Radio Tadio

Kilimo

30 May 2023, 10:06 am

Wakulima wa pamba Tongwe walia na bei ya zao hilo

KATAVI Wakulima wa zao la pamba kijiji cha Vikonge kata ya Tongwe halmshauri ya wilaya ya Tanganyika wameiomba serikali kupitia Wizara ya Kilimo kuongeza bei ya zao hilo. Wakizungumza katika uzinduzi wa soko la mauzo ya zao la pamba katika…

25 May 2023, 7:41 pm

Vijana watakiwa kujikita katika kilimo

Katika eneo hili mazao mbalimbali yanazalishwa ikiwemo matunda kama vile embe papai na chungwa pamoja na mazao mengine kama migomba na mihogo. Na Thadei Tesha. Vijana jijini Dodoma wameshauriwa kujiingiza katika shughuli za kilimo kwani zikifanywa kiukamilifu zinaweza kuleta fursa…