Recent posts
19 November 2021, 12:41 pm
MUWASA Yawafutia Madeni Wateja 602
Jumla ya wateja 602 wa huduma ya maji wafutiwa madeni yao na mamlaka ya maji safi na mazingira Manispaa ya Mpanda Muwasa baada ya bodi kujilidhisha kuwepo kwa changamoto ya madeni hayo Akizungumza na Mpanda Redio FM afisa biashara wa…
19 November 2021, 12:33 pm
Elimu ya Uraia Itolewe
Wananchi wa wilaya ya mpanda mkoani katavi wameiomba serikali kupitia idara ya uhamiaji kutoa elimu ya uraia ili kuwajengea wananchi uelewa katika masuala ya uraia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na mpanda redio baadhi ya wananchi wamesema hawana elimu ya kutosha…
19 November 2021, 12:23 pm
Wazee Uwanja wa Ndege Waonya Vikundi Vya Uhalifu
Wazee wa kata ya uwanja wa Ndege Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamewashauri wazazi na walezi katika kata hiyo kuwaeleza watoto juu ya madhara yatokanayo na kujihusisha na makundi ya kiuharifu Wakizungumza na kituo hiki mara baada ya kikao na…
19 November 2021, 12:12 pm
Million 245 za Mkopo wa Asilimia Kumi Katavi
Zaidi ya shilingi milioni mia mbili arobaini na tano zimetolewa kwa wanawake vijana na watu wenye ulemavu ambao ni wanuafaika wa mkopo wa asilimia kumi kutoka manispa ya mpanda mkoani katavi. Akikabidhi mikopo hiyo katika ukumbi wa manispaa mkoani katavi…
19 November 2021, 12:01 pm
Katavi na Maadhimisho ya Magonjwa Yasiyoambukiza
Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye kilele cha maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza wameeleza umuhimu wa mazoezi sambamba na kuwaasa wananchi wenzao kujitokeza kwenye mazoezi. Wameyasema hayo walipozungumza na mpanda redio fm katika uwanja wa Azimio ambapo yaefanyika maadhimisho ya…
19 November 2021, 11:52 am
Bustani Jiko Mkombozi wa Udumavu
Wananchi Mkoani Katavi wameaswa kujihusisha na kilimo cha Bustani Mkoba ili kuepukana na changamoto ya utapiamlo na udumavu unaosababishwa na ulaji usiofaa Hayo yameelezwa na Gastor Mwakilembe Afisa Kilimo Manispaa ya Mpanda ambae pia ni Mratibu wa mradi wa Bustani…
19 November 2021, 11:16 am
Wanawake Acheni Kukanda Maji
Wanawake mkoani Katavi wametakiwa kuachana na dhana ya kuwakanda maji ya moto pindi wanapojifungua kwani kufanya hivyo kuna madhara zaidi ikilinganishwa na faida zinazoainishwa na jamii nyingi. Editha Ngavatula ni muuguzi katika hospitali teule ya mkoa wa Katavi amesema kuwa…
19 November 2021, 10:58 am
Mpanda Hotel Kuimarisha Ulinzi
Wananchi wa mtaa wa mpanda hotel manispaa ya mpanda mkoani katavi wameuomba uongozi wa mtaa huo kuimarisha ulinzi na usalama ili kudhibiti changamoto itokanayo na vikundi vya uhalifu katika mtaa huo. Wakizungumza na mpanda fm kwa nyakati tofauti wananchi hao…
19 November 2021, 10:44 am
Wafanyabiashara Soko la Matunda Walia na Vibanda
Baadhi ya wafanyabiashara soko la matunda lililopo mtaa wa kawajense Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi wameuomba uongozi wa soko kuwawekea mfumo mzuri wa uwepo wa vibanda vya kuuzia bidhaa zao. Wakizungumza na mpanda radio FM wafanyabiashara hao wamezitaja changamoto…
19 November 2021, 10:29 am
Bilioni Nne Kunufaisha Halmashauri ya Nsimbo
Halmashauri ya Nsimbo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imepata zaidi ya shiling bilioni nne kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo vyumba vya madarasa. Akizungumza na kituo hiki mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mohamed Ramadhani amesema kuwa kupatikana fedha…