Nuru FM
Nuru FM
25 April 2024, 10:22 am
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ilitangaza mwendelezo wa mvua katika mikoa mbalimbali nchini na kuwataka wananchi kuchukua tahadhari huku Wizara ya elimu ikitoa tahadhari kwa wazazi juu ya usalama wa watoto wao. Na mwandishi wetu WAZIRI wa Elimu,…
25 April 2024, 9:50 am
Mvua zinazoendelea kunyesha hapa Nchini zimesababisha uharibifu katika Barabara hasa eneo la Katika jimbo la Kilolo Mkoani Iringa. Na Mwandishi wetu Mbunge wa Jimbo la Kilolo Mkoani Iringa Justin Nyamoga amefanya ziara ya kutembelea barabara zilizopo katika Kijiji cha Lulindi…
24 April 2024, 10:27 am
Licha ya serikali kuweka mazingira rafiki kwa watoto kusoma bado kuna baadhi ya wazazi wamekuwa na tabia ya kuwapeleka watoto kuchunga mifugo. Na Joyce Buganda Jamii ya wafugaji Kata ya Kiwele Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imetakiwa kuwapeleka watoto wao…
24 April 2024, 10:14 am
Kutofuata ushauri wa wataalamu wa afya katika matumizi ya dawa Husababisha magonjwa kama ugonjwa wa figo, Ini na usugu wa ugonjwa. Na Joyce Buganda Wananchi wa Manispaa ya Iringa wametakiwa kutumia dawa kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya ili…
23 April 2024, 10:12 am
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba ameagiza kufanyika ukaguzi wa miradi ambayo haitekelezwi na kujua changamoto inayokwamisha utekezaji wake. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba amekataa kuendelea na ziara ya kukagua miradi isiyo na changamoto…
22 April 2024, 1:46 pm
Katika kupambana na Magonjwa mbalimbali, Hospital ya rufaa Mkoa wa Iringa iliandaa Kambi ya kuwahudumia wananchi wenye changamoto za kiafya. Na Adelphina Kutika Zaidi ya Wagonjwa 800 wamepata huduma ya kibingwa kutoka Kambi ya Madaktari Bingwa kutoka JKCI ijulikanayo Kama…
22 April 2024, 10:39 am
Kukarabatiwa kwa Barabara ya Mafinga- Mtwango ambayo imekuwa ikitumiwa na wakazi wa eneo hilo katika shughuli za kiuchumi imekuwa mkombozi. Na Tumain Msowoya Serikali imenza kutengeneza Eneo la Barabara ya Mafinga – Mtwango lililokuwa na utelezi hadi kusababisha magari kukwama…
22 April 2024, 10:05 am
Uchakavu wa miundombinu ya maji katika chanzo cha maji bonde la Fukurwa chanzo cha upotevu wa huduma ya maji. Na Mwandishi wetu Jumla ya fedha kiasi cha shilingi Bilioni 2.8 zinahitajika ili kufanya ukarabati wa chanzo cha maji cha bonde…
19 April 2024, 11:06 am
Mikopo ya asilimia 10 inawanufaisha vijana, Wanawake na watu wenye ulemavu katika shughuli za kiuchumi. Na Adelphina Kutika Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Iringa imemshukuru Rais Samia Suluhu Hassani kwa kurejesha tena utoaji…
18 April 2024, 11:32 am
Wanawake wa Chadema Mkoa wa Iringa waliamua kwenda Jijini Mbeya kumchukulia fomu Mchungaji Msigwa wakitaka agombee uenyekiti Kanda ya Nyasa. Na Mwandishi wetu. Mgombea wa nafasi ya uenyekiti Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa amekabidhiwa fomu ya kuwania nafasi hiyo…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.