Nuru FM
Nuru FM
10 May 2024, 12:32 pm
Waajiri wanaoshindwa kuwapa Fursa ya kupata mafunzo waajiriwa wao waonywa ili kuongeza uelewa kwa watendaji hao. Na Adelphina Kutika Serikali imechukizwa na kitendo cha baadhi ya Waajiri wa Taasisi za Umma kwa kutowaruhusu na kuwagharamia Wanachama wa Chama cha Taaluma…
10 May 2024, 12:24 pm
Zao la chai limeandaliwa mikakati ili kuwanufaisha wakulima na wadau wa zao hilo Mkoani Iringa. Na Joyce Buganda Wadau wa chai nchini wametakiwa kutoyatelekeza mashamba yao ya chai kwani kwa sasa zao hilo limeonekana kufumuka upya kwa uthamani pamoja na…
8 May 2024, 12:33 pm
Watunza kumbukumbu za Mamlaka za Serikali wametakiwa kudhibiti uvujishaji wa siri na nyaraka za serikali wanapotekeleza majukumu yao. Na Adelphina Kutika Wanataaluma wa Chama cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) wametakiwa kuzingatia miiko ya taaluma yao hususan utunzaji…
8 May 2024, 12:24 pm
Zaidi ya wakulima 1000 mkoani Iringa wamenufaika na mafunzo kutoka Taasisi ya Trees for the future. Na Joyce Buganda Taasisi ya TREES FOR THE FUTURE imewataka wahitimu wao kufanya kwa vitendo mafunzo waliyoyapata ili yaweze kuwa na tija na manufaa…
7 May 2024, 8:44 pm
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dkt. Festo Dugange amesema takwimu zinaonesha kuwa kiwango cha udumavu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano bado ni kikubwa ambapo kwa…
7 May 2024, 8:35 pm
Mgomo wa madereva daladala umechukua sura mpya baada ya madereva hao kutotoa huduma ya usafiri kutokana na Madereva bajaji kuingilia Njia zao. Na Hafidh Ally Madereva daladala katika kituo cha stand ya zamani ya mabasi Manispaa ya Iringa wameendeleza mgomo…
6 May 2024, 9:22 pm
Wataalamu hao watafanya Kazi Kaa karibu kwa ushirikiano kutoka Kwa madaktari wenyeji ili kutoa huduma za kitabibu kwa wananchi. Na Joyce Buganda Waziri wa afya Ummy Mwalimu amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi pindi wasikiapo uwepo wa madaktari bingwa ili kupata…
6 May 2024, 9:01 pm
Wananchi wa mtaa wa Mtalagala kata ya Nduli Manispaa ya Iringa wameiomba serikali kuwapelekea huduma ya umeme kili kurahisisha shughuli za uchumi na ukuaji wa mtaa huo. Na Azory Orema Wananchi hao wamesema kuwa wamechokwa kudanganywa na viongozi wao ambao…
6 May 2024, 11:36 am
Tabia ya wizi imekuwa ikipigwa vita hasa baada ya abiria kusahau mizigo yao ndani ya vyombo vya moto. Na Agness Leonard Madereva bajaji mkoani iringa wametakiwa kuwa waaminifu pindi abiria anaposahau mzigo kwenye chombo cha usafiri. Hayo yamezungumzwa na Makamu…
3 May 2024, 9:16 pm
Na Joyce Buganda Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imefanya mkutano na watoa huduma za utangazaji (Redio na Televisheni za Mitandaoni) na huduma za Mawasiliano wenye leseni mkoani Iringa. Mkutano huo umefanyika May 03, 2024 katika ukumbi wa Maktaba ya Mkoa…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.