Radio Tadio

Kilimo

18 July 2024, 11:50

Nabii awaonya waumini kutegemea miujiza

Waumini wa dini ya kikristo mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kupata mafanikio ambayo yatawasaidia katika maisha yao kuliko kutegemea miujiza. Hayo yameelezwa na Askofu wa kanisa la Anglikana dayosisi ya western Tanganyika Mhasham Emmanuel Bwatta wakati akizungumza…

18 July 2024, 08:17

Mwenyekiti atuhumiwa kuiba na vifaa vya ujenzi

Mkuu wa wilaya Buhogwe Michael Ngayalina amemwagiza afisa utumishi kumtafuta mwenyekiti wa kijiji cha songambele ili aweze kujibu tuhuma zinazomkabili ikiwemo wizi wa vifaa vya ujenzi wa shule hali iliyosababisha ujenzi kusimama. Na Michael Ngayalina – Buhigwe Wananchi wa kijiji…

17 July 2024, 16:12

Wakulima watakiwa kupima afya ya udongo kigoma

Serikali imesema itaendelea kutoa elimu kwa wakulima ili waweze kutambua namna ya kupima afya ya udongo ili waweze kulima kilimo chenye tija na ushindani kwenye sokola ndani na nje ya nchi. Na Michael Mpunije – Kasulu Wakulima wa mazao mbalimbali…

16 July 2024, 11:30

Bilioni 2 zaboresha miundombinu ya elimu

Mbunge wa Jimbo la Kasulu mjini Profesa Joyce Ndalichako amesema kuwa serikali imeendelea kutenga pesa kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya shule ili kuchochea kiwango cha ufaulu kwa wananchi kwa kuwa na mazingira bora na rafiki kwa kujifunza. Na…

9 July 2024, 14:26

Walimu watakiwa kufundisha kwa bidii ili kuinua ufaulu

Serikali imesema itaendelea kutatua na kushughulikia changamoto za walimu ili waweze kufanya kazi bila vikwazo vinavyowakabili. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Waalimu wa Kata ya Murusi Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia nidhamu bora kwa wanafunzi wao ili…

9 July 2024, 10:58

Tuzo kwa walimu kuchochea ufaulu kwa wanafunzi Kigoma

Waalimu wa shule za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuongeza bidii na maarifa katika ufundishaji ili kuongeza ufaulu kwa wanafunzi. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu Mwl. Vumilia Simbeye katika…

4 July 2024, 12:02

Wananchi walalamikia michango mingi shuleni

Wazazi na walezi wilayani kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa wameomba serikali kupunguza baadhi ya michango midogo midogo ambayo hutozwa shuleni kutokana na hali kuwa ngumu ya maisha. Na James Jovin – Kibondo Wakati shule tayari zimefunguliwa kwa muhula wa pili kwa…

2 July 2024, 08:42

Wananchi Mwilamvya wachanga milioni 14 kujenga shule mpya

Ili kukabiliana na chamgamoto ya watoto kutembea umbali mrefu kwa wananchi wa kata ya Mwilamvya wilayani Kasulu, hatimaye wananchi wamekubaliana kushirikiana na wadau wa maendeleo kuchanga pesa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule mpya katani hapo. Na Emmanuel Kamangu…

June 25, 2024, 1:29 pm

Manyara yatajwa kuwa na asilimia 32 ya udumavu

Licha ya mkoa wa Mnyara kuwa na uzalishaji mkubwa wa vyakula mbali mbali hali ya udumavu imeonekana kuwa juu hasa katika maeneo ya kata ya Bashay iliyopo wilaya mbulu vijijini Na Marino Kawishe Mkoa wa Manyara umetajwa kuwa na silimia…