Nuru FM
Nuru FM
5 August 2023, 10:25 am
Na Hafidh Ally Baraza la Madiwani halmashauri ya Mji wa Mafinga Mkoani Iringa limeridhia bei ya nyama iuzwe kwa shilingi elfu 9 baada ya wafanyabiashara wa nyama kuuza kwa shilingi elfu 10. Hatua hiyo imekuja baada ya kuongezeka kwa bei…
3 August 2023, 8:00 pm
Na Frank Leonard Wazee wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa wametangaza kuishiwa na uvumilivu na kuamua kulaani vikali mwenendo wenye viashiria vya kisiasa unaotishia kuigawa nchi kupitia matamko na maoni mbalimbali yanayotolewa kuhusu suala la uwekezaji wa bandari.…
31 July 2023, 2:49 pm
Na Frank Leonard Halmashauri ya wilaya ya Iringa imehamisha rasmi huduma zake za kiofisi katika majengo ya siasa ni kilimo mjini Iringa na kuzipeleka katika jengo lake jipya lililopo katika kijiji cha Ihemi, kilometa 35 kutoka mji huo, barabara kuu…
27 July 2023, 11:12 am
Na Hafidh Ally Kanisa ya EAGT Frelimo Manispaa ya Iringa limeweka mkakati wa kukemea matukio ya ukatili wa m kijinsia na ushoga kupitia ibada wanazoendesha. Akizungumza na Nuru FM Mchungaji Ezekiel Yona Mwenda kutoka Kanisa la Evangelistics Assembless of God…
26 July 2023, 7:36 pm
Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego ameipongeza Halmashauri ya Mji Mafinga kwa Utekelezaji wa Miradi ya BOOST. Dendego ametoa pongezi hizo baada ya kutembelea Shule ya Msingi Nyamalala iliyokamilisha ujenzi wa vyumba vitano(5) vya madarasa…
21 July 2023, 10:10 am
Kamati ya Mipango Miji na Mazingira ikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati Mheshimiwa Michael Msite imefanya ziara ya kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo Halmashauri ya Mji Mafinga. Miradi iliyotembelewa ni Ujenzi wa Shule mpya ya msingi Muungano yenye Mkondo mmoja, Ujenzi…
20 July 2023, 11:49 am
Na Hafidh Ally Wananchi wa kata ya Bomalang’ombe wilaya ya Kilolo mkoani Iringa wameishukuru serikali kwa kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo barabara, zahanati na shule. Wakizungumza na Nuru FM baadhi ya wananchi wa kata hiyo wamesema kuwa kwa sasa miundombinu…
15 July 2023, 11:35 am
Na Hafidh Ally Mnyama aina ya Kakakuona aliyemtabiria Mkulima Mkazi wa Kijiji cha Ihemi kupata mafanikio kupitia zao la Parachichi amekabidhiwa katika idara ya Wanyamapori Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Akizungumza wakati wa kumkabidhi Mnyama hiyo ambaye alimuokota akiwa shambani…
15 July 2023, 11:22 am
Na Mwandishi wetu Mbunge wa Jimbo la Kilolo, Mh Justine Nyamoga ameahidi kuanza ujenzi wa shule ya Msingi Kising’a ili kunusuru watoto wanaotembea umbali mrefu kufuata elimu. Mh. Nyamoga ambaye yupo kwenye ziara inayolenga kusikiliza kero za wananchi wake katika…
11 July 2023, 5:45 pm
Na Adelphina Kutika Wizara ya Afya imeendelea kuwajengea uwezo Waandishi wa Habari nchini kuhusiana na masuala ya chanjo ili waweze kuelimisha jamii. Afisa Program ya chanjo wa mpango wa Taifa wa chanjo kutoka Wizara ya Afya Lotalis Gadau amesema Wizara…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.