Kilimo
20 Aprili 2026, 13:57
DED Kasulu achangia tofali 5000 ujenzi uzio wa shule
Wazazi na walezi wametakiwa kuona umuhimu wa ushirikiano kati ya wadau wa elimu katika kutatua changamoto zinazoikabili shule ya Sekondari Kigoma Grand. Na Hagai Ruyagila Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu, mkoani Kigoma Mwalimu Vumilia Simbeye ameahidi kuchangia tofali 5000…
20 Aprili 2026, 09:11
Wahitimu kidato cha sita waaswa kuwa wazalendo
Wakati wanafunzi wa kidato cha sita wakiwa wanajianda na mitihani ya kuhitimu elimu ya kidato cha sita wameaswa kusaoma kwa bidii ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao. Na Sadiki Kibwana Wanafunzi wanaohitimu kidato cha sita Wilaya ya Kigoma wametakiwa…
20 Aprili 2026, 08:23
DED Uvinza apongeza serikali ujenzi shule ya wasichana Kigoma
Watoto wa kike wanapo pata elimu wanakuwa na nafasi kubwa ya kuboresha maisha yao na kuchangia maendeleo ya jamii na wataalamu wa elimu wanasema kuwa elimu kwa wasichana ni msingi muhimu wa maendeleo endelevu katika jamii nyingi duniani. Na Mwandishi…
13 Machi 2026, 19:47
Polisi wanawake Moro wachangia matibabu mtoto mwenye ulemavu
Polisi wanawake mkoa wa Morogoro wamefanya harambee ya kupata kiasi cha fedha Tsh.630,000 kusaidia matibabu baada ya kuona uhitaji kwa mtoto Zuhaira mara baada ya kumtembelea Machi 6, 2026 wakiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Na Katalina Liombechi Mtandao wa Polisi…
10 Machi 2026, 16:37
Shirika la Posta lakabidhi madawati 100 shule ya msingi Kigondo Kasulu
Shirika la Posta Tanzania limesema litaendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha miundombinu ya elimu kwa lengo la kuinua taaluma kwa wanafunzi kwa kuhakikisha wanafunzi wanajifunza katika mazingira rafiki. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma…
6 Machi 2026, 11:36
VETA Kigoma yaendelea kukuza ujuzi kwa vijana
Katika dunia ya leo, ujuzi wa kazi ni muhimu kwa maendeleo ya vijana na taifa kwa ujumla na wengi wanahitaji mafunzo ya vitendo ili waweze kujitegemea na kuchangia katika maendeleo ya jamii ambapo VETA imekuwa na mchango mkubwa katika kuwasaidia…
2 Machi 2026, 12:09
Mbunge achangia milioni 2 kutatua changamoto ya madawati Buhigwe
Elimu ni msingi muhimu katika maendeleo ya mtoto na taifa kwa ujumla hata hivyo katika mchakato wa kujifunza, kumekuwepo na changamoto mbalimbali zinazoathiri ufanisi wa masomo darasani ikiwemo ni tatizo la watoto kukaa chini kwa kukosa madawati. Na Mwandishi wetu…
2 Machi 2026, 09:23
Utoaji chakula shuleni Wilaya ya Uvinza umefikia 60%
Chakula shuleni ni nguzo muhimu katika kuhakikisha mwanafunzi anakuwa na afya njema, anafaulu masomo, na anakua katika mazingira bora ya kielimu. Na Mwandishi wetu Wilaya ya Uvinza imejipanga kuendelea kuboresha utoaji wa chakula shuleni ikiwa ni mkakati mojawapo wa kuongeza…
27 Febuari 2026, 17:22
Vijana 50 wanufaika elimu ya biashara Kibondo
Katika dunia ya leo yenye ushindani mkubwa wa kiuchumi, vijana wanahitaji maarifa na ujuzi utakaowawezesha kujitegemea na kukabiliana na changamoto za maisha na mojawapo ya elimu muhimu wanayopaswa kupewa ni elimu ya biashara ili iweze kuwasaidia kuelewa misingi ya ujasiriamali,…
13 Febuari 2026, 14:15
DED Kasulu ahimiza nidhamu kwa walimu na wanafunzi kuongeza ufaulu
Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imewataka walimu wakuu wa shule za Sekondari kuhakikisha wanasimamia nidhamu ili kuongeza ufaulu Na Hagai Ruyagila Wakuu wa Shule za Sekondari katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia suala la nidhamu…