Nuru FM
Nuru FM
24 November 2025, 10:04 pm

Wananchi wanakumbushwa kudumisha uhifadhi wa mazingira huku wakichukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Na Joyce Buganda
Nuru FM imekuandalia makala fupi kuhusu mkakati wa serikali mkoani Iringa wenye lengo la kuwaunganisha wananchi katika mifumo na miradi ya pamoja ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, hususan kwa wakulima wanaohitaji mbinu bora na kilimo chenye tija.