
Kilimo

18 July 2025, 13:11
Kilimo cha mchikichi chaongeza kipato, wakulima Kasulu
Kilimo cha zao la mchikichi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma kimeanza kuleta mafanikio kiuchumi kwa wakulima, kufuatia usambazaji wa mbegu bora aina ya Tenera. Na Emmanuel Kamangu Wananchi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa ya kilimo…

July 17, 2025, 2:03 pm
Siwale aweka historia ya kugombea Urais kutoka Songwe
Mzee Siwale (80) kutoka Mbozi, Songwe, achukua fomu ya urais kupitia CUF, akiweka historia ya kuwa mgombea wa kwanza kutoka mkoa huo. Na Stephano Simbeye Mwanachama wa Chama cha Wananchi CUF kutoka wilaya ya Mbozi, mkoa wa Songwe, Nkunyuntila Siwale…

14 July 2025, 12:39
TAKUKURU yataka wananchi kuripoti vitendo vya rushwa
Wajibu wa wananchi katika kudhibiti rushwa ni muhimu sana ili kuhakikisha kuwepo kwa utawala bora, uwazi, na maendeleo ya kweli katika jamii. Na Timotheo Leonard Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU Mkoa wa Kigoma imesema miongoni mwa majukumu…

3 July 2025, 16:06
Walimu watakiwa kufanya tathmini ya mitihani
Ili kupandisha ufaulu kwa wanafunzi, Walimu na Maafisa elimu wameshauri kuffuatilia nakufanya tathimini kwa wanafunzi waliofanya vibaya mitihani yao. Na Emmanuel Kamangu Maafisa elimu kata na walimu wakuu wa shule za msingi Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wametakiwa kufanya tathmini…

2 July 2025, 16:01
BoT yataka wakulimu kutohifadhi fedha ndani
Benki Kuu ya Tanzania imeendelea kutoa elimu na kuhamasisha wananchi kuzingatia matumizi na utunzaji bora wa fedha. Na Mwandishi wetu Uvinza Wakulima Mkoani Kigoma wametakiwa kuachana na utamaduni wa kuhifadhi fedha ndani na badala yake kutumia huduma za kibenki ili…

26 June 2025, 16:12
Jamii imeaswa kutowaficha watoto wenye ulemavu
Ulemavu ni hali ya kuwa na hitilafu ya kudumu mwilini au akilini, inayomzuia mtu kutekeleza shughuli fulani katika maisha yake tofauti na watu wengine lakini watu wenye ulemavu wakiwekewa mazingira rafiki kulingana na hitilafu zao wanaweza kutimiza majukumu yao kama…

24 June 2025, 15:52
Wahitimu VETA Kasulu watakiwa kuwa wabunifu
Serikali na wadau wa maendeleo wameendelea kuwahimiza vijana kuwa wabunifu ili waweze kujiajiri kupitia bunifu mbalimbali. Na Hagai Ruyagila Wahitimu wa mafunzo ya ushonaji wa vazi maalumu la kulinia asali na teknolojia ya umeme jua katika chuo cha Veta Kasulu…

18 June 2025, 7:29 pm
Diwani aguswa ugumu wa matibabu, akabidhi bima za afya CHF 170
Wanachama wa CHF hupata huduma haraka na kwa urahisi kwenye vituo vya afya vilivyoingia mkataba na bima hiyo hivyo hupunguza ucheleweshaji wa matibabu unaoweza kusababisha madhara makubwa kiafya Na Katalina Liombechi Jumla ya wahitaji 170 katika kata ya Lupiro Wilaya…

17 June 2025, 5:34 pm
Kiwanda cha Bio-sustain kuzalisha ajira zaidi ya 800 Wilayani Meatu
Maelekezo ya Mh Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha Wizara inatengeneza Mazingira mazuri ya Uwekezaji na ufanyaji Biashara Imeelezwa kuwa zaidi ya ajira 350 za moja kwa moja kwa wazawa na zingine 800 zisizo za moja kwa moja zitazalishwa kutoka kiwanda …

13 June 2025, 5:06 pm
DC Maswa atangaza kiama kwa wakopeshaji wasiokuwa na kibali cha BoT
“Hatuwezi kuwavumilia watu au taasisi ya mikopo inayowakandamiza wakopaji kwa kuwatoza riba kubwa ya marejesho na kwa muda mfupi sana ambapo ni kinyume cha sheria na taratibu za mikopo kulingana na vibali vya benki kuu ya Tanzania BOT hivyo lazima…