Nuru FM
Nuru FM
24 June 2024, 4:11 pm
Mwenge wa uhuru hutumiwa na Viongozi wa serikali kukagua Miradi ya maendeleo ambapo Wilaya ya Iringa utakagua Miradi ya kinaendelea upatayo 21. Na Adelphina Kutika Mwenge wa uhuru unatarajia kuzindua miradi 21 yenye thamani ya shiringi billion 145.2 katika wilaya…
21 June 2024, 10:50 am
Na Hafidh Ally Jumla ya vijana 192 kunufaika na ajira za ulinzi wa misitu ya shamba la miti Sao Hill lililopo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa kupitia ajira za muda mfupi. Akizungumza wakati wa zoezi la usahili, Msaidizi wa Mhifadhi…
19 June 2024, 10:44 am
Na Adelphina Kutika Waandishi wa habari wa redio jamii mkoani Iringa wametakiwa kutumia kalamu zao kuandika na kuelimisha jamii ili kuleta mabadiliko chanya kwa mtoto na taifa kwa ujumla. Hayo yamebainishwa katika ufunguzi wa mafunzo kwa waandishi wa habari kuhusu Program…
19 June 2024, 10:30 am
Wakati Mikoa mingine ikiwa na hati yenye mashaka kuhusu ukaguzi kwa hesabu za serikali, Manispaa ya Iringa imezidi kufanya vizuri katika hesabu zake kwa mwaka uliopita. Na Adelphina Kutika Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amepongeza Halmashauri ya…
12 June 2024, 10:26 am
Wakazi wa Iringa wametakiwa kutumka maonyesho ya The Iringa Festival kama fursa ya kiuchumi kwenye eneo lao. Na Joyce Buganda Katika Kuhakikisha Iringa inaendelea kujitangaza kuwa ndio lango kuu la Utalii Kusini na shughuli nyinginezo, Mkoa Iringa unaanziasha Iringa Festival…
12 June 2024, 9:45 am
Mara nyingi migogoro midogo midogo ya ardhi isiposhughulikiwa kikamilifu na dalili zake kupuuzwa hugeuka kuwa migogoro mikubwa jambo lililopelekea Halmashauri ya manispaa ya Iringa kuanzisha kliniki ya ardhi kwa wakazi wake. Na Adelphina Kutika Wananchi wa kata ya Nduli Halmshauri…
12 June 2024, 9:39 am
Licha ya kupatiwa huduma ya umeme katika eneo lao wananchi wa Ilangamoto wamelalamikia umeme huo hutokuwa na nguvu za kuhudumia wananchi wa eneo lote. Na Mwandishi wetu Wananchi wa mtaa wa Ilangamoto Kata ya Lyamkena Halmashauri ya Mji wa Makambako…
10 June 2024, 1:59 pm
Licha ya serikali kufanya jitihada kumaliza tatizo la udumavu nchini, mkoa wa Iringa umebaki kuwa mkoa unaoongoza kwa tatizo la udumavu nchini. Na Joyce Buganda Watoto wenye umri wa miaka 0-5 mkoa wa Iringa wanakabiliwa na changamoto ya udumavu sawa…
7 June 2024, 12:41 pm
Upandaji na uwepo wa misitu katika jamii zetu unachangia asilimia 47 ya akiba ya hewa ukaa ya misitu duniani na hutoa asilimia 60 ya miti ya mbao inayotumiwa viwandani duniani. Na Joyce Buganda Zaidi ya miti milioni 2 na laki…
7 June 2024, 12:18 pm
Kwa mujibu wa utafiti wa hivi karibuni wa Shirika la India la Nephrology, watu milioni 84 duniani kote wanaugua magonjwa mbalimbali ya figo. Na Mwandishi wetu Jamii wilayani Mufindi imetakiwa kunywa maji mengi na kupunguza matumizi makubwa ya protini ili…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.