Teknolojia
26 August 2026, 17:20
Adhabu kali humfanya mtoto kuwa na hofu
Amewashauri wazazi kuwa karibu na watoto wao na kuzungumza nao kwa upendo ili kujenga uaminifu, jambo litakalo wawezesha watoto kueleza changamoto zao na kusaidiwa mapema. Na Rahel Joseph. Imeelezwa kuwa adhabu kali kwa mtoto humjengea hofu na kumfanya ashindwe kujiamini…
26 August 2026, 17:13
Wazazi watakiwa kuendelea kuimarisha malezi ya watoto
Wananchi,wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wametakiwa kutambua wajibu wao wa malezi, kuwaongoza watoto kwa nidhamu na kushirikiana na viongozi wa dini pamoja na jamii katika kujenga kizazi chenye maadili mema. Na Daniel Njau. Wananchi wameeleza kuwa mabadiliko ya maadili…
30 July 2026, 17:23
Serikali yachukua hatua mtoto aliyepotea Dar kurudishwa Mpwapwa
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na vyombo vya dola kuhakikisha watoto wote wanaopotea wanapatikana na kurudishwa kwa wazazi wao. Na Stephen Noel. Serikali imesema imechukua hatua ya kumtafuta mtoto wa Mpwapwa aliepotea jijini Dar es Salaam na sasa imeshaanza utaratibu wa…
28 July 2026, 16:57
Elimu ya malezi yatajwa kuwa msingi wa familia imara
Malezi bora ni wajibu wa jamii nzima, wakisisitiza ushirikiano kati ya wazazi, walezi, shule na jamii kwa ujumla Na Daniel Njau. Wazazi na walezi wametakiwa kuimarisha ushiriki wao katika malezi ya watoto kwa kuhudhuria na kufuatilia vipindi vya malezi, hatua…
30 June 2026, 17:49
Unapambana vipi na ‘sogea tuishi’ za utotoni?
Bado ipo haja ya kutafuta ufumbuzi zaidi kwenye suala la ukatili wa kijinsia hasa uwepo wa ndoa za utotoni, ambao umekuwa ukikatisha ndoto za watoto wa kike katika elimu na pia kuhataria afya zao. Na Mariam Kasawa. Utafiti mpya wa…
26 June 2026, 15:41
Michezo ni sehemu muhimu katika ukuaji wa mtoto
Hata hivyo, baadhi yao wameonya kuwa michezo inaweza kuwa na hatari iwapo watoto watacheza bila uangalizi wa watu wazima. Na Daniel Njau.Michezo imeendelea kutajwa kuwa sehemu muhimu katika ukuaji wa watoto, huku wananchi wakisema huwasaidia kuwa wachangamfu, kujifunza kushirikiana na…
22 June 2026, 4:24 pm
DC Geita ashiriki uzinduzi wa MMU ya ulipuzi wa miamba migodini
“Kwanza niwapongeze sana sana ESAP kwa uthubutu huu na hii inaendana sambamba na dhamira ya serikali ya awamu ya sita kuweka mazingira wezeshi kwa wazawa katika mnyororo wa thamani ya madini nchini” – DC Geita Hashim Komba Na: Ester Mabula…
2 June 2026, 17:28
Wazazi watakiwa kuacha kuwaachia malezi dada wa kazi
Elizabeth na Deogratias ni waumini wa kanisa Hilo wamesema wazazi na walezi wa Sasa wanejikita Katika utafutaji na kusahau jukumu la malezi na kuwaachia jukumu hilo wadada wa kazi. Na Steven Noel. Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la…
22 May 2026, 18:05
Wazazi, walezi waongoza ukatili kwa watoto Dodoma
Kwa upande mwingine Afisa huyo amewashauri wazazi kuzingatia adhabu wanazotoa kwa watoto wao ili kuto leta madhara zaidi kwani kutoa adhabu zisizo faa kwa watoto ni kukiuka haki zao na kuvunja sheria. Na Jerome John. Imeelezwa kuwa wazazi na walezi…
14 May 2026, 16:38
Wazazi watakiwa kuendelea kuwalinda watoto dhidi ya mitandao
Vile vile kupitia sheria ya mtoto kifungu cha 9 kinaeleza wajibu wa mzazi au mlezi kumlinda mtoto dhidi ya ukatili,udhalilishaji na mazingira yanayoweza kumdhuru. Na Jerome John. Wazazi na walezi mkoani Dodoma wamekumbushwa kuendelea kuwalinda watoto wao dhidi ya matumizi…