Nuru FM
Nuru FM
6 May 2024, 11:36 am
Tabia ya wizi imekuwa ikipigwa vita hasa baada ya abiria kusahau mizigo yao ndani ya vyombo vya moto. Na Agness Leonard Madereva bajaji mkoani iringa wametakiwa kuwa waaminifu pindi abiria anaposahau mzigo kwenye chombo cha usafiri. Hayo yamezungumzwa na Makamu…
3 May 2024, 9:16 pm
Na Joyce Buganda Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imefanya mkutano na watoa huduma za utangazaji (Redio na Televisheni za Mitandaoni) na huduma za Mawasiliano wenye leseni mkoani Iringa. Mkutano huo umefanyika May 03, 2024 katika ukumbi wa Maktaba ya Mkoa…
3 May 2024, 11:15 am
Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 imekuwa ni ajenda kuu katika majukwaa ya siasa hapa Nchini. Na Joyce Buganda Ili kupata viongozi bora Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetaka kuwe na Tume huru ya uchaguzi na…
3 May 2024, 11:07 am
Katika utekelezaji wa Miradi ya maendeleo, Mkurugenzi wa Mafinga mji ameamua kufuatilia utekelezaji wake ili kukamilisha kwa haraka. Na Sima Bingilek Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi, Fidelica Myovella akiwa na baadhi ya Wakuu wa Idara ametembelea Miradi ya…
2 May 2024, 10:00 am
Wananchi wa Kata wa Kiwele wametaka kukomeshwa mara moja tabia wizi wa mifugo unaofanywa na vijana wenye nia mbaya. Na Joyce Buganda Wimbi la wizi wa mifugo limeshika kasi katika Kijiji na kata ya kiwele Halmashauri ya Wilaya ya Iringa…
2 May 2024, 9:46 am
Serikali inatambua haki ya kila mtu kupata elimu na hivyo inawekeza katika kuweka mifumo na miundombinu stahiki ya kielimu Kwa ajili ya wanafunzi nchini. Na Joyce Buganda Serikali imedhamiria kuendelea kuimarisha sekta ya elimu Kwa kuimarisha miundombinu na kuboresha stahiki…
30 April 2024, 10:38 am
Waandishi wa habari Radio Nuru FM wameaswa kufuata weledi katika uandishi wa habari. Na Hafidh Ally Wafanyakazi wa Nuru FM radio iliyopo Mkoani Iringa wamepatiwa Mafunzo ya namna ya kuandaa maudhui na kuchapisha katika Mtandao wa Radio Tadio. Akizungumzia kuhusu…
29 April 2024, 9:55 am
Vitendo vya udhalilishaji kwa watu wenye ulemavu ikiwemo suala la kuwatumia kujinufaisha kiuchumi limeonekana kushamiri wilaya ya Mufindi. Na Hafidh Ally Wananchi wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wametakiwa kujenga utaratibu wa kuwasaidia watu wenye mahitaji maalum kuliko kuwafanya vitega uchumi…
27 April 2024, 10:37 am
Licha ya mvua kuendelea kunyesha na kuharibu miundombinu ya barabara Serikali imeendelea kuhakikisha miundombinu hiyo inaboreshwa. Na Aisha Malima Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro inaendelea na kazi ya kuziba mashimo na kukarabati barabara kuu ya…
26 April 2024, 9:58 am
Kuogesha mifugo ni muhimu sana kwani husaidia katika kudhibiti wadudu wanaosababisha magonjwa. Na Joyce Buganda Wananchi wa kata ya Kiwele iliyopo jimbo la Kalenga mkoani Iringa wanakumbana na changamoto ya ukosefu wa josho jambo linalopelekea kutembea umbali mrefu kwenda kuogesha…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.