
Kilimo

1 June 2023, 4:56 pm
Gharama zapelekea baadhi ya wakulima wa mpunga kususa kilimo hicho
Wakulima hao wameendelea kuiomba serikali kuwatafutia masoko ya uhakika . Na Bernad Magawa Baadhi ya wakulima wa Mpunga wilayani Bahi wameshindwa kushiriki kikamilifu katika kilimo msimu uliopita wa kilimo kutokana na gharama kubwa za kilimo hicho pamoja na pembejeo. Mpunga…

1 June 2023, 2:14 pm
Wakulima wa mtama wanufaika na mbegu za mesia
Mtama ni miongoni mwa mazao ya nafaka yanayolimwa kwa wingi nchini na duniani kote na Zao hili hulimwa kwa ajili ya chakula na biashara. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la mtama wamesema Mbengu za mtama aina ya Mesia zimewanufaisha…

30 May 2023, 10:06 am
Wakulima wa pamba Tongwe walia na bei ya zao hilo
KATAVI Wakulima wa zao la pamba kijiji cha Vikonge kata ya Tongwe halmshauri ya wilaya ya Tanganyika wameiomba serikali kupitia Wizara ya Kilimo kuongeza bei ya zao hilo. Wakizungumza katika uzinduzi wa soko la mauzo ya zao la pamba katika…

29 May 2023, 8:33 pm
Jamii yashauriwa kuendelea kulima na kutumia mazao jamii ya mikunde
Mazao jamii ya mikunde yanatajwa kuwa na protini nzuri na bora kuliko protini nyingenezo hivyo wanahamasishwa kulima na kutumia mazao hayo. Na Mindi Joseph. Jamii imeshauriwa kuendelea kutumia na kulima kwa wingi mazao ya jamii ya mikunde hususan mbaazi ili…

25 May 2023, 7:41 pm
Vijana watakiwa kujikita katika kilimo
Katika eneo hili mazao mbalimbali yanazalishwa ikiwemo matunda kama vile embe papai na chungwa pamoja na mazao mengine kama migomba na mihogo. Na Thadei Tesha. Vijana jijini Dodoma wameshauriwa kujiingiza katika shughuli za kilimo kwani zikifanywa kiukamilifu zinaweza kuleta fursa…

19 May 2023, 7:36 pm
Wananchi watakiwa kutumia mabwawa yanayojengwa kujikita katika kilimo cha umwagi…
Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma imefanyika wilayani Bahi lengo likiwa ni kutembelea miradi mbalimbali wilayani humo ikiwemo ujenzi wa shule ya msingi Ngondo, nyumba ya mwalimu na mradi wa umwagiliaji Kongogo. Na Mariam Kasawa. Wananchi wametakiwa kutumia vizuri…

16 May 2023, 8:16 pm
Program ya AFDP yategemewa kuwafikia wakulima zaidi ya laki mbili nchini
Watazania wamehimizwa kuendelea kujikita katika katika shughuli za kilimo kwa uwekezaji wa uhakika . Na Mindi Joseph. Imeelezwa kuwa, Programu ya kuendeleza Kilimo na Uvuvi AFDP unataegemea kufikia kaya zaidi ya Laki mbili Nchini. Hayo yamebainishwa na mtaalam wa masuala…

15 May 2023, 6:48 pm
Wakulima wa alizeti Bahi wahimizwa kuzingatia matumizi sahihi ya pembejeo
Wakulima wa alizeti Bahi wahimizwa kuzingatia matumizi sahihi ya pembejeo ili kuzalisha zao hilo kwa wingi na ubora unaotakiwa nchini. Na Bernad Magawa Wakulima wa zao la alizeti wilayani Bahi wameshauriwa kutumia kwa usahihi pembejeo za kilimo ili waweze kuwa…

12 May 2023, 12:42 pm
Mndolwa azitaka kampuni zilizoshinda zabuni kufanya upembuzi yakinifu
Hata hivyo Mdolwa amesema lengo la kukutana na wakurugenzi wa kampuni hizo ni kujenga uelewa wa pamoja kurahisisha utendaji na kupata matokeo chanya. Na Mindi Joseph. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Raymond Mndolwa amezitaka kampuni zilizoshinda zabuni…

11 May 2023, 5:50 pm
Serikali kushirikiana na sekta binafsi kuendeleza sekta ya kilimo
Feed the Future inasaidia Nchi katika kuendeleza sekta za kilimo ili kuchochea ukuaji wa uchumi na biashara ambayo huongeza mapato na kupunguza njaa umaskini na utapiamlo. Na Mindi Joseph. Serikali kwa Kushirikiana na Sekta Binafsi imejipanga kuendeleza sekta ya kilimo…