Teknolojia
30 June 2026, 17:49
Unapambana vipi na ‘sogea tuishi’ za utotoni?
Bado ipo haja ya kutafuta ufumbuzi zaidi kwenye suala la ukatili wa kijinsia hasa uwepo wa ndoa za utotoni, ambao umekuwa ukikatisha ndoto za watoto wa kike katika elimu na pia kuhataria afya zao. Na Mariam Kasawa. Utafiti mpya wa…
26 June 2026, 15:41
Michezo ni sehemu muhimu katika ukuaji wa mtoto
Hata hivyo, baadhi yao wameonya kuwa michezo inaweza kuwa na hatari iwapo watoto watacheza bila uangalizi wa watu wazima. Na Daniel Njau.Michezo imeendelea kutajwa kuwa sehemu muhimu katika ukuaji wa watoto, huku wananchi wakisema huwasaidia kuwa wachangamfu, kujifunza kushirikiana na…
22 June 2026, 4:24 pm
DC Geita ashiriki uzinduzi wa MMU ya ulipuzi wa miamba migodini
“Kwanza niwapongeze sana sana ESAP kwa uthubutu huu na hii inaendana sambamba na dhamira ya serikali ya awamu ya sita kuweka mazingira wezeshi kwa wazawa katika mnyororo wa thamani ya madini nchini” – DC Geita Hashim Komba Na: Ester Mabula…
2 June 2026, 17:28
Wazazi watakiwa kuacha kuwaachia malezi dada wa kazi
Elizabeth na Deogratias ni waumini wa kanisa Hilo wamesema wazazi na walezi wa Sasa wanejikita Katika utafutaji na kusahau jukumu la malezi na kuwaachia jukumu hilo wadada wa kazi. Na Steven Noel. Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la…
22 May 2026, 18:05
Wazazi, walezi waongoza ukatili kwa watoto Dodoma
Kwa upande mwingine Afisa huyo amewashauri wazazi kuzingatia adhabu wanazotoa kwa watoto wao ili kuto leta madhara zaidi kwani kutoa adhabu zisizo faa kwa watoto ni kukiuka haki zao na kuvunja sheria. Na Jerome John. Imeelezwa kuwa wazazi na walezi…
14 May 2026, 16:38
Wazazi watakiwa kuendelea kuwalinda watoto dhidi ya mitandao
Vile vile kupitia sheria ya mtoto kifungu cha 9 kinaeleza wajibu wa mzazi au mlezi kumlinda mtoto dhidi ya ukatili,udhalilishaji na mazingira yanayoweza kumdhuru. Na Jerome John. Wazazi na walezi mkoani Dodoma wamekumbushwa kuendelea kuwalinda watoto wao dhidi ya matumizi…
13 April 2026, 16:28
Migogoro ya ndoa chanzo watoto wa mitaani
Kwa mwaka 2026 Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni malezi na ulinzi wa mtoto ni WAJIBU wetu sote. Na Steven Noel Jamii imeshauriwa kuchukua hatua dhidi ongezeko la watoto wanaotumikishwa mitaani pamoja na ongezeko la watoto wa mitaani linalozidi kuongezeka…
9 March 2026, 20:56
Wanawake watakiwa kutomuacha nyuma mtoto wa kiume kimalezi
Kila mwaka mwezi Machi huadhimishwa kama mwezi wa wanawake, ambapo wanawake hupata nafasi ya kutafakari mafanikio yao pamoja na changamoto wanazokutana nazo katika nyanja za kiimani, kiuchumi na kisiasa. Na Steven Noel.Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa mkoani Dodoma, Nathan Malima,…
26 January 2026, 17:11
Serikali wilayani Mpwapwa yaingilia kati sakata la mtoto kupotea
Pamoja serikali kujitahidi kutoa Elimu kupitia vyombo mbalimbali lakin Bado wilaya ya Mpwapwa inakabiliwa na changamoto za wazazi au walezi kuwatoa watoto wao Kwenda mikoa ya mbali Kwa kazi za ndani au kuchunga mifugo. Na Steven Noel. Hatimae serikali wilaya…
12 December 2025, 15:27
Serikali yajidhatiti kuimarisha ustawi wa Jamii.
Makao ya Taifa ya Kikombo ni mfano wa Taasisi ya Serikali inayotekeleza majukumu hayo kwa weledi. Na Mariam Matundu. Serikali ya Awamu ya Sita, inaendelea kuweka kipaumbele katika ajenda ya ustawi na mifumo ya ulinzi wa mtoto, kuendeleza huduma za…