Nuru FM

Taasisi zinavyohamasisha wanawake kujihusisha na Siasa

17 October 2025, 9:04 am

Cover ya kipindi Cha safari ya Uchaguzi. Na Chacha Robert

Makala hii inaelezea Jinsi Taasisi Binafsi na za Kiserikali zinavyoshiriki kuhamasisha wanawake kujihusisha na masuala ya Uchaguzi na siasa.

Na Hafidh Ally na Dorice Olambo

Nuru FM imekuandalia makala hii maalum kujua ni kwa kiwango gani Taasisi Binafsi, za Kidini na za Kiserikali zinavyohakikisha wanawake wanapewa fursa ya kushiriki katika Uchaguzi na siasa.