Nuru FM
Nuru FM
6 May 2023, 2:23 pm
Na Ansgary Kimendo Mwenge wa uhuru umeweka jiwe la msingi katika mradi wa kiwanda cha kuchakata masalia ya misitu iliyovunwa umezundua cha Lush chazo wood industries Ltd wenye thamani ya dola za kimarekani milioni 15 Katika uwekaji jiwe lamsingi huo…
6 May 2023, 1:13 pm
Na Mwandishi wetu MWENGE wa uhuru umeridhishwa na ujenzi wa mradi wa kituo cha Mafuta NFS kilichopo Mafinga mjini mkoani Iringa na kuzindua. Mradi huo wenye thamani ya zaidi ya Milioni 850 unatarajia kutoa ajira za muda mrefu na ajira…
2 May 2023, 7:47 pm
Na Mwandishi wetu. Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2023 umeridhia miradi yote katika Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa miradi yenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 4.9. Akizungumza mara baada ya kukagua miradi hiyo yote Kiongozi wa mbio za…
29 April 2023, 12:14 pm
Madiwani wakiwa katika baraza la Madiwani. Picha Frank Leonard. Na Frank Leonard BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Mji Mafinga limeagiza kusakwa na kukamatwa kwa wanachama wa vikundi vilivyoshindwa kurejesha mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kwa vikundi vya vijana, wanawake…
29 April 2023, 12:02 pm
Na Joyce Buganda Wananchi Mkoani iringa wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kutojihusisha na kilimo cha zao la bangi linaloleta madhara kwa vijana kwani ni kosa kisheria. Akizungumza na kituo hiki kamishina msaidizi wa polisi ambae pia ni mkuu wa kitengo…
28 April 2023, 3:36 pm
Na Halfan Akida Mbunge viti maalum mkoa wa Iringa Dkt Ritta Kabati ameitaka serikali kuchukua hatua za dharura kuwasaidia wananchi wa Ruaha Mbuyuni baada ya mfereji wa maji kuacha njia yake na kuathiri wakulima Kabati amehoji hayo katika kipindi cha…
26 April 2023, 12:07 pm
Wananchi wa kijiji cha Makifu kilichopo tarafa ya Idodi mkoani Iringa wanakabiliwa na janga la ukame kutokana na uharibifu wa mazingira unaondelea katika maeneo hayo. MWANAHABARI WETU HAFIDH ALLY AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI………………………..
26 April 2023, 11:48 am
Na Adelphina Kutika Mkoa wa Iringa wenye asilimia 59.9 ya udumavu umeanza kutekeleza mpango wa utekelezaji wa afua za lishe zinazolenga kukabiliana na changamoto hiyo na utapiamlo kwa watoto chini ya miaka mitano. Afisa lishe mkoa wa Iringa Anna Nombo…
26 April 2023, 11:16 am
Na Joyce Buganda Kampuni ya simu za mkononi VODACOM TANZANIA kwa kushirikiana na mradi wa AFRICAN CHILD PROJECT wametoa komputa 6,router na luninga 1 katika shule ya Sekondari Mtwivila Manispaa ya Iringa huku wakisisitiza walimu kutumia zaidi teknolojia ili kuwa…
25 April 2023, 8:35 pm
Na Frank Leonard MAHAKAMA ya Wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela Imani Mfilinge (46) baada ya kumkuta na hatia ya kumbaka mwanaye wa miaka 13. Mfilinge ambaye ni mkulima na mkazi wa kijiji cha Isimani alitenda kosa…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.