Nuru FM
Nuru FM
11 August 2022, 7:41 am
WAZIRI wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya makazi Angelina Mabula ametoa onyo kwa baadhi ya Viongozi wa ngazi za vijiji na vitongoji wanaokuwa chachu ya migogoro kwa kuuza ardhi zaidi ya mara moja ili kujinufaisha matumbo Yao Hali…
11 August 2022, 7:35 am
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere umefikia asilimia 67 na kubaki asilimia 33 na kusema kazi iliyokuwa ikifanyika kwa miaka miwili na nusu, hivi sasa imefanyika ndani ya mwaka mmoja. Makamba…
11 August 2022, 7:31 am
Klabu ya Simba inaomba radhi kwa waumini wa dini ya Kikristo, viongozi wa madhehebu yote ya Kikristo, Serikali, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania na jamii kwa ujumla kwa usumbufu uliojitokeza kwenye tamasha letu la Simba Day Agosti 8 mwaka…
1 August 2022, 9:31 am
Waziri wa Nishati, January Makamba ametoa ufumbuzi wa changamoto ya muda mrefu ya mgawo wa umeme wa masaa 12 kwa vijiji 20 vilivyopo Wilaya ya Ludewa, ambavyo vimekuwa vikipata umeme kutoka kampuni moja inayoendesha mradi mdogo wa umeme wa maji…
1 August 2022, 9:22 am
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi, Kanali Wilson Sakulo amewaagiza maofisa wote wanaohusika na idara ya kutoa vitambulisho vya taifa (NIDA), kuweka utaratibu wa kuwapelekea huduma karibu wananchi wa mipakani, ili kuwaondolea adha ya kusafi ri umbali mrefu. Kanali Sakulo, ametoa…
1 August 2022, 9:11 am
WANANCHI wa Mto wa Mbu wilayani Monduli mkoani Arusha wamezimka kuuzuia msafara wa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso kulalamikia kukosa maji ya matumizi mbalimbali kwa muda mrefu. Kufuatia hali hiyo Waziri Aweso alilazimika kuchukua maamuzi magumu ya kutangaza kuzivunja Jumuiya…
26 July 2022, 4:18 pm
Zoezi la ujenzi wa nyumba ya Familia ya watu watatu wenye ulemavu katika kijiji cha lulanzi Kilichopo Kata ya Mtitu Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa Limefikia asilimia 80 ili kukamilika. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Chuo Cha RDO Kilolo Mwl.…
26 July 2022, 3:52 pm
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Marco Gaguti kufuatia vifo vya watu 10 vilivyotokana na kajali ya basi la Shule. Awali hiyo ambaye imetokea Julai…
26 July 2022, 3:48 pm
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ameagiza, taasisi za serikali kushikamana, ili kwenda pamoja kuhakikisha sekta ya habari inakua kiuchumi. Waziri Nape ametoa rai hiyo wakati akizungumza kwa njia ya mtandao katika kikao kazi cha wakuu…
17 July 2022, 1:39 pm
SERIKALI kupitia Bohari ya Dawa (MSD) imepongezwa kwa kuwezesha kukabidhi vifaa tiba katika vituo vya afya mkoani Tanga, vifaa ambavyo vilikuwa changamoto katika utoaji huduma vituoni humo. Akizungumza leo Julai 17,2022 katika mahojiano maalumu Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.