Nuru FM
Nuru FM
13 November 2023, 11:19 am
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa ndege kwa ajili ya kuisafirisha timu ya Taifa ya Soka, Taifa Stars kwenda Marrakesh kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger utakaochezwa ugenini Novemba 18, mwaka huu, nchini Morocco. Timu…
13 November 2023, 10:18 am
Na mwandishi wetu Wanafunzi 572, 338 wa kidato cha nne kutoka shule 5,371 kote nchini wameanza mtihani wa taifa leo. Taarifa iliyotolewa na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), imeeleza kuwa mwaka huu kuna ongezeko la watahiniwa 8, 633 sawa na…
10 November 2023, 10:13 am
Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Kalenga Mh Jackson Kiswaga ametimiza Ahadi ya kuwapeleka Mabingwa wa Mashindano yake ya Kiswaga cup 2023 Timu ya Chamgogo Fc kuhudhuria Vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Chamgogo Fc Wamepata…
9 November 2023, 6:09 am
Na Frank Leonard Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Iringa kimewataja mawakili 10 kiliowapanga katika maandalizi hadi usikilizwaji wa rufaa ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi namba 28 ya mwaka 2022 inayomhusu mjane Maria Emirio Ngoda aliyehukumiwa miaka…
20 October 2023, 10:08 pm
Na Adelphina Kutika Zaidi ya Wanafunzi 300 wanaosomea kilimo katika vyuo Vinne vilivyo Chini ya programu inayojulikana kama Kilimo-Viwanda scholarship, wamenufaika na ufadhili wa masomo unaotolewa na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) nchini Tanzania. Akiongea 19 Oktoba, 2023 wakati…
15 October 2023, 7:59 am
Bingwa wa mashindano ya Kiswaga Cup ataelekea Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kufanya utalii kwa siku tatu. Na Hafidh Ally Timu ya Chamgogo Fc imeibuka Mabingwa wa Mashindano ya Mpira wa Miguu ya Kiswaga Cup 2023 yanayodhaminiwa na Mbunge wa…
6 October 2023, 10:29 am
Na Frank Leonard Serikali imetangaza kutenga Sh bilioni 70 kila mwezi kwa ajili ya kulipa madeni ya wakandarasi wa ndani na nje wanaotekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi nchini. Akitoa taarifa hiyo leo mara baada ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa…
24 September 2023, 6:08 pm
Mkurugenzi waTeknolojia za Nishati Jadidifu na Nishati Mbadala, Wakala wa Nishati Vijijini – REA, Mhandisi Advera Mwijage umesema atahakikisha washirikiana na Sekta binafsi katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora na nishati ya uhakika vijijini. Mhandisi Mwijage ameyasema hayo baada ya…
21 September 2023, 11:34 am
Na Adelphina Kutika Wafugaji mkoani Iringa wametakiwa kutumia bidhaa ya Lishe ya wanyama kutoka Yara ili kuboresha mifugo yao na kukuza kipato kwa ufugaji. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa wa iringa Halima dendego katika hafla ya uzinduzi wa…
4 September 2023, 10:25 am
Na Mwandishi wetu WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekutana na ujumbe kutoka Korea Kusini uliojumuisha viongozi wa makampuni makubwa ya madini yanayohusika na mnyororo wa thamani wa uzalishaji betri za magari ya Posco Holdings, Posco…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.