Recent posts
12 December 2025, 12:06 pm
Kundo: Wakandarasi wazawa wapewe kipaumbele
“Utekelezaji wa majukumu yenu unapaswa kuzingatia mkataba ili kutatua kero ya maji kwa wananchi” Na Hafidh Ally Wandarasi wazawa (wa ndani ya Nchi), wametakiwa kutanguliza uzalendo wanapotekeleza Ujenzi wa miradi ya Maji wanayopewa na Serikali ili kutatua kero ya maji…
12 December 2025, 12:05 pm
Milioni 407.9 yatolewa kwa vikundi 71 iringa
“Fedha hizi zitumike kwenye kuleta maendeleo ambayo mmeyaandikia kwenye miradi yenu” Na Hafidh Ally Jumla ya vikundi 71 vinavyoundwa na wananchi wanaojishughulisha na kilimo, ufugaji na viwanda vidogo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wamepata mikopo ya Asilimia 10 yenye…
8 December 2025, 9:00 pm
Wanacama wajengewa uwezo wa kilimo bora
“Kilimo hicho kitasaidia kuandaa mashamba bora kutokana na hali ya hewa kwa wakati huo” Na Adelphina Kutika Wasichana wanaofadhiliwa na Shirika la Camfed (WANACAMA) wanaojihusisha na kilimo biashara mkoani Iringa wamejengewa uwezo wa kulima kilimo kutokana na mabadiliko ya tabia…
8 December 2025, 8:49 pm
Iringa kuadhimisha miaka 20 ya mahakama
Kauli mbiu ya Mahakama ya Tanzania Kanda ya Iringa inasema siku zote ni uadilifu ueledi na uwajibikaji. Na Joyce Buganda Ikiwa tupo katika wiki ya maadhimisho ya miaka 20 ya mahakama Kuu Tanzania kanda ya Iringa, Wananchi Mkoani Hapa wametakiwa…
5 December 2025, 11:45 am
COP 30 yaongeza uwajibikaji kwa wakulima
Mwongozo wa uwazi utasaidia kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi katika Jamii na kukuza uwajibikaji kwa wakulima. Na Joyce Buganda Mkutano wa COP 30 umefanikiwa kuweka muongozo wa wazi katika masuala ya fedha na kuongeza uwajibikaji wa mataifa yalioendelea katika kutekeleza…
5 December 2025, 10:58 am
Wazazi waaswa kuwalinda watoto wakati wa likizo
“Ulinzi kwa watoto wakati wa likizo ni vyema ukazingatiwa ili kuwalidhi shidi ya matukio ya ukatili” Na Fredrick Siwale Wazazi na Walezi Halmashauri ya Mji wa Mafinga Mkoani Iringa wametakiwa kuwalinda Watoto wao kipindi cha likizo ya mwisho wa mwaka…
4 December 2025, 5:52 pm
Ngajilo akabidhi bati 100 kwa wafanyabiashara Mlandege
“Bati hizi ni utekelezaji wa ahadi ambayo niliitoa kwenu na naikabidhi rasmi hii leo” Na Ayoub Sanga Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhil Ngajilo, amekabidhi mabati 100 kwa Wafanyabiashara wa Kuku katika Soko la Mlandege, kwa ajili ya kukamilisha…
4 December 2025, 2:49 pm
Mhapa awa Mwenyekiti wa Halmashauri Iringa DC
“Tushirikiane katika kuwatumikia wananchi ili kuleta maendeleo” Na Joyce Buganda Diwani wa kata ya Nzihi Steven Mhapa amefanikiwa kutetea Nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Iringa kwa kura 37 kati ya kura 37 zilizopigwa huku kiti cha…
3 December 2025, 7:07 pm
Bonde la Rufiji laongeza mapato kwa 50%
“Ukusanyaji wa Mapato umesaidia kupima utendaji kazi wa watumishi wa Bodi hiyo” Na Adelphina Kutika Bodi ya Tisa ya Bonde la Maji Rufiji imefanikiwa kuongeza mapato ya ndani kutoka shilingi bilioni 2.4 mwaka 2022/2023 hadi kufikia zaidi ya shilingi bilioni…
3 December 2025, 1:43 pm
Madiwani Mufindi DC waaswa kukusanya mapato
“Ukusanyaji wa mapato utasaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo” Na Fredrick Siwale Madiwani wa Baraza jipya la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, wamekula kiapo cha utii na uwajibikaji kwa kipindi cha mwaka 2025 hadi 2030. Kiapo…