Radio Tadio

Teknolojia

30 June 2026, 17:49

Unapambana vipi na ‘sogea tuishi’ za utotoni?

Bado ipo haja ya kutafuta ufumbuzi zaidi kwenye suala la ukatili wa kijinsia hasa uwepo wa ndoa za utotoni, ambao umekuwa ukikatisha ndoto za watoto wa kike katika elimu na pia kuhataria afya zao. Na Mariam Kasawa. Utafiti mpya wa…

26 June 2026, 15:41

Michezo ni sehemu muhimu katika ukuaji wa mtoto

Hata hivyo, baadhi yao wameonya kuwa michezo inaweza kuwa na hatari iwapo watoto watacheza bila uangalizi wa watu wazima. Na Daniel Njau.Michezo imeendelea kutajwa kuwa sehemu muhimu katika ukuaji wa watoto, huku wananchi wakisema huwasaidia kuwa wachangamfu, kujifunza kushirikiana na…

2 June 2026, 17:28

Wazazi watakiwa kuacha kuwaachia malezi dada wa kazi

Elizabeth na Deogratias  ni waumini  wa kanisa Hilo wamesema wazazi na walezi wa Sasa wanejikita Katika utafutaji na kusahau jukumu la malezi na kuwaachia jukumu hilo wadada wa kazi. Na Steven Noel. Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la…

22 May 2026, 18:05

Wazazi, walezi waongoza ukatili kwa watoto Dodoma

Kwa upande mwingine Afisa huyo amewashauri wazazi kuzingatia adhabu wanazotoa kwa watoto wao ili kuto leta madhara zaidi kwani kutoa adhabu zisizo faa kwa watoto ni kukiuka haki zao na kuvunja  sheria. Na Jerome John. Imeelezwa kuwa wazazi na walezi…

14 May 2026, 16:38

Wazazi watakiwa kuendelea kuwalinda watoto dhidi ya mitandao

Vile  vile kupitia sheria ya mtoto kifungu cha 9 kinaeleza wajibu wa mzazi au mlezi kumlinda mtoto dhidi ya ukatili,udhalilishaji na mazingira yanayoweza kumdhuru. Na Jerome John. Wazazi na walezi mkoani Dodoma wamekumbushwa kuendelea kuwalinda watoto wao dhidi ya matumizi…

13 April 2026, 16:28

Migogoro ya ndoa chanzo watoto wa mitaani

Kwa mwaka 2026 Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni  malezi  na ulinzi wa mtoto ni WAJIBU wetu sote. Na Steven Noel Jamii imeshauriwa kuchukua hatua dhidi  ongezeko  la watoto wanaotumikishwa mitaani pamoja na ongezeko la watoto wa mitaani   linalozidi kuongezeka…

9 March 2026, 20:56

Wanawake watakiwa kutomuacha nyuma mtoto wa kiume kimalezi

Kila mwaka mwezi Machi huadhimishwa kama mwezi wa wanawake, ambapo wanawake hupata nafasi ya kutafakari mafanikio yao pamoja na changamoto wanazokutana nazo katika nyanja za kiimani, kiuchumi na kisiasa. Na Steven Noel.Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa mkoani Dodoma, Nathan Malima,…

12 December 2025, 15:27

Serikali yajidhatiti kuimarisha ustawi wa Jamii.

Makao ya Taifa ya Kikombo ni mfano wa Taasisi ya Serikali inayotekeleza majukumu hayo kwa weledi. Na Mariam Matundu. Serikali ya Awamu ya Sita, inaendelea kuweka kipaumbele katika ajenda ya ustawi na mifumo ya ulinzi wa mtoto, kuendeleza huduma za…