Nuru FM

Recent posts

7 May 2024, 8:44 pm

Dkt. Dugange: Udumavu bado tishio nchini

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dkt. Festo Dugange amesema takwimu zinaonesha kuwa kiwango cha udumavu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano bado ni kikubwa ambapo kwa…

7 May 2024, 8:35 pm

Mgomo wa daladala Iringa waingia siku ya pili

Mgomo wa madereva daladala umechukua sura mpya baada ya madereva hao kutotoa huduma ya usafiri kutokana na Madereva bajaji kuingilia Njia zao. Na Hafidh Ally Madereva daladala katika kituo cha stand ya zamani ya mabasi Manispaa ya Iringa wameendeleza mgomo…

6 May 2024, 9:22 pm

Madaktari bingwa kubadilishana uzoefu na watalaamu wa tiba asili

Wataalamu hao watafanya Kazi Kaa karibu kwa ushirikiano kutoka Kwa madaktari wenyeji ili kutoa huduma za kitabibu kwa wananchi. Na Joyce Buganda Waziri wa afya Ummy Mwalimu amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi pindi wasikiapo uwepo wa madaktari bingwa ili kupata…

6 May 2024, 9:01 pm

Ukosefu wa umeme wakwamisha shughuli za kiuchumi Mtalagala

Wananchi wa mtaa wa Mtalagala kata ya Nduli Manispaa ya Iringa wameiomba serikali kuwapelekea huduma ya umeme kili kurahisisha shughuli za uchumi na ukuaji wa mtaa huo. Na Azory Orema Wananchi hao wamesema kuwa wamechokwa kudanganywa na viongozi wao ambao…

6 May 2024, 11:36 am

Madereva Bajaji wadokozi waonywa

Tabia ya wizi imekuwa ikipigwa vita hasa baada ya abiria kusahau mizigo yao ndani ya vyombo vya moto. Na Agness Leonard Madereva bajaji mkoani iringa wametakiwa kuwa waaminifu pindi abiria anaposahau mzigo kwenye chombo cha usafiri. Hayo yamezungumzwa na Makamu…

3 May 2024, 9:16 pm

TCRA wakutana na watoa huduma za utangazaji Iringa

Na Joyce Buganda Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imefanya mkutano na watoa huduma za utangazaji (Redio na Televisheni za Mitandaoni) na huduma za Mawasiliano wenye leseni mkoani Iringa. Mkutano huo umefanyika May 03, 2024 katika ukumbi wa Maktaba ya Mkoa…

3 May 2024, 11:15 am

Chadema wadai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi

Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 imekuwa ni ajenda kuu katika majukwaa ya siasa hapa Nchini. Na Joyce Buganda Ili kupata viongozi bora Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetaka kuwe na Tume huru ya uchaguzi na…

3 May 2024, 11:07 am

DED Mafinga mji akagua miradi ya maendeleo

Katika utekelezaji wa Miradi ya maendeleo, Mkurugenzi wa Mafinga mji ameamua kufuatilia utekelezaji wake ili kukamilisha kwa haraka. Na Sima Bingilek Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi, Fidelica Myovella akiwa na baadhi ya Wakuu wa Idara ametembelea Miradi ya…

2 May 2024, 10:00 am

Wizi wa mifugo washamiri Kiwele

Wananchi wa Kata wa Kiwele wametaka kukomeshwa mara moja tabia wizi wa mifugo unaofanywa na vijana wenye nia mbaya. Na Joyce Buganda Wimbi la wizi wa mifugo limeshika kasi katika Kijiji na kata ya kiwele Halmashauri ya Wilaya ya Iringa…

2 May 2024, 9:46 am

Serikali kuboresha miundombinu ya elimu Iringa

Serikali inatambua haki ya kila mtu kupata elimu na hivyo inawekeza katika kuweka mifumo na miundombinu stahiki ya kielimu Kwa ajili ya wanafunzi nchini. Na Joyce Buganda Serikali imedhamiria kuendelea kuimarisha sekta ya elimu Kwa kuimarisha miundombinu na kuboresha stahiki…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.