Nuru FM

Wananchi watakiwa kutumia bidhaa za ndani

18 September 2025, 12:23 pm

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James akizungumzia umuhimu wa kununua Bidhaa za ndani. Picha na Adelphina Kutika

Kutumia bidhaa zinazozalishwa hapa nchini itapelekea kukuza uchumi

Na Adelphina Kutika

Wananchi mkoani Iringa wametakiwa kutumia bidhaa na huduma zinazozalishwa ndani, ili kukuza uchumi wa nchi na kuongeza pato la taifa.

Wito huo umetolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa Kheri James Akiwa mgeni rasmi katika semina ya mafundi ujenzi kutoka wilaya zote za Iringa, RC James amesema matumizi ya bidhaa za ndani ni njia ya kizalendo ya kukuza ajira na sekta ya uwekezaji.

MWANAHABARI WETU ADELPHINA KUTIKA AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI………………