Nuru FM

Wanacama wajengewa uwezo wa kilimo bora

8 December 2025, 9:00 pm

“Kilimo hicho kitasaidia kuandaa mashamba bora kutokana na hali ya hewa kwa wakati huo”

Na Adelphina Kutika

Wasichana wanaofadhiliwa na Shirika la Camfed (WANACAMA) wanaojihusisha na kilimo biashara mkoani Iringa wamejengewa uwezo wa kulima kilimo kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.

Wakizungumza baada ya mafunzo ya kilimo cha umwagiliaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo  mkoani Iringa wamesema kuwa yatawasaidia kukabiliana na changamoto zinazoletwa na mabadiliko ya tabia nchi.

MWANAHABARI WETU ADELPHINA KUTIKA AMETUANDALIA JINSI WANACAMA WALIVYOJIANDAA NA KILIMO KUTOKANA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI….

Ripoti ya Adelphina Kutika