Recent posts
5 December 2025, 11:45 am
COP 30 yaongeza uwajibikaji kwa wakulima
Mwongozo wa uwazi utasaidia kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi katika Jamii na kukuza uwajibikaji kwa wakulima. Na Joyce Buganda Mkutano wa COP 30 umefanikiwa kuweka muongozo wa wazi katika masuala ya fedha na kuongeza uwajibikaji wa mataifa yalioendelea katika kutekeleza…
5 December 2025, 10:58 am
Wazazi waaswa kuwalinda watoto wakati wa likizo
“Ulinzi kwa watoto wakati wa likizo ni vyema ukazingatiwa ili kuwalidhi shidi ya matukio ya ukatili” Na Fredrick Siwale Wazazi na Walezi Halmashauri ya Mji wa Mafinga Mkoani Iringa wametakiwa kuwalinda Watoto wao kipindi cha likizo ya mwisho wa mwaka…
4 December 2025, 5:52 pm
Ngajilo akabidhi bati 100 kwa wafanyabiashara Mlandege
“Bati hizi ni utekelezaji wa ahadi ambayo niliitoa kwenu na naikabidhi rasmi hii leo” Na Ayoub Sanga Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhil Ngajilo, amekabidhi mabati 100 kwa Wafanyabiashara wa Kuku katika Soko la Mlandege, kwa ajili ya kukamilisha…
4 December 2025, 2:49 pm
Mhapa awa Mwenyekiti wa Halmashauri Iringa DC
“Tushirikiane katika kuwatumikia wananchi ili kuleta maendeleo” Na Joyce Buganda Diwani wa kata ya Nzihi Steven Mhapa amefanikiwa kutetea Nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Iringa kwa kura 37 kati ya kura 37 zilizopigwa huku kiti cha…
3 December 2025, 7:07 pm
Bonde la Rufiji laongeza mapato kwa 50%
“Ukusanyaji wa Mapato umesaidia kupima utendaji kazi wa watumishi wa Bodi hiyo” Na Adelphina Kutika Bodi ya Tisa ya Bonde la Maji Rufiji imefanikiwa kuongeza mapato ya ndani kutoka shilingi bilioni 2.4 mwaka 2022/2023 hadi kufikia zaidi ya shilingi bilioni…
3 December 2025, 1:43 pm
Madiwani Mufindi DC waaswa kukusanya mapato
“Ukusanyaji wa mapato utasaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo” Na Fredrick Siwale Madiwani wa Baraza jipya la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, wamekula kiapo cha utii na uwajibikaji kwa kipindi cha mwaka 2025 hadi 2030. Kiapo…
2 December 2025, 11:35 am
Kabati, TARURA uso kwa uso kutatua kero ya barabara
“Changamoto ya Barabara inatakiwa kutatuliwa ili kukuza uchumi wa wananchi wa Kilolo”. Na Hafidh Ally Mbunge wa jimbo la Kilolo, Dr. Ritta Kabati amefanya ziara ya kikazi katika ofisi za wakala ya barabara za vijijini na Mijini (TARURA) wilaya ya…
2 December 2025, 10:38 am
Dola mil. 20 kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Na Joyce Buganda Tanzania inatarajiwa kunufaika na fedha hadi dola million 20 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia mfuko wa kukabiliana na hasara na uharibifu. Nuru FM imekuandalia makala hii maalum…
26 November 2025, 10:46 am
MTAKUWWA kutokomeza ukatili kwa vitendo Iringa
Matukio ya ukatili yamekuwa yakidumaza ustawi wa watoto na wanawake. Na Joyce Buganda Wadau na Wajumbe wa mpango wa Taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto MTAKUWWA sehemu ya 2 wametakiwa kutumia uzoefu wao katika kuelimisha jamii kupinga…
26 November 2025, 7:15 am
Wafanyabiashara waaswa kukatia bima biashara zao.
“Bima hizo zitawasaidia kupata fidia endapo utakutana ana majanga yatakayoharibu biashara” Na Godfrey Mengele Wafanyabiashara wanaojishughulisha na shughuli za sekta isiyo rasmi ikiwamo bodaboda, mamalishe, wauza mitumba na makundi mengine wametakiwa kujiunga na huduma za bima ili kujilinda na majanga…