Mpanda FM

Recent posts

26 May 2023, 10:42 am

Magogo yapigwa marufuku buchani

MPANDA Wadau wanaozalisha mazao yatokanayo na mifugo mkoa wa Katavi , wametakiwa kufuata sheria, ikiwemo kuboresha usafi katika mabucha, na kuepuka matumizi ya magogo na vyuma vyenye kutu ili kulinda afya ya walaji. Maagizo hayo yametolewa na Afisa Mfawidhi wa…

26 May 2023, 10:32 am

Wananchi washauriwa kufanya usafi wa kinywa na meno

MPANDA Jamii Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imeshauriwa kufanya vipimo vya meno, kufanya usafi wa kinywa kwa kuzingatia muda, kuepuka matumizi holela ya dawa zisizo za kitabibu ili kuepukana na magonjwa ya meno na kinywa kutoa harufu mbaya. Ushauri huo…

26 May 2023, 10:26 am

CHADEMA na Katiba Mpya kabla ya uchaguzi

KATAVI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa kitaendelea kusimamia misingi ya chama hicho kwa kutetea haki, uhuru, na demokrasia kwa wanachama wa chama hicho na wananchi wa taifa kwa ujumla. Akiwahutubia wanachama wa chama hicho katika uzinduzi wa…

23 May 2023, 8:02 pm

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA Wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani hapa Katavi wameshauriwa kubadilisha mfumo wa maisha katika vyakula wanavyokula ikiwa ni pamoja na kujenga desturi ya kufanya mazoezi ili kujiepusha na magonjwa yasiyo ya kuambukiza Dr Paulo Swakala ambaye ni Mganga Mkuu…

23 May 2023, 7:32 pm

TAKUKURU yafichua maduka yanayouza viuatilifu mali ya serikali

KATAVI Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imefanikiwa kufichua maduka yanayouza viuatilifu ambavyo ni mali ya serikali chini ya usimamizi wa bodi ya pamba. Hayo yamesemwa na mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Katavi Faustine Maijo…

23 May 2023, 10:38 am

Sauti ya Katavi (Matukio)

KATAVI Jeshi la Polisi Mkoani hapa Katavi kwa kushirikiana na Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi wamewakamata watu wanne wakiwa na meno ya Tembo vipande 13 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 247. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi…

23 May 2023, 10:34 am

Wanne Wakamatwa na Meno ya Tembo Katavi

KATAVI Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi wamewakamata watu wanne wakiwa na meno ya Tembo vipande 13 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 247. Kamanda wa Polisi wa Mkoa…

19 May 2023, 8:16 pm

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA Watu wawili wamenusurika kifo mara baada ya kung’atwa na mbwa anayesadikika kuwa na kichaa katika Mtaa wa Maridadi Kata ya Majengo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. Waliong’atwa na mbwa katika mtaa wa huo wa Maridadi ni Belta Baltazari mwenye…

19 May 2023, 8:09 pm

CCM Katavi yakemea ukatili kwa watoto

KATAVI Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi [CCM] mkoa Katavi imeeleza kuwa vitendo vya ukatili wa watoto vinavyoendelea kujitokeza vinachangiwa na utumikishaji wa watoto katika shughuli za ujasiriamali pamoja na utelekezaji wa familia . Hayo yamebainishwa na katibu wa…

18 May 2023, 7:09 pm

Sauti ya Katavi (Matukio)

TANGANYIKA. Wakazi wa kijiji cha kasinde kata ya kabungu Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wameutaka uongozi wa kata hiyo kutatua changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imekuwa kikwazo kwa kipindi kirefu. Wakizungumza na Mpanda redio fm…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.