Nuru FM
Nuru FM
8 April 2024, 9:01 am
Na Joyce Buganda Maafisa kilimo wa Tarafa ya Idodi iliyopo wilaya ya Iringa wameagizwa kutafuta mashine za kukoboa mpunga na kuzipeleka katika eneo hilo ili kumpunguzia mkulima gharama za usafirishaji wa zao hilo mpaka Iringa mjini. Hayo yamezungumzwa na Afisa…
5 April 2024, 9:36 am
Na mwandishi wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Asasi ya Bodi ya Kimataifa ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini, Mafuta na Gesi Asilia (EITI) ya…
4 April 2024, 8:13 pm
Na Mwandishi wetu Zaidi ya maroli 25 ambayo yanasafirisha bidhaa mbalimbali kutoka kiwanda cha karatasi Mgololo wilaya Mufindi mkoani Iringa yamekwamba kwa zaidi ya siku tano katika kijiji cha Nyamande na Kitandiliko halmashauri ya mji wa Makambako wilayani Njombe kutokana…
4 April 2024, 10:30 am
Mwenge wa uhuru ni mojawapo ya alama za kitaifa za Tanzania ambao huzunguka kila mkoa kwa lengo la kuangalia maendeleo ya miradi mbalimbali ya maendeleo katika jamii. Na Hafidh Ally Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa ameitisha…
3 April 2024, 9:57 am
Licha ya serikali kuwa na utaratibu wa kupanda miti mara kwa mara bado kumekuwa na tabia ya wananchi kuharibu huku serikali ikapanga kuwachukulia hatua wanaokata miti ovyo. Na Adelphina Kutika Zaidi ya miche 2,000 ya miti rafiki na maji imepandwa…
3 April 2024, 9:39 am
Uwepo wa Mwenge unasaidia kuwakutanisha watu wa kada mbalimbali ambao wanatakiwa kupatiwa elimu ya kodi ili kuongeza fedha za kukuza miradi ya maendeleo. Na Mwandishi wetu. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema imejipanga kutoa elimu ya kodi kusikilza changamoto na…
3 April 2024, 9:23 am
Uchaguzi wa Chadema una lenga kupata Viongozi wapya watakaokiongoza Chama hicho baada ya walioko madarakani kumaliza muda wake kwa mujibu wa katiba Yao. Na Godfrey Mengele Viongozi wanaogombea nafasi mbalimbali ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoani wa…
30 March 2024, 10:54 am
Miradi mingi ya maendeleo katika Halmashauri ya mji Mafinga imekamilikankwa asilimia 95 kutokana na kupokea fedha serikali kuu na fedha za ndani. Na Hafidh Ally Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa amefanya ziara kukagua Miradi ya Maendeleo katikati…
28 March 2024, 9:45 pm
Ripoti ya CAG imebaini kuwa mita zaidi ya 100,000 kati ya mita 602,266 zilibadilishwa kabla ya kipindi cha uhai wa matumizi yake kuisha. Na Mwandishi wetu RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, kwa…
28 March 2024, 9:40 pm
Ripoti ya CAF imebaini halmashauri 10 zililipa kiasi cha Sh Bilioni 2.9 kwa kazi zilizotekelezwa bila kuwepo nyaraka zinazoonesha ukubwa wa kazi. Na mwandishi wetu WAKATI ripoti ya Takukuru ikibainisha Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kughushi nyaraka za…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.