Radio Tadio

Kilimo

10 Oktoba 2025, 11:45

Walimu wanolewa kutengeneza zana za kufundishia Kigoma

Katika kuhakikisha walimu wanaendelea kuwa mahiri katika ufundishaji serikali imeendelea kuwapa ujuzi wa walimu ili kufahamu namna ya kutengeneza zana za kufundishia wanafunzi. Na Tryphone Odace Mafunzo ya uandaaji na utengenezaji wa zana za kufundishia na kujifunzia kwa Walimu mahiri…

9 Oktoba 2025, 16:31

Mkaa wenye moto waunguza nyumba Mangamba chini

Nyumba ya mkazi wa Mangamba Chini, Bw. Roboti, imeteketea kwa moto asubuhi ya Oktoba 8, 2025, kutokana na mkaa uliokuwa bado una moto. Jeshi la Zimamoto lilifika kwa haraka kuzima moto huo, huku viongozi na majirani wakitoa pole na elimu…

8 Oktoba 2025, 12:04

Wamiliki vyombo vya habari Kigoma watakiwa kuajiri wenye taaluma

Serikali imeendelea kuwakumbusha wamiliki wa vyombo vya habari kufuata matakwa ya kisheria kwa kuhakikisha wanatumia na kuajiri waandishi wa habari wenye taaluma ya habari. Na Josephine Kiravu Wamiliki wa vyombo vya habari mkoani Kigoma wametakiwa kuajiri wanahabari wenye taaluma ya…

6 Oktoba 2025, 10:03

Wanafunzi walia na wazazi kuwachagulia masomo Kigoma

Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuwaunga mkono watoto wao katika masomo wanayopenda kusoma na kuacha kuwalazimisha kusoma masomo ambayo hawayawezi Na Emmanuel Kamangu Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari Mikamba Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wamewaomba…

22 Septemba 2025, 14:03

Mwenge wa uhuru wazindua kituo cha sayansi Buhigwe

Jumla ya miradi 7 ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 2 wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma imetembelewa,kuzinduliwa na mingine kuwekewa mawe ya msingi na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Kitaifa Ismail Ali Ussi. Na Emmanuel Kamangu…

17 Septemba 2025, 15:06

Ussi akoshwa na mradi wa nyumba za walimu Kasulu

Katika kuthamini mchango wa watumishi  wa Umma, Serikali imeendelea kuimarisha mazingira ya kutolea huduma ikiwemo kujenga nyumba kwa ajili ya makazi ya watumishi ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao. Na Hagai Ruyagila Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru…

3 Septemba 2025, 7:01 um

Jamii Manyara yatakiwa kuwapa watoto lishe bora

Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuhakikisha watoto wote kuanzia umri wa miaka 0 hadi 8 wanapata lishe bora na huduma za malezi jumuishi ili iwasadie katika ukuaji . Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa…

2 Septemba 2025, 4:48 um

Mtendaji atuhumiwa kuhamisha fedha za miradi ya maendeleo

Mtendaji wa Kata ya Sakina, mkoani Arusha, anatuhumiwa kuhamisha baadhi ya fedha za miradi ya maendeleo na kuziweka kwenye akaunti yake binafsi, hali iliyosababisha kusimama kwa ujenzi wa kivuko muhimu kwa wakazi wa eneo hilo. Na Jenipha Lazaro Tuhuma hizo…