Radio Tadio

Kilimo

13 December 2023, 9:32 am

Jukwaa la wadau wa kilimo Bunda, larasimishwa rasmi

Jukwaa la wadau wa kilimo wilaya Bunda linalokutanisha halmashauri ya Bunda mji na Bunda Dc limerasimishwa rasmi kupitia kikao kilichofanyika Dec 8 mwaka 2023 katika ukumbi wa Shaloom mjini Bunda. Na Thomas Masalu Jukwaa la wadau wa kilimo wilaya Bunda…

13 December 2023, 9:17 am

Upatikanaji wa pembejeo ni changamoto kwa wakulima wadogo

Utafiti mdogo uliofanywa na Shirika la Civil Social Protection Foundation (CSP) kwa kushirikiana na shirika la MVIWANYA umebaini kuwa upatikanaji wa pembejeo ni changamoto kwa wakulima wadogo. Na Thomas Masalu Utafiti mdogo uliofanywa na Shirika la Civil Social Protection Foundation…

12 December 2023, 19:28

Songwe waanzisha mradi wa parachichi kujikwamua kiuchumi

Na mwandishi wetu,Songwe Ili Kujikwamua kiuchumi na kuanza kujitegemea Klabu ya waandishi wa Habari mkoa wa Songwe imeanzisha mradi wa kilimo cha zao la parachichi ambalo wanategemea kuanza kuvuna baada ya miaka miwili. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa klabu ya…

11 December 2023, 12:42

Kyela: Ngedere watishia janga la njaa Ipande

Wanyama waharibifu kwa mazao ya chakula aina ya Ngedere wamevamia mashamba ya wananchi wa Ipande na kula mazao shambani. Na Nsangatii Mwakipesile Kufuatia kuwepo kwa uharibifu mkubwa wa mazao unaofanywa na wanyama aina ya ngedere wakulima wa Kata ya Ipande…

8 December 2023, 4:43 pm

Prof Mkenda ahimiza kilimo cha parachichi Rombo

Wananchi wa Rombo mkoani Kilimanjaro wamepatiwa miche ya parachichi zaidi ya elfu moja kwa ajili ya kilimo cha kisasa. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Jimbo la Rombo Pro Adolf Mkenda amekabidhi Miche ya maparachichi zaidi ya alfu moja kwa wakulima…

8 December 2023, 11:40 am

Makala: Mkenda ahamasisha kilimo cha parachichi Rombo

Mbunge wa Jimbo la Rombo Pro Adolf Mkenda amekabidhi Miche ya maparachichi zaidi ya elfu moja kwa wakulima kutoka vijiji mbali mba doli Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Jimbo la Rombo Prof Adolf Mkenda amekabidhi Miche…

6 December 2023, 12:56 pm

Zifahamu hatua za kilimo cha zabibu

Kwa nini zao la zabibu hustawi zaidi katika eneo la mkoa wa Dodoma na si maeneo mengine? Na Yussuph Hassan. Baada ya kufahamu kwa undani aina za zabibu nchi zilizotoka na njia zilizotumika pamoja na utafiti kwanini mkoa wa dodoma…

4 December 2023, 17:32

Wakulima wa pareto watahadharishwa kuepuka vishoka

Mikoa ya Mbeya na Songwe ndiyo wazalishaji wakuu wa pareto na wakulima wamepewa wito kuuza zao hilo kwa wanunuzi wenye uhakika. Na Lameck Charles Wakulima wa zao la pareto katika mikoa ya Mbeya na Songwe wametakiwa kuepuka walanguzi (vishoka) wanaonunua…