Nuru FM

Dola mil. 20 kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

2 December 2025, 10:38 am

Moja ya shamba lililopo wilaya ya Iringa lililoandaliwa tayari kwa kuweka mbegu. Picha na Joyce Buganda

Na Joyce Buganda

Tanzania inatarajiwa kunufaika na fedha hadi dola million 20 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia mfuko wa kukabiliana na hasara na uharibifu. Nuru FM imekuandalia makala hii maalum kuangalia jinsi wakulima wanavyoweza kunufaika na mradi huo.