru FM
27 March 2023, 12:52 pm
Watoto 172 mkoani Iringa wamekabidhiwa bima za afya ili kuweza kumudu matibabu pindi wanapokabiliwa na magonjwa. Na Adelphina Kutika. Taasisi isiyo ya kiserikali ya Rounding Hands to Save Community na Makutano TV kwa kushirikiana na Chuo Kikuu Huria cha Iringa na Hidaya Catering…
22 March 2023, 9:22 am
Miradi inayotekelezwa Mkoani Iringa na serikali ni pamoja na miradi ya afya na Kilimo. Na Adelphina Kutika Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa Iringa kimeendelea kutekeleza miradi ya maendeleo nchini ikiwemo sekta ya afya na kilimo. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa…
22 March 2023, 9:09 am
Katika kukabiliana na matukio ya ukatili katika jamii, usiri umetajwa kusababisha matukio hayo kukithiri. Na fabiola Bosco Usiri ndani ya familia umetajwa kuwa sababu ya ongezeko la vitendo vya ukatili wa kingono na vipigo kwa watoto mkoani Iringa licha ya…
19 March 2023, 7:19 pm
Mbio za Great Ruaha Utalii Marathon zinatarajia kufanyika Julai 8, 2023 kwa kushirikisha wakimbiaji zaidi ya 600 wakiwemo watalii kutoka nje ya nchi. Na Hafidh Ally SHIRIKA la Sustainable Youth Development Partnership (SYDP) linatarajia kuratibu shindano la mbio za marathon…
16 March 2023, 12:01 pm
Kongamano la Mafundi Smart lina lenga kuonesha fursa za ajira kwa kundi hilo na kukuza kipato chao. Na Mwandishi wetu ZAIDI ya mafundi wa aina mbalimbali 1800 wanatarajia kukutana pamoja katika kongamano kubwa litakalo fanyika Mjini Iringa lengo kubwa likiwa…
14 March 2023, 8:26 pm
Na Hafidh Ally Mama Mzazi wa Familia ya walemavu watatu wa familia moja anashindwa kumudu gharama za kuwalea watoto wake na kuwapatia matibabu. Walemavu watatu wa familia moja katika Kijiji cha Lulanzi kilichopo Kata ya Mtitu Wilaya ya Kilolo Mkoani…
13 March 2023, 12:57 pm
Kutokana na kukua kwa teknolojia wazazi wametakiwa kuwafundisha watoto wao matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii. Na Joyce Buganda. Mtaalamu wa masuala ya teknolojia na Tehama wilayani Mufindi Bw. Hasan Chunya amesema juu ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii…
13 March 2023, 12:21 pm
Kufuatia matukio ya kikatili yanayoendelea kushamiri katika mkoa wa Iringa wasanii wenye asili ya Iringa wameamua kuungana kutengeneza filamu yenye maudhui ya kupinga ukatili. Na Adelphina Kutika. Wasanii maarufu wa filamu nchini ambao asili yao kutoka mkoa wa Iringa wamesema…
8 March 2023, 7:34 pm
Ziara ya kuwapeleka walemavu wa Kijiji cha Lulanzi katika hifadhi ya Taifa ya Rauha, ili kutalii na kujionea vivutio vilivyopo katika hifadhi hiyo. Na Hafidh Ally Balozi wa Utalii Nchini Tanzania Bi. Isabella Mwampamba ametimiza ahadi ya kuwapeleka kufanya Utalii…
7 March 2023, 4:27 pm
Kufatia kukithiri kwa matendo ya kikatili katika mkoa wa Iringa Jeshi la Polisi linaendeleza kampeni ya kutoa elimu ya kutokomeza ukatili. Na Joyce Buganda. Jeshi la polisi Mkoani Iringa linandelea na kampeni ya kutoa elimu katika makundi mbalimbali kuhusu mambo…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.