Nuru FM

Wanawake kupewa elimu ya usalama mtandaoni

17 December 2025, 8:20 pm

Picha ya mitandao ya kijamii inayotumiwa na Wananchi. Picha kwa msaada wa mtandao.

Serikali, asasi za kiraia na wadau wa teknolojia wametakiwa pia kushirikiana katika kuweka mifumo madhubuti ya kulinda watumiaji wa mitandao.

Na Godfrey Mengele

Jamii imehimizwa kuwapa elimu wanawake na wasichana kuhusu matumizi salama ya mitandao, ikiwemo kulinda taarifa binafsi, kutumia nywila salama, na kuepuka kushiriki taarifa au picha zinazoweza kutumiwa vibaya.

MWANAHABARI WETU GODFREY MENGELE AMETUANDALIA UNDANI WA TAARIFA HII…

Ripoti ya Godfrey Mengele