Nuru FM
Nuru FM
4 September 2023, 10:20 am
Na Frank Leonard MFANYABIASHARA Salim Asas kutoka mkoani Iringa amekubali kupewa hadhi ya umachinga katika tukio lilikowenda sambamba na kuitikia wito wa kuwa mlezi na mwanachama wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA). Katika tukio hilo lililofanyika katika soko la…
30 August 2023, 10:57 am
Na Frank Leonard Klabu ya Lipuli FC ya mjini Iringa inayoshiriki ligi daraja la pili inatarajiwa kurudi ligi daraja la kwanza baada ya wadau wa soka wa mkoani Iringa (hawakutajwa) kuinunua klabu ya Ruvu Shootings ya daraja la kwanza katika…
24 August 2023, 11:15 am
Na Frank Leonard WANANCHI katika Vijiji vitatu vya Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, wanatarajiwa kunufaika na mradi wa maji wa Masalali, Masege na Kihesa Mgagao ambao ujenzi wake unatarajiwa kuanza hivi karibuni ukigharimu zaidi ya Sh Bilioni 1.6. Kukamilika kwa…
20 August 2023, 1:09 pm
Semina hiyo imelenga kuwapa kanuni na sheria za mashindano ya Kiswaga Cup ili kuepukana na changamoto za kikanuni. Na Hafidh Ally Viongozi wa timu shiriki katika mashindano ya Kiswaga cup 2023 yanayodhaminiwa na Mbunge wa Jimbo la Kalenga Mh Jackson…
16 August 2023, 10:39 am
Na Hafidh Ally Kampuni ya Asas Diaries @asas_dairies Mkoani Iringa inatarajia kujenga kiwanda cha maziwa katika Wilaya ya Njombe ili kuwainua wafugaji wa eneo hilo na kukuza uchumi. Hayo yamezungumzwa na Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Ahmed Salim Abri @ahmed.s.asas mara…
14 August 2023, 12:22 pm
Na Fabiola Bosco Watumishi wa Shamba la Miti Sao Hill wilayani Mufindi mkoani Iringa wamepongezwa kwa utendakazi mzuri huku wakiaswa kuendelea kufanya kazi kwa uadilifu na uzalendo kwa maslahi ya umma na serikali . Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,…
14 August 2023, 11:56 am
Na Hafidh Ally Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani Salim Abri Asas ameahidi kufunga kamera katika maeneo ya Majinja na Mlima Kitonga ili kuwabaini madereva ambao watashindwa kufuata sheria za usalama barabarani. Salim Asas ameyasema hayo baada ya kamati ya…
13 August 2023, 6:44 pm
Na Hafidh Ally Mfuko wa utamaduni na sanaa Tanzania unatarajia kutoa Mikopo Mipya zaidi ya shilingi Bilion 20 kwa Wasanii hapa nchini katika mwaka huu wa fedha 2023/2024. Hayo yamezungumzwa na Bi. Nyakaho Mturi Mahemba Afisa Mtendaji Mkuu wa mfuko…
12 August 2023, 10:03 am
Na Frank Leonard Oparesheni zinazoendelea kufanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa, zimewezesha kukamata vipande saba vya meno ya tembo pamoja na silaha mbili zinazomilikiwa kinyume cha sheria. Akizungumza leo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi amesema…
12 August 2023, 8:57 am
Na Frank Leonard MKUU wa Mkoa wa Iringa, Halima Dendego ameunda kamati itakayoanza leo kushughulikia changamoto mbalimbali za Wamachinga, hatua inayolenga kuyapa nguvu makubaliano yanayowataka wafanyabiashara hao wadogo wa mjini Iringa kurejea katika soko lao la Mlandege. Kamati hiyo inayojumuisha…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.