Mpanda FM

Recent posts

12 May 2023, 5:46 am

Wananchi wanawajibu wa Kushiriki Kuepusha Ajali

KATAVI Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wametoa maoni juu ya ushiriki wao katika kuepusha ajali pindi wanavyokuwa katika vyombo vya usafiri Wakizungumza na Mpanda Redio FM kwa nyakati tofauti wamesema kuwa wanawajibu wa kupaza sauti kwa dereva ambaye hazingatii sheria…

10 May 2023, 4:05 am

Wafanyabiashara wa Mahindi Waomba Kupewa Eneo Kubwa

MPANDA Wafanyabiashara wa soko la Mahindi Kata ya Mpanda Hotel Manispaa Mpanda Mkoani Katavi wamekuwa na maoni tofauti kuhusu miundombinu ya soko huku baadhi wakiiomba serikali kuwatafutia eneo pana kwa ajili ya shughuli hiyo Maoni hayo wameyatoa wakati wakizungumza na…

9 May 2023, 8:20 pm

PETS Wapongeza Shirika la UDESO

KATAVI Wananchi na wanakamati ya PETS wilayani Tanganyika mkoani katavi, wanaoshiriki mafunzo ya ufahamu wa haki, wajibu na majukumu ya wananchi katika usimamizi na ufuatiliaji wa matumizi sahihi ya pesa zinazotolewa na serikali kwaajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo wamelipongeza…

9 May 2023, 8:13 pm

Mwanga Awataka Wazazi Kuendelea Kuchangia Chakula Shuleni

MLELE Mkuu wa Wilaya ya Mlele Majid Mwanga amewataka wazazi na walezi Wilayani humo waendelee kuchangia chakula cha mchana kwa wanafunzi wote kwa shabaha ya kuinua kiwango cha ufaulu. Ameyasema hayo wakati akiongea na wananchi wa Inyonga katika Mkutano wa…

6 May 2023, 6:47 am

CCM Katavi Kukemea Mmomonyoko wa Maadili

NSIMBO Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Katavi kupitia Kwa Mjumbe wa Halmashauri kuu Taifa Girbert Samnpa ametoa Wito kwa Jumuiya ya wa wazazi ya Chama hicho kuungana na serikali katika kukemea Mmomonyoko wa Maadili katika Jamii. Ametoa wito huo…

6 May 2023, 6:08 am

Wananchi wa Itenka A Walia Kuhamishwa kwa Mradi wa Shule

NSIMBO Wananchi wa kijiji cha Itenka A Halmshauri ya Nsimbo wamekumbwa na sintofahamu baada ya mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa uliopangwa kujengwa kijijini hapo kuhamishwa na kupelekwa kijiji jirani. Wakizungumza na kituo hiki wananchi wamesema kuwa awali ulipangwa…

5 May 2023, 5:10 am

Ulawiti na Ushoga Wapingwa Vikali

MPANDA Jamii Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imetakiwa kuendelea kupinga vitendo vya ulawiti na Mapenzi ya jinsia moja sambamba na kuwapa malezi bora watoto wao ili waendelee kuwa na maadili mazuri. Hayo yamejiri katika kikao cha baraza la madiwani ambapo…

5 May 2023, 5:07 am

Wakulima Sungamila Wapata Hasara Sababu ya Mbolea

MPANDA Wakulima wa mahindi katika Kijiji cha Sungamila kata ya Kasokola manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametaja mbolea ya msimu imewasababishia hasara katika kilimo hicho. Wakizungumza na Mpanda Redio FM kwa nyakati tofauti wakulima hao wamesema kuwa katika msimu huu…

5 May 2023, 5:04 am

Katavi Yataraji Kuzalisha Milioni 15.5 za Tumbaku

NSIMBO Mkoa wa Katavi unatarajia kuongeza uzalishaji wa zao la Tumbaku kwa msimu huu kwa kuzalisha jumla ya kilo Milioni 15. 5. Akizungumza wakati akitoa taarifa ya maendeleo ya kilimo cha Tumbaku Mkoa wa Katavi Meneja Mkoa wa Bodi ya…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.