Nuru FM
Nuru FM
19 June 2022, 4:51 pm
Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo (DRC), imefunga mipaka yake yote na Rwanda huku hali ya mvutano kati ya nchi hizo mbili ukiendelea kuongezeka kufuatia madai ya Rwanda kuunga mkono waasi wa M23 wanaopigana na jeshi la DRC. Mbali…
19 June 2022, 4:47 pm
Serikali imeingiza ugonjwa wa Sikoseli kwenye mpango mkakati wa kupambana na magonjwa yasiyoambukiza na kuhakikisha huduma za vipimo na matibabu zinapatikana katika vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya msingi. Hayo yamesemwa leo Juni 19 na Naibu Katibu Mkuu…
11 June 2022, 8:25 am
Kwa mujibu wa jeshi la Polisi katika kipindi cha Januari hadi Desemba mwaka 2020 kulikuwa na matukio 54 ya kuuawa kwa wazee nchini, lakini katika kipindi cha Januari hadi Desemba, 2021 hapakuwepo na tukio lolote la kuuawa kwa wazee nchini.…
11 June 2022, 8:17 am
BIDHAA mbalimbali za vyakula na vipodozi vyenye thamani takribani ya shilingi za Kitanzania milioni 7 zimeteketezwa katika dampo la Manispaa ya Mpanda baada ya kukutwa hazikidhi viwango kwa mujibu sheria ya Viwango Na 2 Sura 130. Bidhaa hizo zilizoteketezwa mjini…
11 June 2022, 8:13 am
Taasisi ya Utafiti wa Virusi nchini Uganda (UVRI), imetangaza kuwaweka katika uangalizi maalumu watu sita, wanaoshukiwa kuwa na ugonjwa wa Monkeypox. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Prof. Pantiano Kaleebu, amesema sampuli zilizochukuliwa kwa watu hao zimesafirishwa nchini Afrika ya…
11 June 2022, 8:09 am
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amemshukuru Mungu kwa kumfanyia miujiza iliyopelekea kushinda kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikimkabili. “Mimi ninamshukuru Mungu sana na ambariki Rais aliyeweka mfumo wa haki inawezekanaameshafanya kwa wengi lakini Mungu kupitia kwa…
9 June 2022, 5:55 pm
Ujenzi wa nyumba ya watu watatu wa familia moja wenye ulemavu katika kijiji cha lulanzi kata ya Mtitu Wilaya ya Kilolo Mkoani iringa umefikia hatua ya kuezekwa bati. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kaimu Katibu Tawala Wilaya ya…
8 June 2022, 3:23 pm
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa siku tano kuanzia leo Juni 8, 2022 hadi Juni 12, 2022 Wizara ya Kilimo iwe imeondoa pikipiki zote wizarani hapo na kuzikabidhi kwa wakurugenzi. Ametoa agizo hilo leo (Jumatano, Juni 8, 2022) alipokagua Ofisi za…
8 June 2022, 3:18 pm
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatano (Juni 08) ameanza ziara ya kikazi mkoani Kagera, kwa kufanya mkutano wa hadhara na wananchi wa Wilaya ya Buharamuro. Rais Samia alisismama wilayani humo akiwa safarini kuelekea Wilaya…
4 June 2022, 7:26 am
KATIKA kuelekea Siku ya Usalama wa Chakula Duniani, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wananchi kila mmoja achukue nafasi yake katika kuhakikisha chakula kinakuwa salama kwa mlaji ili kuepuka magonjwa yanayosababishwa na kula chakula kisichokuwa salama. Akizungumza na waandishi wa…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.