Nuru FM
Nuru FM
14 April 2023, 4:59 pm
Kodi za vifaa tiba zinapelekea vifaa hivyo kuchelewa bandarini kutokana na kutokuwepo kwa mpango mzuri wa kuviruhusu ili vikatoe huduma kwa wagonjwa. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kuweka mpango mkakati wa kuondoa Kodi ya vifaa tiba kutoka Bandarini ili viweze…
13 April 2023, 1:37 pm
Wananchi Kata ya Kimara Wilaya ya Kilolo wanakutana na changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya kutokana na kutokuwepo kwa kituo Cha afya. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kujenga kituo cha afya katika Kata ya Kimara Wilaya ya…
11 April 2023, 7:41 pm
Mkazi wa Nzihi anakamatwa na polisi kwa kosa la kumlawiti mtoto wake wa kumzaa. Na Adelphina Kutika Jeshi la polisi mkoa wa Iringa linamshikilia Aman Martin Mkazi wa Kata ya Nzihi Halmashauri ya wilaya ya iringa kwa tuhuma za kumlawili…
11 April 2023, 11:32 am
Wanawake wajawazito wamekuwa wakipata shida wanapotaka kwenda kujifungua kutokana na ubovu wa Barabara hiyo. Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Iringa Dkt. Ritta Kabati amehoji mpango wa serikali kukarabati Barabara ya Mtandika – ikula ambayo imekuwa kero…
6 April 2023, 10:53 am
Mradi huo unagharamiwa kwa pamoja kati ya halmashauri ya mji huo na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) watakaochangia Sh Milioni 500 kila mmoja. Na Frank Leonard KIASI cha Sh Bilioni moja kinatarajiwa kutumika kuweka taa 180 za barabarani zitakazotandazwa kwa…
5 April 2023, 12:41 pm
Wazazi wametakiwa kutenga muda wa kushiriki katika michezo baada ya masomo na kuwanunulia vifaa vya michezo ili wawe na afya bora. Na Adelphina Kutika Wazazi na wazazi Manispaa ya Iringa wametakiwa kuwapa nafasi watoto kushiriki katika michezo ili kuibua vipaji…
5 April 2023, 12:10 pm
Wafanyabiashara Manispaa ya Iringa wamesema kuwa bei ya bidhaa za vyakula katika kipindi kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani haijapanda ila kuna changamoto ya ukosefu wa wateja. Na Bertina Chambila
3 April 2023, 3:05 pm
Madawa ya Kulevya aina ya Heroin yamekatwa na Jeshi la Polisi Mkoani Iringa baada ya Mtuhumiwa kuumwa Tumbo. Na Fabiola Bosco/ Joyce Buganda Jeshi la polisi mkoani wa Iringa linamshikilia Mwasema Rashid (37) mkazi wa Tabata Magengeni Jijini Dar es…
3 April 2023, 2:57 pm
Viongozi wa Kimila Mkoani Iringa wametajwa kuwa sababu ya wananchi kujitokeza kupata chanzo ya Uviko-19. Na Ashura Godwin Wananchi Mkoani Iringa wameanza kuwa na mwamko wa kupata chanjo ya uviko-19 baada ya kupata elimu na hamasa kutoka kwa viongozi wa…
30 March 2023, 12:26 pm
Ni muhimu kwa jamii kupata dozi mbili za chanjo ya Uviko-19 ili kukabiliana na Maambukizi mapya ya Virusi vya Corona. Na Ashura Godwin Idara ya Afya mkoa wa Iringa imewataka wananchi kujitokeza katika vituo vya afya ili kupata na kukamilisha…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.