Nuru FM

Recent posts

5 June 2024, 12:22 pm

Wananchi Iringa waomba serikali kuingilia kati mgogoro wa ardhi

Migogoro ya ardhi imetajwa kuwa sababu ya Wananchi Wilaya ya Iringa kutokuwa na maelewano. Na Adelphina Kutika Wananchi wa Tarafa za Idodi na Tarafa ya Kiponzero  iliyopo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wameiomba Serikali kutatua changamoto ya Mgogoro…

5 June 2024, 11:33 am

Manispaa ya Iringa kuhuisha usajili wa bajaji

Hatua ya Serikali ya kuweka mfumo mpya wa usajili wa namba za pikipiki na bajaji inalenga kuweka mfumo na utaratibu mzuri wa uratibu wa vyombo hivyo vya usafiri kwa lengo la kuhakikisha usafiri huo unakuwa salama, ikiwa ni pamoja na…

4 June 2024, 10:55 am

Wananchi walalamikia vilabu vya pombe kuzunguka shule ya Mlamke

Shule ya Sekondari Mlamke inakabiliwa na ukosefu wa uzio jambo linalopelekea wanafunzi kupata kero kutokana na uwepo wa vilabu vya pombe pembezoni mwa shule hiyo. Na Adelphina Kutika Wananchi wa kata ya Ilala katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wameiomba…

4 June 2024, 10:29 am

Msigwa apinga ushindi wa Sugu Kanda ya Nyasa

Mchakato wa kumpata Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa umemuibua aliyekuwa Mgombea wa nafasi hiyo Peter Msigwa akisema haukuwa wa haki. Na Hafidh Ally ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa, Mch. Peter Msigwa, amekata…

3 June 2024, 9:45 am

RC Serukamba ahimiza usimamizi wa miradi ya maendeleo

Mkoa wa Iringa ni miongoni mwa mikoa iliyoingiziwa fedha za miradi ya maendeleo huku wasimamizi wakitakiwa kusimamia miradi hiyo kwa weledi. Wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mkoani Iringa wameaswa kusimamia ipasavyo miradi ya maendeleo ili iwe na tija…

27 May 2024, 10:33 am

DC Kheri ahimiza kuongeza nguvu katika malezi ya watoto

Wazazi wameshauriwa kutenga muda wa kukaa na watoto wao na kujenga mahusiano mazuri ya kirafiki na ya ukaribu ili kuwaweka karibu watoto na kuwafanya wawajue wazazi wao vizuri. Na Adelphina Kutika Mkuu wa Wilaya ya Iringa Kheri James amewahimiza wananchi…

24 May 2024, 1:49 pm

Shirika la SOS kuweka usawa malezi na makuzi ya Mtoto Iringa

Malezi na makuzi Bora kwa mtoto imetajwa kuwa sababu inayopelekea kuongeza kujiamini kwa watoto Mkoani Iringa Na Joyce Buganda Shirika la SOS children’s villagers wamefanya kikao cha kujadili na kushawishi ongezeko la bajeti katika shuhuli za ulinzi wa mtoto huku…

23 May 2024, 12:27 pm

TCCIA yaiomba TRA kuwapunguzia wafanyabiashara kodi

Licha ya wafanyabiashara kufanya kazi zao kwa mazignira rafiki Bado kumekuwa na changamoto ya kukadiriwa Kodi kubwa. Na Joyce Buganda Wafanyabiashara mkoani Iringa  wameilalamikia mamlaka ya mapato Tanzania  TRA kuwatoza  kodi kubwa hasa wanaposafirisha bidhaa zao kutoka mikoa ya jirani.…

22 May 2024, 11:03 am

Ubomoaji wa vibanda 331 soko la Mafinga wasitishwa

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewataka wafanyabiashara kusaini mkataba hadi kufikia jumatatu ya mei 27,2024 huku wakitakiwa kuanza kulipa kiasi cha shilingi Elfu 80 kwa mwezi kwa kila kibanda makubaliano ambayo utekelezaji wake utaanza juni mosi mwaka huu.…

21 May 2024, 11:12 am

RC Serukamba apiga marufuku kuuzwa unga usiokuwa na virutubisho

Imeonekana kuwa mwelekeo wa kuchukua virutubisho umeongezeka kwa kiasi kikubwa miongoni mwa jamii ili kutokomeza udumavu mkoani Iringa. Na Joyce Buganda Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewataka Wakuu wa Wilaya,  Wakurugenzi, Maafisa Elimu na Maafisa Biashara mkoani Iringa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.