Nuru FM
Nuru FM
20 May 2023, 1:32 pm
Na Hafidh Ally Waandishi wa habari mkoani Iringa wamehudhuria Bunge la 12, Mkutano wa 11 Kikao cha 29 cha Bunge la Bajeti kusikiliza Upitishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari. Wanahabari hao wamefika bungeni kwa…
17 May 2023, 3:37 pm
Na Ansgary Kimendo Mwili wa mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na miezi tisa umekutwa ndani ya mfuko katika dampo lililopo eneo la kihesa sokoni kata ya Kihesa manispaa ya Iringa asubuhi ya leo. Wakizungumza kwa masikitiko baadhi ya wakazi wa eneo…
16 May 2023, 10:35 am
Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa iringa Dkt. Ritta Kabati ameiomba serikali kutenga fedha za kukarabati barabara ya Dodoma-Iringa katika mlima Nyang’oro. Kabati ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu huku akihoji ni…
15 May 2023, 1:16 pm
Na Hafidh Ally Mdau wa maendeleo Elia Kitomo amekabidhi mashine ya kuprint na kutoa copy katika shule ya msingi Nyamihuu ili iwasaidie katika shughuli za Kitaaluma. Akizungumza wakati wa kukabidhi mashine hiyo, Elias Kitomo ambaye ni Mkurugenzi wa Kitomo Hardware…
11 May 2023, 11:21 am
Na Hafidh Ally Mbunge Viti Maalumu Mkoa wa Iringa Dkt Ritta Kabati ameibana serikali kujua mkakati wa kusambaza gesi kwa wananchi wote hapa nchini ili waweze kunufaika na rasilimali hiyo. Kabati ametoa hoja hiyo katika kipindi cha maswali na majibu…
11 May 2023, 10:50 am
Na Fabiola Bosco Mashindano ya mbio za magari yanayofahamika kwa jina la CMC Automobile Sao Hill Forest Rally of Iringa yanatarajiwa kuanza tarehe 13 mwezi wa tano katika Misitu ya asili Sao Hill . Kwa mujibu wa mwandaaji mkuu wa…
11 May 2023, 9:48 am
Wananchi wa kijiji cha kitelewasi Kilichopo Kata ya Ilole wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wamesema hawana imani na uongozi wa serikali ya kijiji hicho kutokana na ubadhilifu wa fedha. Wakizungumza katika mtukutano wa hadhara wanakijiji hao wameiomba serikali kuwatafutia ufumbuzi…
11 May 2023, 9:23 am
Uoga wa wazazi na walezi kuzungumza na watoto wao waliopo katika rika balehe manispaa ya Iringa umetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la mimba katika umri mdogo. MWANAHABARI WETU FABIOLA BOSCO AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI……………… MWISHO
8 May 2023, 2:11 pm
Na Joyce Buganda na Hafidh Ally Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linamshikilia Kijana anayejulikana kwa jina la DRIVE TEGETE Mkazi wa kijiji cha kidamali kata ya mzihi mwenye umiri wa miaka 23 kwa kosa la kulawiti Mtoto. Akizungumza na…
8 May 2023, 11:22 am
Na Mwandishi wetu Serikali imetakiwa kujenga Daraja la Mto Duma- Bariadi lililopo Mkoani Simiyu ambalo limekuwa likijaa kipindi Cha Mvua. Hayo yamezungumzwa Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi Cha maswali na majibu na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Simiyu Esther…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.