Nuru FM
Nuru FM
16 April 2024, 10:14 am
Licha ya serikali kuweka kipaumbele katika ujenzi wa miundombinu ya barabara, dado wananchi wa Kijiji cha Wangama wanakabiliwa na changamoto ya usafiri. Na Fabiola Bosco Wananchi wa kijiji cha Wangama kata ya Luhota halmashauri ya wilaya ya Iringa wanakabiliwa na…
16 April 2024, 10:09 am
Serikali imefanya jitihada za kukabiliana na Magonjwa yasiyoambukiza kwa kuwaleta wataalamu kutoka Taasisi ya JKCI Mkoani Iringa kuweka Kambi ya kuwahudumia wakazi wa Mkoa huu. Na Adelphina Kutika MAMIA ya Wananchi kutoka maeneo mbalimbali mkoani Iringa wamejitokeza kwa wingi kwenye…
13 April 2024, 11:54 am
Na mwandishi wetu Mahakama ya Wilaya ya Mufindi ya mkoani Iringa, imetaifisha kuwa mali ya serikali, gari aina ya Toyota LandCruiser V8, lililokamatwa likiwa limebeba wahamiaji haramu 16 raia wa Ethiopia April 6 2024 katika eneo la msitu wa Luganga…
12 April 2024, 10:01 am
Licha ya Mafinga kuwa kinara katika ukusanyaji wa mapato, Bado Viongozi wa Halmashauri hiyo wamekuwa mstari wa mbele kupata Elimu namna ya kuboresha ukusanyaji wa mapato. Na Hafidh Ally & Sima Bingilek Halmashauri ya Mji Mafinga imepanga kuongeza kasi katika…
8 April 2024, 9:53 am
Na Mwandishi wetu. Mbunge wa Jimbo la Mufindi na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile ameungana na Viongozi wa Dini , Serikali pamoja na Wananchi kupata Iftar ya pamoja iliyoambatana na dua ya kumuombea Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa…
8 April 2024, 9:04 am
Kutojiamini, kukosa elimu ya uongozi, kukosa uzoefu, kutoaminika, kudharaulika ni miongoni mwa sababu zinazopelekea Vijana wengi washindwe kujitokeza kugombea nafasi za uongozi hapa nchini. Na Adelphina Kutika VIJANA Katika Halmashauri ya Wilaya Ya Iringa wametakiwa kujitokeza na kugombea katika uchaguzi…
8 April 2024, 9:01 am
Na Joyce Buganda Maafisa kilimo wa Tarafa ya Idodi iliyopo wilaya ya Iringa wameagizwa kutafuta mashine za kukoboa mpunga na kuzipeleka katika eneo hilo ili kumpunguzia mkulima gharama za usafirishaji wa zao hilo mpaka Iringa mjini. Hayo yamezungumzwa na Afisa…
5 April 2024, 9:36 am
Na mwandishi wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Asasi ya Bodi ya Kimataifa ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini, Mafuta na Gesi Asilia (EITI) ya…
4 April 2024, 8:13 pm
Na Mwandishi wetu Zaidi ya maroli 25 ambayo yanasafirisha bidhaa mbalimbali kutoka kiwanda cha karatasi Mgololo wilaya Mufindi mkoani Iringa yamekwamba kwa zaidi ya siku tano katika kijiji cha Nyamande na Kitandiliko halmashauri ya mji wa Makambako wilayani Njombe kutokana…
4 April 2024, 10:30 am
Mwenge wa uhuru ni mojawapo ya alama za kitaifa za Tanzania ambao huzunguka kila mkoa kwa lengo la kuangalia maendeleo ya miradi mbalimbali ya maendeleo katika jamii. Na Hafidh Ally Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa ameitisha…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.