Nuru FM

Recent posts

3 September 2021, 9:01 am

Wanaume wa mahanzi iringa wapigwa na wake zao

Iringa Na Hafidh Ally Wanaume wa Kijiji cha Mahanzi Kilichopo Kata ya Wasa Wilaya ya Iringa wamelalamikia vitendo vya wanaume kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo kupigwa na wake wao. Wakizungumza katika  Ziara ya kikazi ya Mkuu wa Wilaya…

9 July 2021, 6:57 am

Ukosefu wa maji kwa wananchi ilula

Wananchi wa kijijiji Cha Igingilanyi Kata ya Ilula Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wako katika hatari ya kupata maradhi ya kuhara kutokana na kukosekana kwa huduma ya maji Safi na salama. Wananchi hao wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya maji katika…

21 June 2021, 4:05 pm

Changamoto ya Ukosefu wa zahanati

Wananchi wa kijiji Cha Ugute kata ya isalavanu Mkoani iringa wanakabiliwa na Changamoto ya Ukosefu wa zahanati jambo linalowafanya wafuate huduma za afya katika kijiji Cha Jirani Wakizungumza na Nuru FM baadhi ya wananchi wa kijiji hicho wamesema kuwa Ukosefu…

8 June 2021, 9:06 am

”Serikari itutengenezee barabara”…..

Wananchi wa kijiji cha Kilosa Kata ya Ihanu Wilaya ya Mufindi Mkoani iringa wamelalamikia ubovu wa barabara katika kijiji chao jambo linalosababisha kukosekana kwa usafiri. Aidha wanakijiji hao wameiomba serikali kuwarekebishia barabara ambayo ndio kitovu cha uchumi wa mkoa wa…

18 May 2021, 8:44 am

Wananchi walia ubovu wa barabara

Wananchi wa Ugele Ilangila na ugele Manyigi Kata ya Mkimbizi Manispaa ya Iringa wanakabiliwa na changamoto ya ubovu wa barabara jambo linalopelekea usafiri kukosekana katika eneo lao.Wakizungumza na Nuru fm baadhi ya wananchi wana mtaa huo wamesema kuwa changamoto ya…

18 May 2021, 8:26 am

Wananchi wamtaka mwenyekiti kujiuzulu kwa matumizi mabaya ya ofisi

Wananchi wa Kijiji cha Ikuvilo Kata ya Luhota Wilaya ya Iringa wamemtaka mwenyekiti wa Kijiji chao Herman Mkini kujiuzulu nafasi yake kutokana na tuhuma za matumizi mabaya ya Ofisi. Wakizungumza katika mkutano wa Hadhara mmoja wa wananchi wa kijiji hicho…

23 April 2021, 1:08 pm

Mabomu ya machozi yalindima

Jeshi la polisi mkoani Iringa limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya madereva wa bajaji walikuwa wakishinikiza kuachiwa huru baadhi ya madereva waliokamatwa wakati wa mkutano baina yao na mkuu wa wilaya Richard Kasesela Wakati wa mkutano huo uliolenga kupata ufafanuzi…

16 April 2021, 8:04 am

Serikali yashauriwa kutoa fedha za kutosha kwa TARULA Mkoani Iringa

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Iringa kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. Ritta Kabati ameishauri serikali kuipatia fedha za kutosha wakala wa barabara Vijijini na Mijini TARULA ili ziweze kukarabati barabara za mkoa wa Iringa. Mh. Kabati ameyasema hayo…

16 April 2021, 7:35 am

Watoto wa mitaani waiomba serikali iwapatie bima za afya

Watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani Manispaa ya Iringa wameiomba serikali kuwakatia bima za afya zitakazo wawezesha kupata huduma pindi wanapokutana na changamoto za kiafya. Wakizungumza na nuru fm baadhi ya watoto hao wamesema kuwa ni vyema serikali ikawakatia bima…

15 March 2021, 10:59 am

Wanabari pingeni ukeketaji

Waandishi wa habari wa redio za jamii nchini wametakiwa  kuelimisha jamii juu ya kupinga ukeketaji na ndoa za utotoni  dhidi ya wanawake na watoto hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii halmashauri ya wilaya ya Arusha Angela Kiama Mvaa katika…