Nuru FM
Nuru FM
20 April 2023, 2:36 pm
Serikali imeombwa kukarabati Barabara ya Airport kwenda Nyanguge ambayo imekuwa mbovu na changamoto kwa watumishi. Na Mwandishi wetu Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Mwanza, Mh Furaha Matondo amehoji mkakati wa serikali kuanza ujenzi wa kiwango cha lami kwa barabara…
19 April 2023, 1:18 pm
Na Mwandishi wetu Mwanahabari Rashid Msigwa Mkazi wa Igumbilo Manispaa ya Iringa amefariki katika ajali iliyotokea eneo la Ipogolo usiku wa kuamkia leo. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa ACP Allan Bukumbi amesema kuwa Msigwa…
18 April 2023, 2:10 pm
Hospital ya Wilaya ya Itilima imekuwa ikitoa huduma za afya kwa wananchi wengi huku ikibaliwa na changamoto ambazo serikali imeombwa kuzitatua. Na Hafidh Ally Hospitali ya Wilaya ya Itilima iliyopo Mkoa wa Simiyu inakabiliwa na Changamoto ya ukosefu Jokofu la…
18 April 2023, 1:29 pm
Serikali imeombwa kuhakikisha inafikisha watumishi wa afya na elimu katika Jimbo la Urambo ili waweze kuwahudumia wananchi. Na Hafidh Ally Jimbo la Urambo Mkoani Tabora linakabiliwa na uhaba wa watumishi wa uma katika kada za afya na elimu jambo linalopelekea…
17 April 2023, 5:00 pm
Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Taifa Mkoa wa Iringa MNEC Salim Asas amekuwa akishiriki katika shughuli za miradi ya kimaendeleo Mkoani Iringa jambo ambalo linapaswa kuigwa na wadau wengine. Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Iringa Ritta…
17 April 2023, 4:41 pm
Wananchi wa Iringa wanashindwa kufanya shughuli za kiuchumi kutokana na ubovu wa miundombinu ya Barabara. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kukarabati barabara Korofi za Mkoani Iringa ambazo zimekuwa hazipiti katika kipindi cha Mvua ili kufungua shughuli za kiuchumi. Hayo yamezungumzwa…
17 April 2023, 1:40 pm
Mashindano ya kuhifadhi Quran Nyanda za juu kusini yalihusisha Mikoa ya Iringa Njombe na Dodoma kama Mgeni Mwalikwa huku vijana wakishindana kuanzia juzuu ya 1 mpaka ya 25 Iringa Mjini. Na Hafidh Ally Kijana Mustafa Hamad kutoka Madrasa ya DAR-…
17 April 2023, 12:08 pm
Maadili yameshuka kwa Kasi hivyo ni jukumu la wazazi na walezi kuwalea watoto kwa kufuata misingi ya Dini. Na Hafidh Ally Wazazi wametakiwa kuwale watoto katika Maadili Mema ili kuwaepusha watoto na matukio ya ukatili dhidi ya watoto yanayosababishwa na…
14 April 2023, 7:20 pm
Fedha hizo zitasaidia kukamilisha miradi mbalimbali ya maendeleo katika Jamii. Na Halfan Akida Mbunge wa jimbo la Nsimbo, Mh Anna Lupembe ameishukuru serikali kwa kutoa bilioni 6.2 kwa ajili ya miradi ya maendeleo Nsimbo, mkoani katavi. Lupembe amesema hayo leo…
14 April 2023, 5:16 pm
Package ikieleza wazazi manispaa ya Iringa wametakiwa kuishi kwa upendo na kuepusha migogoro ndani ya familia ili waweze kuwalea watoto wao katika malezi chanya.
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.