Radio Tadio

Teknolojia

22 May 2026, 18:05

Wazazi, walezi waongoza ukatili kwa watoto Dodoma

Kwa upande mwingine Afisa huyo amewashauri wazazi kuzingatia adhabu wanazotoa kwa watoto wao ili kuto leta madhara zaidi kwani kutoa adhabu zisizo faa kwa watoto ni kukiuka haki zao na kuvunja  sheria. Na Jerome John. Imeelezwa kuwa wazazi na walezi…

14 May 2026, 16:38

Wazazi watakiwa kuendelea kuwalinda watoto dhidi ya mitandao

Vile  vile kupitia sheria ya mtoto kifungu cha 9 kinaeleza wajibu wa mzazi au mlezi kumlinda mtoto dhidi ya ukatili,udhalilishaji na mazingira yanayoweza kumdhuru. Na Jerome John. Wazazi na walezi mkoani Dodoma wamekumbushwa kuendelea kuwalinda watoto wao dhidi ya matumizi…

13 April 2026, 16:28

Migogoro ya ndoa chanzo watoto wa mitaani

Kwa mwaka 2026 Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni  malezi  na ulinzi wa mtoto ni WAJIBU wetu sote. Na Steven Noel Jamii imeshauriwa kuchukua hatua dhidi  ongezeko  la watoto wanaotumikishwa mitaani pamoja na ongezeko la watoto wa mitaani   linalozidi kuongezeka…

9 March 2026, 20:56

Wanawake watakiwa kutomuacha nyuma mtoto wa kiume kimalezi

Kila mwaka mwezi Machi huadhimishwa kama mwezi wa wanawake, ambapo wanawake hupata nafasi ya kutafakari mafanikio yao pamoja na changamoto wanazokutana nazo katika nyanja za kiimani, kiuchumi na kisiasa. Na Steven Noel.Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa mkoani Dodoma, Nathan Malima,…

12 December 2025, 15:27

Serikali yajidhatiti kuimarisha ustawi wa Jamii.

Makao ya Taifa ya Kikombo ni mfano wa Taasisi ya Serikali inayotekeleza majukumu hayo kwa weledi. Na Mariam Matundu. Serikali ya Awamu ya Sita, inaendelea kuweka kipaumbele katika ajenda ya ustawi na mifumo ya ulinzi wa mtoto, kuendeleza huduma za…

28 November 2025, 14:18

Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa za serikali

Ni vyema wananchi wakachangamkia fursa zinazotolewa na Serikali ikiwemo fursa ya mikopo kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Na Mariam Matundu.Wananchi wametakiwa kuchangamkia fursa zinazotolewa na Serikali kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Wito huo umetolewa tarehe 27 Novemba na Naibu waziri…

27 November 2025, 15:20

Gwajima atoa wito kwa wazazi usalama wa watoto mtandaoni

Wadau wa maendeleo wanaotekeleza afua za usalama wa watoto mtandaoni wameahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu na Serikali ili kuhakikisha watoto wanalindwa dhidi ya aina zote za ukatili, hususan ukatili wa mtandaoni. Na Mariam Matundu.Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake…

24 November 2025, 15:37

‘Wazazi, walezi wana jukumu kubwa malezi ya watoto’

Wazazi wasiozungumza na watoto wao au kuwanyima nafasi ya kueleza mawazo na hisia, huwafanya watoto kushindwa kueleza matatizo yao. Na Joseph Julius.Wazazi wanatajwa kuwa na jukumu kubwa katika malezi ya watoto, lakini tabia zisizo sahihi zinaweza kuathiri saikolojia ya mtoto…

19 November 2025, 13:55

Baba ruksa kumwona mtoto hata kama hatoi matunzo

Wakili Jacquiline amesisitiza endapo baba anakataa au anashindwa kutoa matunzo, mama anaweza kufika ofisi za Ustawi wa Jamii au kufungua kesi mahakamani, ambapo mahakama inaweza kuamuru baba kugharamia chakula, elimu, afya na makazi ya mtoto kulingana na kipato chake. Na…